ICC case against Muthaura dropped while witness opts out in Ruto's case.

ICC case against Muthaura dropped while witness opts out in Ruto's case.

Heshima mbele kamanda.

Acha nikupe darasa.

Hii kesi itamtumbukia William Ruto nyongo maana katika watuhumiwa wote, yeye na yule Sang ndo
wanakazi kubwa kinoma. Ushahidi dhidi yao ulitoka serikalini na Kibaki mwenyewe alinukuliwa akisema
katika zile 'Wikileaks' kwamba anaamini fika kua Ruto ndiye aliyekua incharge ya kuua wakikuyu mitaa
ya Rift Valley. Kipindi hicho hawakua washkaji na Uhuru. Kwa hivyo phone records na taped conversations
pamoja na witness kadhaa waliwasilishwa na serikali ya Kibaki. That is fool proof evidence coming from
the Govt.

Hata hivyo kutoa ushahid dhidi ya Uhuru na Muthaura ilimsumbua sana bwana Ocampo na huyu Fatou nd'o
maana hii kesi ya Muthaura imeshindankana.

Sipendi kutoa utabiri wa hizi kesi lakini ukiniuliza nitakwambia Uhuru Kenyatta anaweza kuepuka lakini Ruto
na Sang watabaki tu!...Huyo Sang wanaye kwenye Redio kipindo hicho aliopkua mtangazi wa KASS FM. Alikua
anawaita wakikuyu 'Madoadoa' na 'magugu'...hawakupaswa kua Rift Valley na baada ya hizo kura tuliona matokeo
yake.

Kaeni mkao wa kula maana hii songombinde nd'o mwanzo inatoa uhondo!



Mkuu Ab-Titchaz pia unaweza kutusaidia hapa kuna swali watu wengi wanauliza ikiwa Raisi Kibaki ndiye alikuwa mgombea wa uchaguzi na Bw. Raila Na baada ya Raila kudai kuwa ameibiwa kura tuliona mambo yaliyojitokeza hata raisi kujiapiasha haraka haraka vichochoroni na baada ya hapo machafuko yakatokea Key suspect walipaswa wawi hawa watu wawili then kila Uhuru, ruto na hawa jamaa wengine wafwatie kwa mbali kutokana na kauli zao zilizochochea vugugu hizo, kwamfano huyu mtangazaji ni wazi kuwa kauli zake kupitia vvyombo vya habari zilichochea watu kujitokeza mitaani na kupigana.
Kama ilivyokuwa kwa Lora bagbo au kuna double standard??
 
Last edited by a moderator:
Huu ndo sasa unaitwa mtazamo finyu.
Sasa Odinga kaingia vipi humu?

Kwa mtazamo wangu najua aliyeanzisha chokochoko zote nizi ni Odinga na hata kwa sasa anapotoa takwimu za uongo kuwa kaibiwa. Haitachukua Muda Ulimwengu utajua kweli ni ipi na nani alitayarisha fujo za 2007. Tuache ushabiki tunachoombea sio fujo kwa hawa wenzetu a kufikishana ICC. ni bora tuwaombee waondoe kesi zote na odinga akubali yaishe kwani 2017 sio mbali
[h=2]Re: Nipeni hoja ya msingi kwanini Raila Odinga na Boss wake Mwai Kibaki hawakushtakiwa huko ICC[/h]
ICC inajua sababu za kuwaacha Kibaki na Odinga huku wao wakiwa ndio vinara wa machafuko hayo. Wakenya wanalitambua hilo ndio maana wamewachagua Uhuru na Ruto ikiwa ni ishara kuwa ICC haikuwatendea haki. Jamii ya kimataifa itambue kuwa Kenya ni nchi huru na maamuzi yao ni huru, na uhuru huo wameutumia kumchagua Uhuru, hawapaswi kuingiliwa na taifa lolote. Hongera Uhuru na hongera Ruto pia.​



Hawa IEBC sijui watajitetea vipi na ishu kama hizi!
Endebess Constituency deputy Returning Officer opening the briefcase containing the disputed results at the OCPD office, Kitale.
In this particular criminal case,
Uhuru Kenyatta has been given 61,000 votes against a total of 29,000 registered voters for Endebess constituency.

