Ibrahim Mussa Ndiye Mkurugenzi Mpya wa Utalii Tanzania

Mkuu kama mtu ana PhD 5 za hisani yaani zile za kupewa kiheshima heshima hata kama hastahili anafaa kuwa raisi?
pamoja na uccm wangu ila nimeogopa sana kuona hiyo picha ya huyo jamaa?
hivi hawa wahindi hatuwajui vizuri ngoja watukomeshe
 

Mdondoaji,
Nadhani umenielewa vibaya. In fact sija-doubt kwamba siyo mwadilifu. Ninachoongelea ni kwamba tumeshuhudia teuzi nyingi zinafanywa kwa watu wazuri kabisa kwa maana ya uchapa kazi na uadilifu walipokuwa kwenye ngazi za chini. Lakini wakikalia vyeo vikubwa utashangaa wanaanza kukumbwa na kashfa za ufisadi. Hisia zangu ni kuwa kwenye ngazi hizo kubwa ndipo unapokumbana na majaribu makubwa kwa sababu inawezekana saini yako inahitajika katika kufikia maelngo fulani ya kifisadi. It is from this point of view, nilikuwa natoa changamoto kwa huyo mkurugenzi mpya kwamba akae chonjo kukabiliana na mafisadi. That was my point.
 

Nimefurahi kukubali kuwa ni kweli kuwa wakati wa Mkapa kulikuwa na rushwa na madudu mengi kama Merermeta, Kiwira, Nyumba za Serikali na mengine mengi na kwa kuongezea wakati wa Mwinyi pia kulikuwa na madudu pia kama ya IPTL na mbuga iliyouzwa kwa waarabu! Nilichosema ni kuwa watu wazalendo wangeweza kukataa haya mambo kutendeka na ni aghalabu kuwa kwenye nafasi za kuweza kuzuia. Niliona nikimtaja JK ningeonekana mdini na sikufikiria kuwa ungelichukulia kiudini as Werema ni dini tofauti sikupenda nilizungumze la Werema na hoja ya kuilipa Dowans kwa sababu uliyisema wewe!

Tukija kwenye suala la kuwa waasia wana vifaa vya kufulia umeme ni kweli na hata wamatumbi wapo wenye ukwasi wanaovifaa hivyo lakini majority waasia wanakaa kariakoo na mitaa ya posta si wote wenye hivyo vifaa vya kufua umeme. Mimi binafsi sina! na hao wanaotumia hivyo vifaa wanavigharamia na sio kuwa vinajiendesha vyenyewe.

Napenda nimalizie kuwa najua wengi wenu humu mnashabikia sana mambo ya udini ila amini kuwa mimi nawapenda watu wa dini zote nimebahatika kusoma na wahindu, bohora, ethnasheri na wakristo Darajani Primary pale Tanga. nimesoma na wakristo wengi tu pale Dodoma Sec na mmoja wao yumo humu JF anaitwa Ackley Makasi yeye ni kama ndugu yangu na anajua kuwa marafiki zangu majority ni wakristo kwahiyo siwadharau wala sikuwahi kuwabagua hata siku moja kama huamini muulije Jeremia Hango yupo facebook atakuambia Tigamanywa Buhatwa. Na pia chuo cha umma kinachotoa mafunzo ya uhasibu nimesoma na wakristo na ndio marafiki zangu na kila wiki huwa tunakutana kujuzana mambo mbalimbali kuna members humu niliosoma nao chuo wananijua kuwa mimi ni mchizi wao na mimi ni machizi wangu. Itakuwa jambo la busara sana kutomhukumu mtu usiemjua.

Shukran.
 
Hpakuwa na mtu mwingine mwenye vigezo zaidi ya huyu? Au ndo vile tena mambo ya ud...i.

Naona sasa wanataka kuupaka matope uislamu!kwanini wateuwe mwarabu!!ili ionekane sisi waislamu na waarabu ni damu damu!wametufedhehesha,kama walikuwa wanataka kumuweka muislamu,naamini kuna waislamu wengi tu wana vigezo wa kutosha!
 


