Ibrahim Qubaisi kamanda Mkuu idara ya urushaji maroketi na makombora wa Hezbollah auawa jioni hii na ndege za IDF

Ibrahim Qubaisi kamanda Mkuu idara ya urushaji maroketi na makombora wa Hezbollah auawa jioni hii na ndege za IDF

News alert Ibrahim Qubaisi kamanda Mkuu idara ya urushaji maroketi na makombora wa Hezbollah auawa jioni hii na ndege za IDF

Mamlaka za Lebanon zinasema watu 6 wameuawa na 15 kujeruhiwa katika shambulio, huku watu wapatao 560 wakiwa wameuawa tangu mgogoro ulipozidi; Mwana jeshi wa akiba wa IDF amejeruhiwa kiasi kutokana na vipande vya bomu.

Mapigano makali mpakani kati ya Israel na Hezbollah yaliendelea Jumanne, ikijumuisha shambulio la anga la Israeli katika mji mkuu wa Lebanon, Beirut, huku kundi la kigaidi la Hezbollah likirusha zaidi ya maroketi 100 kuelekea kaskazini mwa Israel, na kusababisha milio ya ving’ora katika miji ikiwemo Haifa, Safed, Nazareth, na Yokne’am pamoja na maeneo ya Galila

Soma Pia: IDF yafanya shambulio la ndege zisizo na rubani Lebanon, Muhammad Najam Kamanda mwandamizi Hezbollah’s auawa

========
IDF strike in Beirut kills Hezbollah missile chief, as rockets pummel Israel

Lebanese authorities say 6 killed and 15 wounded in strike, some 560 killed since conflict spiked; IDF reservist moderately hurt by shrapnel

Intense cross-border fighting between Israel and Hezbollah continued on Tuesday, including an Israeli airstrike in the Lebanese capital of Beirut, as the terror group fired more than 100 rockets at northern Israel, setting off sirens in cities including Haifa, Safed, Nazareth, and Yokne’am as well as across the Galilee.

The target of the strike in the Dahiyeh suburb of Beirut was the head of Hezbollah’s rocket and missile division Ibrahim Qubaisi. The Israel Defense Forces said he had been killed in the attack, alongside other top commanders in the terror group.

Qubaisi commanded Hezbollah’s various rocket and missile units, including its precision-guided missile unit, according to the military.

“Over the years and during the war, he was responsible for the launches at the Israeli home front. Qubaisi was a central source of of knowledge in the field of missiles, and was close to the senior military leadership of Hezbollah,” the IDF said.

He had joined Hezbollah in the 1980s, and had served in several other significant roles, including a senior position in the terror group’s operations division and the head of the Badr regional division, the IDF added.
Hawa watu walijiingiza kwenye ugomvi usio wa kwao. Ugomvi WA mpalestina wao wakauvagaa kisa dini wanaamini pamoja watafurahishwa Sana maana dunia ya magharibi inahakikisha middle east haipati amani ili patawalike kwa manufaa ya west. Mambo mengine ni muhimu kumtumia akili na sio maguvu
 

Attachments

  • 20240925_064205.jpg
    20240925_064205.jpg
    55.5 KB · Views: 3
Unapiganaje na mtu anawajua nje ndani hivi? Yaani kwenye jeshi lenu anajua kila mtu na majukumu yake na mbaya zaidi anajua pakuwapata. Hii sio nzuri.
Wajiongeze fasta. Kwa masaada; Waambie wanyoshe mikono juu haraka la sivyo Mwamba atawamaliza wote.
 
Ndio Shia ndo waislam wa kweli chini ya kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein ibn ali A.S. Imaam ndo aliukomboa kuutetea na kuulinda uislamu kupitia yeye tumepewa Tawfiq tunauhakika wa jannah na firdaus.

Umeshsona ummah wa uislam wa kweli wakihiji Karbala wewee makkah cha mtoto.

Allah amfanyie wepes na aendelee kumpa qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein ibn ali A.S
We bwege kweli hapo wanaenda ziara kule karbala Hijah wanaenda Makkah acheni uwongo.
 
