OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,339
Kwan tatizo nn??Huyu kamtangaza tu kwa watu Leo alikuwa mke wake kitambo...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwan tatizo nn??Huyu kamtangaza tu kwa watu Leo alikuwa mke wake kitambo...
Akili kikuyu wewe!WENZAKE WANAFUNGA MABAO ...YEYE ANAFUNGA NDOA! HAWA WACHEZAJI WABONGO HAWAJIELEWI KABISA. 🙂
mbona povu mkuu...Akili kikuyu wewe!
Omba Omba FC, hivi punde mutaondolewa jijini Dar es salaam
Sijaelewa
Soma ulichoandika post yako niliyokujibu..!mbona povu mkuu...
Tarehe 7/05/2017 alifiwa na mke wake kipenzi, tarehe 24/05/2017 anaoa mke mwingine kipenzi !! Mbona hata bado hajatafakari uchungu wa kufiwa.Tarehe 7/05/2017 alifiwa na mke wake kipenzi
Taazia: Ibrahim Ajib afiwa na mkewe
![]()
Leo amefunga ndoa ,hatimaye amepata Mke mpya wa kumliwaza