Ibrahim Ajib mchezaji wa simba sc afunga ndoa

WENZAKE WANAFUNGA MABAO ...YEYE ANAFUNGA NDOA! HAWA WACHEZAJI WABONGO HAWAJIELEWI KABISA. 🙂
Akili kikuyu wewe!

Omba Omba FC, hivi punde mutaondolewa jijini Dar es salaam
 
Hivi ni kweli alifiwa? Sio kwa uharaka wa namna hii kama kweli alifiwa.
 
Hata kama marehemu mkewe angekuwa yupo hai, bado nafasi ya kuoa au kuongeza Mke mwingine wa pili nafasi Alikuwa anayo, kwa Imani ya Dini yake anaruhusiwa kuoa wake wa nne, kama Uwezo wa Kuwahudumia Anao..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…