Endebess Constituency Results


Constituency Statistics
Population 818,757
Population Density (per sq km) 331
Registered Voters 415,581
Area (sq km) 2,470


[TABLE="class: cms_table_results cms_table_county-const-results"]
[TR]
[TH="class: cms_table_results-cand-head"]Candidate[/TH]
[TH="class: cms_table_results-party-head"]Party[/TH]
[TH="class: cms_table_results-votes-head"]Votes[/TH]
[TH="class: cms_table_results-perc-head"]% Votes[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD="class: cms_table_results-cand"]ODINGA
[/TD]
[TD="class: cms_table_results-party"]ODM [/TD]
[TD="class: cms_table_results-votes"]7,608[/TD]
[TD="class: cms_table_results-perc cms_table_clearfix"]32.4%[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: cms_table_results-cand"]MUITE[/TD]
[TD="class: cms_table_results-party"]SAFINA[/TD]
[TD="class: cms_table_results-votes"]68[/TD]
[TD="class: cms_table_results-perc cms_table_clearfix"]0.3%[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: cms_table_results-cand"]MUDAVADI[/TD]
[TD="class: cms_table_results-party"]UDFP[/TD]
[TD="class: cms_table_results-votes"]4,012[/TD]
[TD="class: cms_table_results-perc cms_table_clearfix"]17.1%[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: cms_table_results-party"]RBK[/TD]
[TD="class: cms_table_results-votes"]215[/TD]
[TD="class: cms_table_results-perc cms_table_clearfix"]0.9%[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: cms_table_results-cand"]KARUA[/TD]
[TD="class: cms_table_results-party"]NARC-K[/TD]
[TD="class: cms_table_results-votes"]154[/TD]
[TD="class: cms_table_results-perc cms_table_clearfix"]0.7%[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: cms_table_results-cand"]KENNETH[/TD]
[TD="class: cms_table_results-party"]KNC[/TD]
[TD="class: cms_table_results-votes"]140[/TD]
[TD="class: cms_table_results-perc cms_table_clearfix"]0.6%[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: cms_table_results-cand"]KENYATTA
[/TD]
[TD="class: cms_table_results-party"]TNA [/TD]
[TD="class: cms_table_results-votes"]11,213[/TD]
[TD="class: cms_table_results-perc cms_table_clearfix"]47.7%[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="class: cms_table_results-cand"]DIDA[/TD]
[TD="class: cms_table_results-party"]ARK[/TD]
[TD="class: cms_table_results-votes"]104[/TD]
[TD="class: cms_table_results-perc cms_table_clearfix"]0.4%[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
 
Francis Muthaura: ICC drops case against Kenyan accused

_66319092_muthaura.jpg
Uhuru Kenyatta (centre left) and Francis Muthaura (centre right) were on the same side during the disputed 2007 election



11 March 2013Last updated at 12:04 ET
The International Criminal Court (ICC) has dropped charges against Francis Muthaura, a co-accused of Kenya's presidential election winner Uhuru Kenyatta.
Fatou Bensouda said some witnesses were too scared to testify, while another had recanted his statement.
Mr Muthaura was accused of fuelling violence after the 2007 election.
Lawyers for Mr Kenyatta, who won last week's elections, said similar charges against him should now be dropped.
His trial is due to start in July.
Mr Muthaura, a former civil service chief, was on the same side as Mr Kenyatta during the disputed 2007 election, after which more than 1,000 people were killed and about 600,000 were left homeless.

'Utterly flawed'
Mr Kenyatta is accused of organising attacks on members of ethnic groups seen as supporting Raila Odinga against President Mwai Kibaki. He denies the charges.

Mr Muthaura was accused of five counts of crimes against humanity, including authorizing the police to use excessive force against protestors during the violence that swept through Kenya after the 2007 election.
The BBC's Gabriel Gatehouse reports from the Kenyan capital, Nairobi, that the decision to drop charges against Mr Muthaura could have a bearing on the case against Mr Kenyatta, who beat Mr Odinga in the 4 March election.
Both men were accused of developing a plan to get the feared Mungiki sect to attack ethnic Kalenjins, seen as supporters of Mr Odinga in 2007.
But a key witness - known as witness number four - who had been due to testify that Mr Muthaura had been present at a meeting where this plan was formulated, has admitted lying and taking bribes and so his evidence has been dropped.
However, Ms Bensouda stressed that her decision had no bearing on Mr Kenyatta - and nor was it affected by the election result.
"Let me be absolutely clear on one point - this decision applies only to Mr Muthaura," she said in a statement. "It does not apply to any other case."
Ms Bensouda said she had dropped charges against Mr Muthaura because several people who may have provided important evidence had died, while others were "too afraid" to testify for the prosecution.
She also noted the "disappointing fact" that Kenya's government had failed to provide important evidence, and failed to facilitate access to witnesses.
"While we are all aware of political developments in Kenya, these have no influence, at all, on the decisions that I make," Ms Bensouda added.