Wapi ........ameletewa mume huyo ..........hana jeuri ya kwenda kumtafuta ampendae wakati kaolewa na na miaka 16...........shubamiti yaani nyie ndio jamii ya kifara kuliko jamii zote hapa duniani .......mijinga kabisa iliyo haribu kwao sasa haina pa kukaa inatanga tanga dunia nzima .........tena mimi baba yako mdogo nimetom@@##% ba msomali mmoja juzi kati alikuwa yupo yupo tu nilikutana naye KFC barangulu wewe
Mpuuzi wewe!
Mamaangu ameolewa akiwa muhitimu wa chuo cha utumishi wa Umma magogoni Posta.
Akiwa na miaka 29.
Na alikua anajistiri na akaolewa.

Kama mmezoea ukaaji uchi ni nyie.
 
Huo moto kwenye video ndio Air base inawaka? Huo ndio moto wa shambulizi la Hazibollah kwa Israel?
dogo hio base imemalizwa vibaya sana na hio ni pembeni ya base israel usitegeme ataruhusu uonyeshe madhara anayo pata hata siku moja.
 
Mpuuzi wewe!
Mamaangu ameolewa akiwa muhitimu wa chuo cha utumishi wa Umma magogoni Posta.
Akiwa na miaka 29.
Na alikua anajistiri na akaolewa.

Kama mmezoea ukaaji uchi ni nyie.
Hawa watembea uchi noma sana, afu cha ajabu wanatukana hayo mavazi ya wanawake wakislamu, wakati mama yake Yesu ndio aliyavaa.
 
News alert Ibrahim Qubaisi kamanda Mkuu idara ya urushaji maroketi na makombora wa Hezbollah auawa jioni hii na ndege za IDF

Mamlaka za Lebanon zinasema watu 6 wameuawa na 15 kujeruhiwa katika shambulio, huku watu wapatao 560 wakiwa wameuawa tangu mgogoro ulipozidi; Mwana jeshi wa akiba wa IDF amejeruhiwa kiasi kutokana na vipande vya bomu.

Mapigano makali mpakani kati ya Israel na Hezbollah yaliendelea Jumanne, ikijumuisha shambulio la anga la Israeli katika mji mkuu wa Lebanon, Beirut, huku kundi la kigaidi la Hezbollah likirusha zaidi ya maroketi 100 kuelekea kaskazini mwa Israel, na kusababisha milio ya ving’ora katika miji ikiwemo Haifa, Safed, Nazareth, na Yokne’am pamoja na maeneo ya Galila

Soma Pia: IDF yafanya shambulio la ndege zisizo na rubani Lebanon, Muhammad Najam Kamanda mwandamizi Hezbollah’s auawa

========
IDF strike in Beirut kills Hezbollah missile chief, as rockets pummel Israel

Lebanese authorities say 6 killed and 15 wounded in strike, some 560 killed since conflict spiked; IDF reservist moderately hurt by shrapnel

Intense cross-border fighting between Israel and Hezbollah continued on Tuesday, including an Israeli airstrike in the Lebanese capital of Beirut, as the terror group fired more than 100 rockets at northern Israel, setting off sirens in cities including Haifa, Safed, Nazareth, and Yokne’am as well as across the Galilee.

The target of the strike in the Dahiyeh suburb of Beirut was the head of Hezbollah’s rocket and missile division Ibrahim Qubaisi. The Israel Defense Forces said he had been killed in the attack, alongside other top commanders in the terror group.

Qubaisi commanded Hezbollah’s various rocket and missile units, including its precision-guided missile unit, according to the military.

“Over the years and during the war, he was responsible for the launches at the Israeli home front. Qubaisi was a central source of of knowledge in the field of missiles, and was close to the senior military leadership of Hezbollah,” the IDF said.

