Ibishie dunia siyo ulimwengu

Ibishie dunia siyo ulimwengu

I appreciate......"akili na utashi hukupewa ili upokee mapokeo"........ whether you accept or reject the truth is your purpose comes from GOD.....Hata hizo natural law unazosema kwamba you cannot go against, yesu alizivunja Kwa kutembea juu maji........
Una uhakika alitembea juu ya maji au ni stori za mapokeo na wewe umezipokea. Au umeamua kutumia akili na utashi wako kupokea mapokeo bila ya kuyatafakari. Umeanza vizuri sana kiwa "akili na utashi hukupewa ili upokee mapokeo tu". Ila umeanda mrama kidogo ulipokuja kuleta imani za kimapokeo.
 
Una uhakika alitembea juu ya maji au ni stori za mapokeo na wewe umezipokea. Au umeamua kutumia akili na utashi wako kupokea mapokeo bila ya kuyatafakari. Umeanza vizuri sana kiwa "akili na utashi hukupewa ili upokee mapokeo tu". Ila umeanda mrama kidogo ulipokuja kuleta imani za kimapokeo.
Sio stori nizaidi ya uhakika....nenda usome vizuri sayansi Yako ya "origin of life" wanasayansi wakubwa na unaowakubali wote wakina Charles Darwin, Lamarck's....wameandika theory of life.
Neno theory ni mawazo ya mtu tu kama Mimi, Wala hayana uzima...... science will never prove the origin of life.
 
Dunia =Earth is the only planet that support life......
Ulimwengu=World is the earth together with all its countries and people
Actually Ulimwengu ni universe.

Sasa mimi namwambia the earth is 4.54 billion years old. Humans as a species (Homo Sapiens) are only about 300,000 years old.

So, the earth existed for more than 99% of its age without humans.

Sasa kama dunia imekuwapo kwa miaka bilioni 4.54 billioni kabla ya watu kuwapo, habari ya kwamba dunia ni mifumo ya wanadamu ni uongo.

Dunia imekuwapo bila hao wanaoitwa wanadamu kwa miaka bilioni 4.54.

Hawa watu wengine haeajui hata haya mambo basoc kama umri wa dunia, umri wa homo sapiens as a species.

Wanakuja hapa kueneza ujinga tu.
 
Actually Ulimwengu ni universe.

Sasa mimi namwambia the earth is 4.54 billion years old. Humans as a species (Homo Sapiens) are only about 300,000 years old.

So, the earth existed for more than 99% of its age without humans.

Sasa kama dunia imekuwapo kwa miaka bilioni 4.54 billioni kabla ya watu kuwapo, habari ya kwamba dunia ni mifumo ya wanadamu ni uongo.

Dunia imekuwapo bila hao wanaoitwa wanadamu kwa miaka bilioni 4.54.

Hawa watu wengine haeajui hata haya mambo basoc kama umri wa dunia, umri wa homo sapiens as a species.

Wanakuja hapa kueneza ujinga tu.
Unaweza ukawa upo sahihia kwamba Dunia ilikuwepo kabla ya binadamu..
Ilikuwepo ndio je ilikua imeshawekewa mifumo au ilikuwepo imekaa kama ombwe tu..
Ni kama ujenge nyumba Leo alafu baada ya miaka 100 mtu aje aipangie matumizi, si ndio mfumo wenyewe mkuu au
 
Wee muongo tu mkuu.
Usiwe too emotional!!! IPE AKILI KAZI
Huwezi kumwita mwenzako muongo, bisha jambo kwa hoja, Katika hoja MTU huelewa hizi zote ni concepts siyo fact's.

Ukijikagua utagundua hivyo... public Life, private life na Secret life ndiyo maisha ya Kila MTU mwenye Mwili
 
Usiwe too emotional!!! IPE AKILI KAZI
Huwezi kumwita mwenzako muongo, bisha jambo kwa hoja, Katika hoja MTU huelewa hizi zote ni concepts siyo fact's.

Ukijikagua utagundua hivyo... public Life, private life na Secret life ndiyo maisha ya Kila MTU mwenye Mwili
Nimekuelewa kitambo Tu Mzee wangu.