Mr Kenyatta's lawyer Steven Kay called on Ms Bensouda to reconsider the case against him, AP news agency reports.
"In light of what the prosecution has said... they should consider their position honestly in relation to Mr Kenyatta,'' he is quoted as saying.
"The evidence they are seeking to rely on is utterly flawed."
Mr Muthaura was among six people who were originally charged by the ICC - two others, Hussein Ali and Henry Kosgey, had charges against them dropped earlier.
Mr Kenyatta contested the 4 March election, despite being charged. He said he was innocent and vowed to clear his name in court.
He won with 50.07% of the vote, compared with the 43.31% for Mr Odinga.
Mr Odinga is challenging the result in court, claiming it was marred by irregularities.
In 2007, he lost to Mr Kibaki, who is now stepping down at the end of his two terms.
Mr Kenyatta backed Mr Kibaki during the 2007 election.
His running mate in last week's election, William Ruto, supported Mr Odinga in 2007.
Mr Ruto is also due to stand trial at The Hague for orchestrating violence against supporters of Mr Kibaki in 2007 - he strongly denies the allegation.
Source: bbc news
 
Mkuu Ab-Titchaz pia unaweza kutusaidia hapa kuna swali watu wengi wanauliza ikiwa Raisi Kibaki ndiye alikuwa mgombea wa uchaguzi na Bw. Raila Na baada ya Raila kudai kuwa ameibiwa kura tuliona mambo yaliyojitokeza hata raisi kujiapiasha haraka haraka vichochoroni na baada ya hapo machafuko yakatokea Key suspect walipaswa wawi hawa watu wawili then kila Uhuru, ruto na hawa jamaa wengine wafwatie kwa mbali kutokana na kauli zao zilizochochea vugugu hizo, kwamfano huyu mtangazaji ni wazi kuwa kauli zake kupitia vvyombo vya habari zilichochea watu kujitokeza mitaani na kupigana.
Kama ilivyokuwa kwa Lora bagbo au kuna double standard??

Ngoja nikujibu freshi kamanda ndiposa usipate usumbufu tena kuhusu swali lako.

Kwanza kabisa uchunguzi ulifanywa na kweli hapakupatikana ushahidi wa kuwasilisha hawa watu
wawili kule ICC. Unajua mambo ya mahakamani si kama ya kijiweni. Mahakamani kama huna
ushahidi ndo imekula kwako...hata kama jamaa kakudhulumu wazi. Thats why they say the law
is an ass.

Unajua ni rahisi mtu kuja hapa na kusema ooh sijui Kibaki na Raila ndio watuhumiwa wakuu. Huo sasa
nd'o uswahili mtaani maana ukiambiwa upeleke ushidi mahakamani inakua hadithi ndefu. Kiingereza
mtu anakuambia these are theories based on circumstantial evidence. Ruto alikua na vijana wake
ambao alikua anawatumia kuua wakikuyu kule Rift Valley. Uhuru nae kuona hivyo na kuona Kibaki
kalemaa ikulu akaamua achukue hatua mkononi akijua wazi kwamba anajitengezea jina kama mkombozi
wa kabila la wakikuyu. Pia akajua wazi hii shughuli ikishindikana Kibaki lazima atamtetea maana baadhi
ya mikutanoya kupanga revenge attacks ilfanyika ikulu na Kibaki alikuwepo.

Ndipo tulipo hivi sasa...Kibaki aligoma Ocampo kuwahoji baadhi ya ma-top officials serikalini ili kuwauliza
amri zilikua zinatoka wapi. Ndo maana mtu kama Muthaura ana-toboa kesi. Si eti kwamba hakufanya
bali ushahidi hamna. Kama wangewashtaka Kibaki na Raila leo hii ungesikia kesi zimetupwa kwa sababu
ya ukosefu wa ushahidi na jamaa hawakutaka kupoteza huo mda.

Hii ngoma ikiisha naamini Ruto na Sang watabaki tu kule Hague...Uhuru ana-sevu wazi maana kama Muthaura
ushahidi wa kutosha hamna especially baada ya baadhi ya mashahidi wakuu kubadili story na wengine
kuuliwa.

Nadhani umenielewa hapo kamanda.

P.S. Kuhusu Gbagbo, tatizo ni kwamba hasidi yake ndiye aliyemamlakani na amewapa wachunguzi wa ICC
kila wanachotaka kumkaanga Gbagbo. Hapo sasa.
 
Niliandika hapa mara baada ya Uhuru kushinda kwamba "Watch them clamor to let Uhuru go scott free".