He had joined Hezbollah in the 1980s, and had served in several other significant roles, including a senior position in the terror group’s operations division and the head of the Badr regional division, the IDF added.
Hii ndio maana halisi ya propaganda .
Yaani huku kauliwa kamanda alafu upande mwingine mabomu 100 yamerushwa ila hupewi taarifa zake
Hivi ndio jinsi wanatumia vyombo vya habari kwa upande wao
Na kubadili mind set za watu ,,..
Bhc mtu mweusi kila akichek BBC anaona taifa teule halipigiki
 
Wapi ........ameletewa mume huyo ..........hana jeuri ya kwenda kumtafuta ampendae wakati kaolewa na na miaka 16...........shubamiti yaani nyie ndio jamii ya kifara kuliko jamii zote hapa duniani .......mijinga kabisa iliyo haribu kwao sasa haina pa kukaa inatanga tanga dunia nzima .........tena mimi baba yako mdogo nimetom@@##% ba msomali mmoja juzi kati alikuwa yupo yupo tu nilikutana naye KFC barangulu wewe
Acha ushamba na utu uzima huu wajisifia kufanya sexy ?
Kwa hio wataka wakae uchi iki uwe unawataman na kuwachapa tuh
Dada yako na Mama yako na mkeo wakikaa uchi inatosha wacha Dada zetu na wake zetu tuishi nao kizamani
 
Hezbollah karudishwa nyuma miaka 20
Hii vita bado mbichi. Hao Hezibollah nao wako vizuri. Kisaikolojia wana advantage over Israelis kwa vile wao wanaamini ni faida kufa vitani. Na kijeshi wamejiandaa kwa vita ya muda mrefu. Wana silaha nzuri na ni wazoefu wa vita. Pia eneo la south Lebanon, kwao ni uwanja wa nyumbani, wanaujua zaidi kuliko waisrael. Pia, baadhi ya ya members wa Hezibollah ni wapalestina wa kuhamia, kwao ni muhimu sana kuwapiga waisrael.

Israel inaweza kushinda vita hii, lakini nayo itaumia.
 
Mkuu si kila mzungu/Mmarekani ana akili sawasawa. Wengine kama wewe tu.
Mimi na wewe nani ana akili? Wewe unatembea na mavi na umevaa suit na unasema binadamu aliye zaliwa kwenye zizi la ngo'mbe Mungu 😄 kapime akili zako kwanza afu uje ufananishe na zangu.
 
Mkuu si kila mzungu/Mmarekani ana akili sawasawa. Wengine kama wewe tu.
Ona ulivyo mpuuzi.
Unajua huyo yuko Marekani na anaongea kile anachokijua!??
Unajua raia wa Marekani ni kiasi gani wamekua wanalalamika ndugu zao wanajeshi kupelekwa vita zisizowahusu ili wakafe huko!??
 
Mimi na wewe nani ana akili? Wewe unatembea na mavi na umevaa suit na unasema binadamu aliye zaliwa kwenye zizi la ngo'mbe Mungu 😄 kapime akili zako kwanza afu uje ufananishe na zangu.
Huyu jamaa ni bonge la FALA.
Mtu anazungumza ukweli askari wa Marekani wanaenda kupigana vita zisizowahusu anamtoa akili aliyesema hivyo.
 
Ona ulivyo mpuuzi.
Unajua huyo yuko Marekani na anaongea kile anachokijua!??
Unajua raia wa Marekani ni kiasi gani wamekua wanalalamika ndugu zao wanajeshi kupelekwa vita zisizowahusu ili wakafe huko!??
Hawa wavaa msalaba wengine wako njia panda, sababu Paulo aliota kamuona Yesu kumbe kaliona Shetani. Wangekuwa na akili wasome bibilia zao anaye tundikwa kwenye msalaba ni nani wangepata akili. Wakisikia Israel wanachanganyikiwa sababu wamelambishwa pipi za Paulo kule kanisani eti ni taifa teule.
 
Huyu jamaa ni bonge la FALA.
Mtu anazungumza ukweli askari wa Marekani wanaenda kupigana vita zisizowahusu anamtoa akili aliyesema hivyo.
Fala la mwisho kabisa hawa ndio wale wanataka wakoseme kilimo cha kisasa na ufugaji Israel, afu wanapewa bunduki nenda kafie mbele huko.
 
Back
Top Bottom