Public yako life ni hiyo Msalaba yaani unahudhulia ibada ya kanisani kama kawaida lakini nje ya box unafanya Ibada yako wewe kaka wewe bila mtu yeyote kujua.
 
Niwasalimu ndugu zangu!

Tuendelee kuishi maana tupo kwa muda na sababu,vyote vitaisha.

Dunia na ulimwengu ni vitu viwili tofauti Dunia ni mifumo ya wanadamu na ulimwengu ni UKAMILIFU wa maarifa yote. Unaweza kuita (ulimwengu ni uumbaji wa Mungu)

Tunaishi hapa ulimwenguni kwa sababu maalumu,pia hatutaendelea kuishi Katika ulimwengu huu na Mwili huu maana sababu za kuendelea kuwa na Mwili huu wa nyama zitakuwa zimeisha(Ukipata wazo lifanyie kazi Leo kesho ni hadithi)

Dunia inaongozwa na watu wenye akili kubwa,hurithisha vizazi vyao vyenye akili kubwa pia, Ili kuendelea kupata sifa na faraja ya muda mfupi, afadhari kuwa na faraja hapa kuliko kusubili faraja ya kesho ambayo ni jambo la kufikilika (itumie akili Yako kama MTU mwenye akili,Dunia Haina fear na mjinga)

Muda na sababu ndiyo msingi wa wewe na Mimi kuwepo kwa wakati huu Katika frecuency hii ya Mwili unaoshikika, mwanadamu ni cel, mwanadamu ni mawimbi, mwanadamu ni nguvu, mwanadamu ni Mungu (hakuna MTU mwenye mwili asiye na uungu ndani yake, uungu ni nguvu ya kufanya)

Time/Muda ni nini? Muda unakosa maana kama hakuna sababu, sababu ndiyo msingi wa muda, sababu ni maulizo na majawabu ya maulizo, mfano! Nani alisema iwe jumatatu,jumanne ,nani alisema Ili iwe saa moja ni lazima ziwe dk 60?. Concepts za watu zikikosa mbadala zilizopo zinapata makao ya kudumu moyoni na akilini. (Vitabu vya Dini siyo vitabu vya historia halisi ya matukio ya ulimwengu, vyenyewe ni fasihi za kutungwa)

Usiwaze kuhusu mbingu (heaven )na kuzimu, (hell) hizo zote ni story za kutishana tu. Waza kuhusu uwezo wako wa kuwa na furaha,kuwafanya wengine wawe na furaha, zaidi kufanya viumbe wengine waishi kwa uhuru kwa kadri ya sheria ya Asili. (Hapa tulipo tunaletwa kwa kazi maalumu, kama unaota au unaona maono yazingatie)

Viungo vyako vikiacha kushirikiana kwa sababu yoyote Ile, viungo vyote vinarudi ardhini kuendeleza rutuba, Ili vizazi vingine viendelee kuishi, kwa hiyo hata KIFO chenyewe ni concept ya MTU.. haiwezekani wewe ubebe DNA (kumbukumbu)ya baba Yako na mama Yako then uje useme ni KIFO, people are still living ndani Yako. So..if we're created by God, which I blv ... lazima Ako ndani yetu...(Don't be fooled by books, where's your mind)

NIMALIZE kwa udogo!! Ulimwengu Unapata maana kama vitu vinaenda kinyume. Juu ipo chini, kulia ipo kushoto. Moto ipo baridi... Dunia ibishie Lakini siyo ulimwengu

*Hakuna mfano nyuma ya mfano, nyama ya mfano Kuna Imani)

IPE KAZI AKILI
Mkuu dunia ni EARTH 🌍
Ni sayari ambayo tunaishi
Ulimwengu ni Universe, yaani dunia pamoja na sayari na kila kitu kilichopo

Dunia sio mifumo ya binadamu, hata binadamu wote tukitoweka bado dunia itaendelea kuwepo kama sayansi inavyo thibitisha kwamba dunia ilikuwepo kabla ya binadamu
 
Unaweza ukawa upo sahihia kwamba Dunia ilikuwepo kabla ya binadamu..
Ilikuwepo ndio je ilikua imeshawekewa mifumo au ilikuwepo imekaa kama ombwe tu..
Ni kama ujenge nyumba Leo alafu baada ya miaka 100 mtu aje aipangie matumizi, si ndio mfumo wenyewe mkuu au

You have an anthrophic bias problem.