Hata wiki bado, haooo.

SMH

Nimemsikiliza Fatou leo BBC. Anaonekana anaanza ku lower expectations tu.

Huu ni mwanzo tu.

Kama wamemshindwa dagaa, kambale watamuweza?
 
Mkuu Ab-Titchaz ni asante lakini umeonyesha ni yakuwa naongea mambo ya mtaani lakinikatika kujieleza kwako nawewe ukarudisha yaleyael ya vijiweni
kwa mfano hapa unasema
1.Kwanza kabisa uchunguzi ulifanywa na kweli hapakupatikana ushahidi wa kuwasilisha hawa watu
wawili kule ICC.
2. Pia akajua wazi hii shughuli ikishindikana Kibaki lazima atamtetea maana baadhi
ya mikutanoya kupanga revenge attacks ilfanyika ikulu na Kibaki alikuwepo.
3. Kibaki aligoma Ocampo kuwahoji baadhi ya ma-top officials serikalini ili kuwauliza
amri zilikua zinatoka wapi.
Namba 1-3 ni kwa mujibu wako mwenyewe kwanza unadai hakukuwa na ushahidi na pili wewe unadai kibaki alikuwepo ikulu na tatu aligoma baadhi ya watu wasiojiwe.

Huoni kuna mkanganyiko hapo??
na kama ni hivyo mamlaka ya ICC ni ipi kama itaweza kufungua kesi ilihali serekali hiyohiyo inayotuhumiwa inagomea baadhi ya watu wasiojiwe haki iko wapi hapo.
najua ni ngumu sana kupata haki kwenye mahakama za dunia lakini kweli sio tu uishe kusema tunaongea mambo ya uswahilini ilihali na wewe unadai mipango ilikuwa inafanyi ikulu na kibaki akiwepo je huu nao ni uswahili???
 
Last edited by a moderator:
Atakuwa wanted huyo Uhuru naona Wakenya mtegemee kinacho wakuta Zimbabwe au Sudani
Tofauti ya sisis na wazungu ni kwamba,wenzetu wanajifunza na makosa,malengo ya vikwazo hayakufanikiwa,yameishia kuwatesa wananchi masikini wa Zimbabwe. Pili kumbuka Kenya ndilo taifa lenye uchumi mkubwa zaidi ktk eneo hili,na bidhaa nyingi zinazotumika ktk nchi za karibu zote jirani,aidha zinazalishwa Kenya ama zinapitia bandari ya Mombasa. Kuna issue ya ushirikiano muhimu ktk kupambana na ugaidi na kurudisha amani ktk Somalia. Haya yote yanaondoa kabisa uwezekano wa vikwazo. Pengine kama wanataka kuitumia Mahakama kuivuruga Kenya ili wamsimike kibaraka wao.
 
Mkuu Ukwaju kama takwimu zako ziko sahihi utaona kura zote za Endebes hazikuzidi elfu 19,lakini hawa waongo walikwisha sema Uhuru pekee kapigiwa kura elfu 61 wakati jimbo lina wapiga kura elfu 29.
 
Tofauti ya sisis na wazungu ni kwamba,wenzetu wanajifunza na makosa,malengo ya vikwazo hayakufanikiwa,yameishia kuwatesa wananchi masikini wa Zimbabwe. Pili kumbuka Kenya ndilo taifa lenye uchumi mkubwa zaidi ktk eneo hili,na bidhaa nyingi zinazotumika ktk nchi za karibu zote jirani,aidha zinazalishwa Kenya ama zinapitia bandari ya Mombasa. Kuna issue ya ushirikiano muhimu ktk kupambana na ugaidi na kurudisha amani ktk Somalia. Haya yote yanaondoa kabisa uwezekano wa vikwazo. Pengine kama wanataka kuitumia Mahakama kuivuruga Kenya ili wamsimike kibaraka wao.

Ngoja tuwaachie waKenya wanyooshwe si wamechagua wenyewe moto
 
Mkuu Ab-Titchaz ni asante lakini umeonyesha ni yakuwa naongea mambo ya mtaani lakinikatika kujieleza kwako nawewe ukarudisha yaleyael ya vijiweni
kwa mfano hapa unasema
1.Kwanza kabisa uchunguzi ulifanywa na kweli hapakupatikana ushahidi wa kuwasilisha hawa watu
wawili kule ICC.
2. Pia akajua wazi hii shughuli ikishindikana Kibaki lazima atamtetea maana baadhi
ya mikutanoya kupanga revenge attacks ilfanyika ikulu na Kibaki alikuwepo.
3. Kibaki aligoma Ocampo kuwahoji baadhi ya ma-top officials serikalini ili kuwauliza
amri zilikua zinatoka wapi.
Namba 1-3 ni kwa mujibu wako mwenyewe kwanza unadai hakukuwa na ushahidi na pili wewe unadai kibaki alikuwepo ikulu na tatu aligoma baadhi ya watu wasiojiwe.

