Ibrahim Mussa Ndiye Mkurugenzi Mpya wa Utalii Tanzania

Ibrahim Mussa Ndiye Mkurugenzi Mpya wa Utalii Tanzania

Mkuu huyu jamaa binafsi namkubali sana na ninamuheshimu kinoma! Ila ukikuta post yake au coment yake
yaani huwa nashindwa kumwelewa kabisa
! anazungukaaaaa lakini mwisho wa coment huwa simuelewi kabisa.
Hicho ulichomwambia hata mie nilipanga oneday to tell him the same. Ahsante sana!. By the way namkubali sana
Shossi as a good great thinker

Contradiction! Unamkubali na humwelewi kabisa! Kazi kweli kweli hapa.
 
Hongera Bw. Mussa chapa kazi kwa faida ya nchi yako na watu wake wote

Achana na christian fundamentalist " we cannot change them"

Chapa kazi mkuu wetu wa utalii.
 
Contradiction! Unamkubali na humwelewi kabisa! Kazi kweli kweli hapa.
Mkuu namkubali kwenye baadhi ya post zake. Lakini kwenye post za kisiasa na zile tunazopinga udini
huwa nashindwa kumwelewa finishing yake.
 
Back
Top Bottom