Tuko pamoja kaka maana mimi ni boss wangu kwa muda mrefu ni mtu tofauti na jinsi watu wanavyomfikiria. Hapa ni merits ndio zimembeba na si kingine.
 
Inataka kuaminishwa kuwa uteuzi wa Mhusika ktk nafasi hiyo umefanywa na Rais kitu ambacho si kweli. Taarifa inasema Katibu Mkuu wa maliasili ndiye aliyemteua kwa kuzingatia mamlaka aliyopewa kupitia Kifungu Na. 6(1) cha Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka 2002. Labda kama kuna ushahidi mwingine, tufahamishwe.
 

Katibu mkuu wa mali asili ni nani jina lake?
 
Kwa mwendo huo sijui kama tutafika anyway katika katiba mpya watu wa dini ya JK wasiruhusiwe kuitumikia Serikali full stop.

Mimi ndio niko hoi kabisa kwa mwendo huu wa kila uteuzi unapofanywa watu mnakimbilia udini basi tumekwisha . Ina maana akiteuliwa muislamu basi ni maneno tu.Ina maana waislamu hawana haki ya kuteuliwa katika hizo nafasi? Ibrahimu Mussa ni mtendaji mzuri tu sisi wengine tunafanya nae kazi mpaka sasa na hana tatizo katika utendaji wake na wala sio haki kumfananisha na RA. Jamani wakati mwingine great thinkers shirikisheni bongo zenu acheni chuki za kijinga.Ni merits tu hapo zimetumika katika kumchagua na wala sio dini.
 
khaaaaaa.kateuliwa na nani??? hivi jamani??? mi sielewi ...nikisema ntaonekana mdini..Ibrahimu Mussa huyu ni dini ile ya rais au?
Tuna safari ndefu, kwani dini ndio inatenda kazi?
 
hivi huyo katibu mkuu wa maliasili anaitwa nani vile!??
Plz nisinukuliwe vibaya tafadhali!
 
kama rangi ya ngozi yake ingekuwa nyeusi ungeuliza anatokea wapi ? Acha ubaguzi wewe !
 
unajua haya mambo yameletwa na ccm duu! Yaani naomba yawe humuhumu yasitoke nje tunakokunywa bia na jamaa zangu!
Na hata hivyo yapo kwenye magazeti tuu
jk kaleta ugonjwa mkubwa huu halafu anashindwa kuutibu!!
 

...Sidhani kama kigezo ni lazima awe mzuri zaidi ya wengine. Tufike mahali vitu vingine tujadili objectively. tusiwe rigid kama waingereza wakoloni wetu! Mi nisiemjua nauchukulia uteuzi wake kama a good step towards an Inclusive Tanzania. kama ana mapungufu ndo tuyaweke mezani, sio rangi au prejudices... au vipi tusubir performance yake ndo tu-judge. Hata ukiweka hiyo rangi na dini pembeni, tutauliza ni msukuma, au mnyakyusa au Mhaya... mara chache zana tutajiuliza kama angekua mDIGO, TEHTEH!
 

Hawa jamaa wana haki ya kumfananisha Ibrahim na Rostam kwa kuwa wote ni wabunge hii ni joke of the year kufananisha mbingu na ardhi! Ibrahim ni mtumishi wa kawaida kwenye wizara ya maliasili ameajiriwa na serikali Rostam yeye ni Mbunge ameajiriwa na wananchi wa igunga wala sidhani kama hilo tu linahitaji mtu awe na degree! nina wasiwasi sijui kama tutafika........... i am OUT ngoja niende kwenye jukwaa la mapenzi.
 
Dr. Ladislaus Komba

Huyo Dr Ladislaus Komba ameteuliwa na nani kushika hiyo nafasi ya ukatibu mkuu? na kwanini amemteua mtu ambae sio dini yake jamani? mie nimesikitika sana..................... I am trying to act kama mwana comedy.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…