Huoni kuna mkanganyiko hapo??
na kama ni hivyo mamlaka ya ICC ni ipi kama itaweza kufungua kesi ilihali serekali hiyohiyo inayotuhumiwa inagomea baadhi ya watu wasiojiwe haki iko wapi hapo.
najua ni ngumu sana kupata haki kwenye mahakama za dunia lakini kweli sio tu uishe kusema tunaongea mambo ya uswahilini ilihali na wewe unadai mipango ilikuwa inafanyi ikulu na kibaki akiwepo je huu nao ni uswahili???


Mkuu,

Nilikua nakujibu from 2 perspectives. Nimekupa mtazamo official wa ICC na kisha nkikarusha hadithi
zangu za uswahilini. Hapo sikatai. Acha nirudie tena kwa kukupa historia kidogo.

ICC walipewa ushahidi mwingi na Jaji Waki ambaye ni Jaji Mkenya aliyepewa mamlaka na uwezo na
serikali ya Kibaki. Jamaa akafanya uchanguzi wake na kuhoji watu kibao na akawa na majina kadhaa
ya washukiwa. Alipomaliza kazi akamkabidhi Rais Kibaki pamoja Koffi Annan ripoti kamili ya shughuli yake.
Kama kawaida yake Kibaki akachukua bahasha na kuichunia. Recommendations ilikua kwamba Kibaki
ataamuru mahakama iwachukulie hatua walokuwemo ndani ya ile ripoti. Kitu ambacho Jaji Waki
hakusema ni kwamba ile ripoti alopewa Annan ilikua na amri kwamba kama Kenya haingeunda local
tribunal kushughulikia hii mambo basi hizi kesi zingeenda kule Hague.

Katika mda huo Bunge la Kenya likiongozwa na wabunge waliokua wakim-support Ruto na Uhuru wakawa
wanasema hio bahasha ipelekwa kule Hague ikashughulikiwe na Ocampo. Ole wao hawakujua ni majina ya
kina nani yalokuwemo na walijua Raila ni mshukiwa mkuu. Baada ya muda kupita na Bunge kukataa kata kata
kesi zishughulikiwe Kenya Ocampo akafungua ile bahasha alopewa na Anaan. Yeye pia kwa upande wake
hakutaja majina yaliokuwemo. Kisha akapewa muda kuja Kenya kufanya uchunguzi wake mwenyewe
akiwa na ile ripoti ya Waki kama guideline. Jamaa akafanya uchunguzi wake na akarudi Netherlands kuandika
ripoti yake na hatimaye akaja na majina ya watu 6...who bore the most responsibility for the leading to
the violence of 2007 -2008.

Kufikia hapo hamna hadithi ya uswahilini. Hio yote ni habari yenye vyanzo kote mtandaoni na magazetini.
 
[h=5][/h]


President-elect Uhuru Kenyatta says his case at The Hague cannot stand without that of his co-accused, former Head of Civil Service Francis Muthaura.

The new argument comes as the prosecution filed a petition at the International Criminal Court to withdraw all the charges against Muthaura citing insufficient evidence.

In an application dated Friday ahead of the Status Conference yesterday, Uhuru insisted the two cases are intertwined since the prosecution has consistently framed its case as a common plan involving the two of them.

Illogical argument

“Any decision regarding the liability of Muthaura would necessarily, on the prosecution’s own analysis, impact upon any determination of Uhuru’s liability. In short, the mode of liability as confirmed cannot be maintained against Uhuru without Muthaura,” his defence lawyers Steven Kay and Gillian Higgins argued.

They termed as illogical the prosecution’s argument that Muthaura’s case can be remitted to the pre-trial chamber for reconsideration without that of Uhuru.

They reminded the three-judge Bench that according to the prosecution, both Uhuru and Muthaura made essential contributions to a common plan, which resulted in the realisation of the crimes charged.

“According to the prosecution’s analysis, Uhuru and Muthaura colluded to exercise a level of control over the Mungiki and the police forces, such that the allegedly planned and coordinated post-electoral violence could take place,” the counsel maintained.

