figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
Tatizo hii radio mwisho wake ni Dar tuu
Hilo Si Tatizo bali ni changamoto mkuu, hata mawingu walianza hivyo wakiwa wame jibanza pale mjini
Nikiwa Dar ni tune masafa gani kuwapata hao jamaa.?
hii redio iko chini ya nani? maana kufikia level ya kuwapora Cloudz mtangazaji si jambo dogo
Kwa kuondoka huyu ni pigo....zaidi ya kuwa mtangazaji lakini ni producer mzuri wa vipindi hivyo hapo jamaa wamebeba mtangazaji na producer mahiri.....
Hilo Si Tatizo bali ni changamoto mkuu, hata mawingu walianza hivyo wakiwa wame jibanza pale mjini
Nimependa sana hili jibu! Ubarikiwe
Siku za karibuni alikua anaonekana kama hana amani pale kwenye kipindi cha michezo hata ikifika nafasi ya kuchangia lile jitu jeusi lwambano lilikua kama linampotezea flani tofauti na zamu ya dauda. Niliona kbs huyu jamaa anaweza kufanya maamuzi magumu! Matokeo yake ndio hayo sasa kipindi cha michezo pale clouds kimebaki na majitu meusi matupu!..
Wanatakiwa kufanya haraka wajipanue hata mkoa mmoja mwaka huu hakika nimepata wasaha wa kusikiliza hii radio nikiwa dar ...hii ni radio moto kabisa na wakijipanua watawatetemesha Clouds na Earadio ..
Masafa mafupi.....Nikiwa Dar ni tune masafa gani kuwapata hao jamaa.?