Unaposema mifumo una maana gani? Mifumo ni nini?

Dunia ilikuwepo ilikiwa na mifumo ya kuzunguka jua, ilikuwa na mifumo ya kujizungusha kwenye muhimili wake, ilikuwa na mifumo ya misimu ya mwaka. Ilikuwa na mifumo ya misimu. Kabla ya huyo unayemuita binadamu kuwepo.

Hiyo unayemuita mwanadamu is just another species. Mifumo anayoweka ni kwa ajiki yake tu. Tena mifumo hiyo inaenda kuiharibu dunia. Dunia ikikuwa inaenda poa tu, wanadamu ndio wamekuja kuweka mifumo yao iliyosababisha uchafuzi wa mazingira duniani.

Kwa hiyo, dunia ilikiwa inajiendea kwa mifumo yake vizuri tu.

Hao mnaowaita binadamu ndio wamekuja kuharibu hiyo mifumo ya dunia kwa pollution na global warming na kukata miti na kusababisha kutoboka ozone layer.

Sasa hapo huyo unayemuita mwanadamu anaweka mifumo ya kuendesha dunia au anaweka mifumo ya kuiharibu dunia?
 
Kwa hio hizo sehemu hazipo Ila tunatishana tu si ndio Mtumishi usiekusanya Sadaka Injili ni bure
Ukitaka kuamini kama Zipo au hazipo ni jambo binafsi mtumishi mkusanya sadaka
 
Dunia si mifumo ya wanadamu. Dunia ilikuwepo kabla ya hao unaowaita wanadamu kuwepo.

Dunia inakadiriwa kuwa na takribani miaka 4.54 billion, hao unaowaita wanadamu (Homo sapiens) wamekuwepo kwa miaka 300,000 tu.

Sasa utasemaje dunia ambayo ipo kwa kadiri ya miaka 4.54 billion ni nfumo wa wanadamu ambao wamekuwapo kwa miaka 300,000 tu?

Dunia haiongozwi na hao unaowaita wanadamu. Hakuna mwanadamu anayeiongoza dunia izunguke jua au ijizungushe katika muhimili wake, sasa unasemaje dunia inaongozwa na wanadamu?

Umri wa dunia ni kama mara 15,133 ya umri wa hao unaowaita wanadamu.

Sasa dunia imetuzidi umri takriban mara 15,133, utasemaje dunia ni mfumo wa wanadamu?

Pia, huyo Mungu unayemsema hujathibitisha yupo.

Acheni kuungaunga habari kwa longolongo zisizo na mantiki wala elimu.
Kwani ni Nani aliyetoa hayo makadirio ya uwezo wa dunia?mbuzi au?
 
Hayo makadirio ya miaka ya dunia unayosema umeyapata kutoka Kwa Nani??
Kwa nini unaukiza kutoka kwa nani na si kwa mchakato gani? Hayajapatikana kutoka kwa mtu mmoja, kuna mchakato uko.

Kwani wewe ni kati ya wanaoamini watu kama species wana umri mkubwa kuliko umri wa dunia?

If you want to be a contrarian, at least do it right.
 
Kwa nini unaukiza kutoka kwa nani na si kwa mchakato gani? Hayajapatikana kutoka kwa mtu mmoja, kuna mchakato uko.

Kwani wewe ni kati ya wanaoamini watu kama species wana umri mkubwa kuliko umri wa dunia?

If you want to be a contrarian, at least do it right.
Hao waliofanya hiyo michakato tangu na tangu ni kina Nani sasa??
 
Hao waliofanya hiyo michakato tangu na tangu ni kina Nani sasa??
Kwa nini una focus kwa watu badala ya ku focus kwenye michakato na matokeo na kuyapima matokeo?

Ukweli ukisemwa na watu fulani unageuka na kuwa uongo?

This is going to be an ad hpminem fallacy.

Badala ya kuchambua hoja, unamshambulia mtoa hoja.

Hii fallacy huwa inatumiwa sana na watu wasioweza kujadili hoja na wasio na hoja.
 
Back
Top Bottom