Alleged role

“As alleged, the two roles are interdependent, and the realisation of the alleged common plan necessarily relies upon the contributions of both accused. Therefore, the alleged role of Uhuru cannot be considered in abstraction.”

Uhuru also said in the absence of evidence that was given by ‘Witness 4’ whose testimony has since been dropped, the prosecution’s allegations in regards to the alleged State House meeting and another at Nairobi Members Club are utterly unsubstantiated.

He insisted the pre-trial chamber supported its determination in respect of two meetings almost exclusively with the evidence of ‘Witness 4’.

“Any further evidence cited by the chamber in support of these allegations was sourced from hearsay or anonymous witness summaries, which cannot, alone, confirm the specific facts and circumstances of a case,” the lawyers submitted.

- The Standard
 
Hii kesi itamtumbukia William Ruto nyongo maana katika watuhumiwa wote, yeye na yule Sang ndo
wanakazi kubwa kinoma.
!

"If set out for revenge, be sure to dig two graves"
- Chinese proverb.

Rutto ana kibarua!
 
Asante Ab-Titchaz umenisaidia kuelewa kiini kabisa cha hii kesi namwenendo wake mzima kufikia sasa. kwahiyo Ruto hachomoki hapo na je Uhuru kama Raisi hawezi msaidia jamaa kuchomoka kwa kuwafutilia mbali baadhi ya mashaidi maana Uhuru ndio hivyo tena kasaidiwa na Ruto sasa hawezi lipa fadhilia maana kwa mujibu wa Mbuzi Mzee nana kuna hili badniko tena
Uhuru Says His ICC Case Cannot Stand Without Muthaura's
Ohoo my Dog
 
Last edited by a moderator:
Asante Ab-Titchaz umenisaidia kuelewa kiini kabisa cha hii kesi namwenendo wake mzima kufikia sasa. kwahiyo Ruto hachomoki hapo na je Uhuru kama Raisi hawezi msaidia jamaa kuchomoka kwa kuwafutilia mbali baadhi ya mashaidi maana Uhuru ndio hivyo tena kasaidiwa na Ruto sasa hawezi lipa fadhilia maana kwa mujibu wa Mbuzi Mzee nana kuna hili badniko tena
Uhuru Says His ICC Case Cannot Stand Without Muthaura's
Ohoo my Dog

Hapo kwenye nyekunde tutaona kadri ya mda unavyosongea. Lakini kwa ufupi kuwaamini hawa watu ni ngumu
sana kutokana na historia yao. Huo ushahidi kama uliwasilishwa na serikali ya Kibaki basi jua ndio basi tena. Alafu
unajua kesi ikizidi kumbana Ruto kule Hague, huku Kenya nako watu wataanza kumwambia Uhuru amuondoa Ruto
kama makamu wa Rais maana katiba hairuhusu. Hicho ndo kitakua chanzo cha Uhuru kumwachisha kazi Ruto na
kudai amelazimishwa na mambo ya nyakati. Drama inakuja hapo mbeleni mkuu.

Hio kelele ya Uhuru Kenyatta kuhusu kesi na Muthaura nitaiwachia hapo maana ushahidi uliopo kule hatuujui kikamilifu
hadi kesi zitakapoaanza. Hata Uhuru mwenyewe hafahamu ushahidi dhidi yake ukoje.
 
Hapo kwenye nyekunde tutaona kadri ya mda unavyosongea. Lakini kwa ufupi kuwaamini hawa watu ni ngumu
sana kutokana na historia yao. Huo ushahidi kama uliwasilishwa na serikali ya Kibaki basi jua ndio basi tena. Alafu
unajua kesi ikizidi kumbana Ruto kule Hague, huku Kenya nako watu wataanza kumwambia Uhuru amuondoa Ruto
kama makamu wa Rais maana katiba hairuhusu. Hicho ndo kitakua chanzo cha Uhuru kumwachisha kazi Ruto na
kudai amelazimishwa na mambo ya nyakati. Drama inakuja hapo mbeleni mkuu.

Hio kelele ya Uhuru Kenyatta kuhusu kesi na Muthaura nitaiwachia hapo maana ushahidi uliopo kule hatuujui kikamilifu
hadi kesi zitakapoaanza. Hata Uhuru mwenyewe hafahamu ushahidi dhidi yake ukoje.
Ab-Titchaz,
Kuna habari ilichapishwa nadhani wiki ka mbili hivi ikinukuu OTP Bensouda akisema watatumia ushahidi wa Satellite miongoni mwa ushahidi mwingineo kumnasa Uhuru??? Did u passed through that info?
 
Last edited by a moderator:
Ab-Titchaz,
Kuna habari ilichapishwa nadhani wiki ka mbili hivi ikinukuu OTP Bensouda akisema watatumia ushahidi wa Satellite miongoni mwa ushahidi mwingineo kumnasa Uhuru??? Did u passed through that info?


Hii hapa:


ICC set to use satellite images as evidence



Updated Sunday, February 17 2013 at 15:09 GMT+3

By Felix Olick

The International
Criminal Court (ICC) has a new strategy to gather evidence against the four Kenyan suspects.

The prosecution intends to use
satellite images and remote sensing data, calls and emails as part of the evidence. The prosecution has notified the Chamber that their expert "a renowned United Nations satellite specialist" would produce satellite images on the locations of interest and alleged meetings.

Noticeable in the areas that ICC Chief Prosecutor Fatou Bensouda wants processed in the satellite images, is the controversial State House meeting.

In this meeting, Mungiki sect members were allegedly asked to carry out retaliatory attacks against perceived ODM supporters in Naivasha and Nakuru.

Also captured in Bensouda's list is Nairobi members club on or around January 3, 2008 where it is alleged Jubilee presidential fl ag bearer Uhuru Kenyatta and former Head of Civil Service Francis met for similar preparatory meetings.

Prosecution's request

This (satellite expert) specialized knowledge and skills will assist the Chamber in understanding and interpreting these images, which will in turn inform the Chamber's analysis of evidence that underpins the crime base incidents in Nakuru, PEV-related preparatory meetings and sites of gathering of internally displaced persons in and around Nakuru and Naivasha, said Bensouda.

During the pre-trial stage, former ICC Chief Prosecutor Luis Moreno- Ocampo convinced the judges that Uhuru, Muthaura and President Kibaki met Mungiki members at State House in Nairobi.

But the new prosecution's strategy comes amid request by Uhuru and Muthaura that their cases be referred back to the Pre-Trial Chamber for reconsideration.

The duo repeated this request on Thursday during a Status Conference at The Hague after it emerged the prosecution had withdrawn the principal and the only witness that linked them to the State House meeting.

Their defence counsels claimed that the Pre-Trial Chamber had based its decision on confi rmation of charges on the evidence of the Witness 4 and as a result the case can now not stand.

Standard Digital News - Kenya : ICC set to use satellite images as evidence
 
Hapo kwenye nyekunde tutaona kadri ya mda unavyosongea. Lakini kwa ufupi kuwaamini hawa watu ni ngumu
sana kutokana na historia yao. Huo ushahidi kama uliwasilishwa na serikali ya Kibaki basi jua ndio basi tena. Alafu
unajua kesi ikizidi kumbana Ruto kule Hague, huku Kenya nako watu wataanza kumwambia Uhuru amuondoa Ruto
kama makamu wa Rais maana katiba hairuhusu. Hicho ndo kitakua chanzo cha Uhuru kumwachisha kazi Ruto na
kudai amelazimishwa na mambo ya nyakati. Drama inakuja hapo mbeleni mkuu.

Hio kelele ya Uhuru Kenyatta kuhusu kesi na Muthaura nitaiwachia hapo maana ushahidi uliopo kule hatuujui kikamilifu
hadi kesi zitakapoaanza. Hata Uhuru mwenyewe hafahamu ushahidi dhidi yake ukoje.


Duh kwahiyo Ruto anaweza kuwa ananinginia na BIG G pande zote sio yaani ICC na pia kwenye serekali? Tuzidi kumwombea kwa Mola ili haya masaibu yapite na aendelee na maisha, ndio tunajua kuna roho za watu zilipotea na wegine walijeruhiwa na kupoteza mali kutokana na machafuko ila najua Allah ni mwingi wa Rehema na si mwepesi wa hasira na pia huwasamehe waja wake makosa yao hivyo basi tuzidi kumwombea rutho na wote ili hii kesi inayowakabili ikafutiliwe mbali na wakapate muda wa kuwatumikia wananchi waliowachagua kwa hekima na busara na wakaedeleze wimbi na maendeleo alilolisukuma mbele sana mzee mzee kibaki
Pia ni kama naona kama hii kesi ikimwendea vizuri anaweza kuja kuwa raisi wa kenya baada ya UHURU au wewe kwa hilo unasemaje. Amina
 
Those of you who think uhuru was culpable need to take a walk down memory lane, the prosecution says the held a meeting in nov 2007 to plan revenge attacks using mungiki and police, his co-accused were Ali and Muthaura whose charges have been dropped. The venue of the meeting was state house nairobi whose tenant was one mwai kibaki who curiously was not indicted.
Pev was to start two months later and it took a whole month of killings before kikuyus started revenge attacks after realising the govt was not coming to their aid and all this while there had been plans for govt aided revenge attacks according to icc.
One hassan omar worked tireleslly to decide who goes to icc with politics being his driving force but the chicken are coming home to roost.
 
[h=5][/h]


An International Criminal Court ( ICC) witness who was expected to testify against the Deputy President elect William Ruto has stepped down.

Through lawyer Paul Gicheru the witness wrote to the ICC prosecutor withdrawing each and every piece of evidence attributed to him and asked to have his name removed from the list of the prosecution witnesses.

The witness in a sworn affidavit explains that during the 2007 general election he was a PNU official but after election he was induced and enticed to be a witness of the ICC. Ruto was one of the ODM pentagon members.

The witness has withdrawn all his statements which included claims that the post-election violence was planned; he also retracted his statement that he had visited the home of the Deputy President elect.

“I have never personally visited any of the homes of William Ruto and I did not witness any event and cannot vouch for the truth or otherwise of any allegation that has been made or attributed to me against him,” said the witness in the affidavit.

In a letter written to the prosecutor which the ICC responded to, the witness who comes from Nandi asked the prosecution to remove him from the list of witnesses lined up to testify against Ruto.

He further claimed in the affidavit that he was promised that he would be rewarded and settled either in Europe, America or Australia if he testified before the ICC and that his standard of living would improve tremendously.

“The under signed who is the proprietor of the above firm of advocates was approached by the above mentioned witness with a request to prepare an affidavit under the oaths and statutory declaration Act (Cap 15) of the laws of Kenya regarding his status as a witness in the first Kenyan case pending at the ICC at the Hague and on the nature of evidence has been attributed to him by your office,” the letter addressed to Information and Evidence Unit of ICC read in part.

False testimony

In the letter dated February 19, 2013, the witness demanded that ICC withdraws each and every piece of evidence attributed to him and also sought to have his name removed from the list of prosecution witnesses.

In its response, the ICC in a letter signed by the Trial Attorney Cynthia Tai addressed to Gicheru, the court acknowledged receipt of the witness letter but rejected accusation that the ICC has been involved in inducing witnesses to provide false testimony.

The ICC also asked the lawyer not to make the affidavit signed by the witness publicly, threatening of legal action.

“I am sure you will be aware that should this affidavit be made public in any way and the accusations directed against individuals in the OTP are proven to be false your client might as a result be subjected to criminal and civil liability proceedings,” the letter read in part.

Gicheru explained that the witness had recorded many statements, given manyinterviews where he was alleged to have said that the 2007-2008 post-election violence in Rift Valley Province was planned, organised and financed by the Kalenjin community led by people who were arraigned before the InternationalCriminal Court.

The bodies that interviewed him included the Kenya National Commission on Human Rights (KNHCR), the commission of Inquiry into the Post election Violence (CPV) led by Justice Phillip Waki, the Kenya Police, Maina Kiai, Cynthia Tai and other officers from the International Criminal Court.

“I would like to state solemnly and swear that all the allegations that are attributed to me in the said interviews and statements are not true. To the best of my knowledge the 2007-2008 violence was spontaneous and was not planned or financed by anybody in Rift Valley including Henry Kosgei, Joshua Sang and William Ruto,” he said.

He claimed that the interviews and statements that he made were induced by bitterness because of the rivalry between his political party PNU and ODM in hishome area, which resulted in great hostility towards him and his family members who were perceived to be PNU supporters.

Confined

He claimed that upon agreeing to be a witness for the International Criminal he left Eldoret town in 2009, stayed in Nairobi under the protection of the Kenya National Commission for Human Rights and the International Medical Legal Unit (IMLU).

The witness claimed that in August 2010, he was flown to Arusha Tanzania by theInternational Criminal Court where he was confined in a room at the facility which he later learnt belonged to the International Criminal Tribunal for Rwanda (ICTR).

After several interviews he was flown to the Netherlands in or about the month of January 2011 Where he stayed in several locations together with his family.

“During my stay in the Netherlands my ID, Passport, photographs and all other documents belonging to me and my family members were confiscated,” he said.

He stated that he received periodic payments from the office of the prosecutor (OTP) whenever they required me to attend to any issue touching on the evidence in that case.

He claims he was flown back to Kenya at his own request on 26th October 2012 and had engaged in deep soul searching and his conscience could no longer allow him to stand by and insist on the truth of matters and statements that are not true.


- The Standard
 
Back
Top Bottom