Tetesi: ICC Ndani ya Tanzania

Tetesi: ICC Ndani ya Tanzania

Hivi Najiuliza zile recorded clips za JKN siku hizi zimepigwa marufuku kwenye TV Station zetu?Au wa naogopa Kesi za Uchochezi?
Yaani huyu jamaa keshavipiga mkwara hata vyombo vya habari hususani TV stations.

Jaribu kuimagine ni kwa nini katika kipindi hiki muhimu ndiyo ile clip ya Mwalimu Nyerere kwenye hotuba yake ya mwaka 1995, ambapo aliongea kwa msisitizo mkubwa kuwa Rais tunayemchagua ni lazima aitii na kuilinda Katiba ya nchi yetu, na iwapo itatokea kwa bahati 'mbaya' tumechagua Rais ambaye hataki kuitii Katiba yetu, Mwalimu aliendelea kusisitiza kuwa Rais wa aina hiyo HATUFAI...

Inaonekana clip hiyo TV stations karibu zote wanaogopa kuiweka kwenye TV stations zao ili wasije onekana kuwa wanamjaribu Mtukufu wakati yeye mwenyewe ameshaeleza hadharani kuwa hajaribiki...........
 
Icc wanaangalia mambo mengi sana, kuna wengine wanakuwa ni waroho wa madaraka wanakuwa wanaanzisha migogoro isiyokuwa na sababu ili nchi isitawalike kwa tanzania hilo halitawezekana. Ile mahakama haikanzishwa kwa ajili ya wanaokosea tu bali ni pamoja na wanaoandaa mipango ya vurugu ktk nchi
Mtu yeyote anayesigina katiba ni mchochezi namba moja. Huwezi sigina katiba na sheria alafu unataka watu wasikujadili.
 
Dr Tulia wanyooshe hawa majizi Chadema tumeshachoka.


Watu wazima lkn kazi yao kulialia tu kila siku
 
Kumbe kuna dalili za watu kula pingu hapa eti? ICC hawanaga mchezo,mimi sjkuamini kama Laurent gbagbo,Charles tailor rodovan karadiv,slobodan milosevic wangekuwa huko
 
Habari nilizozipata muda siyo mrefu ni kwamba, Wachunguzi wa maakama ya kimataifa (International Criminal Court) ya ICC, tayari wamefika Tanzania kwa kazi maalum.

Haifaamiki wako wapi, lakini inasemekana tayari wamefanya maongezi na baadhi ya viongozi wa haki za binadamu Tanzania.

Huu nadhani ni ujumbe fika kwa Makonda, Mwigulu, Jeshi la polisi na bosi wao, "Mungu mtu wa Tanzania " Kuwa makini kwani inawezekana wakaingia the Hague.
Mkuu huwa hajaribiwi na hatojaribiwa
 
Hizo juhudi za kutaka nchi isitawalike hazitafanikiwa kama kuna watu kawatuma basi subirini, magufuli huwa hajalibiwi
Huyu mtu mnamwinua sana kama nebkadneza
 
UKUTA hawatapona,lazima waende ICC wakajibu Ukaidi na uchochezi wa kuvuruga amani ya nchi na kutaka kusababisha Machafuko japo haeataweza mbele ya Rais asiyejaribiwa!
 
Katika vitu ambavyo sivipendi dunia hii siwezi kukiacha ICC. Wanawaogopa ISIS lkn wanakuja TZ. Au kwa vile ISIS hawapo kusini mwa jangwa la sahara? Kitu gani hasa kilichotokea Tanzania hadi waje? Pumbavu kweli hawa.
 
Hizo juhudi za kutaka nchi isitawalike hazitafanikiwa kama kuna watu kawatuma basi subirini, magufuli huwa hajalibiwi

Duh, hivi wewe ni Kaka yake Jesca? Sikujua. Maana una jqzba kweli
 
Habari nilizozipata muda siyo mrefu ni kwamba, Wachunguzi wa maakama ya kimataifa (International Criminal Court) ya ICC, tayari wamefika Tanzania kwa kazi maalum.

Haifaamiki wako wapi, lakini inasemekana tayari wamefanya maongezi na baadhi ya viongozi wa haki za binadamu Tanzania.

Huu nadhani ni ujumbe fika kwa Makonda, Mwigulu, Jeshi la polisi na bosi wao, "Mungu mtu wa Tanzania " Kuwa makini kwani inawezekana wakaingia the Hague.

Kikubwa ni Tanzania ikombolewe kutoka katika makucha ya Ukoloni.

Habari ya The Hague inaweza kupokelewa kwa furaha sana na baadhi ya wahusika kwa sababu hawajafika Ulaya, na wengine waliozoea kwenda kule wakazuiliwa wanaweza kuona kifungo kimefunguliwa wakabadilisha mazingira. Wanaoogopa kwenda Ulaya kwa kisingizio cha kubana matumizi na kumbe ni kwa sabaabu wanaogopa kuongea kiingereza kule, utawaona watakavyofurahia trip!.

Ukombozi kwa taifa kwa njia yoyote salama.
 
Unahisi hao ICC wanaangalia polisi tuu hata viongozi wanao lead people to riot they are in trouble.

Kama wewe georgetemu95 autumii mdomo wako kuharisha uku ukibwabwaja toa mfano ni kiongozi gani wa mahandamano aliyewai kupelekwa mahakama ya uharifu.

inshort hacha kuarisha kwa kutumia mdomo
 
Habari nilizozipata muda siyo mrefu ni kwamba, Wachunguzi wa maakama ya kimataifa (International Criminal Court) ya ICC, tayari wamefika Tanzania kwa kazi maalum.

Haifaamiki wako wapi, lakini inasemekana tayari wamefanya maongezi na baadhi ya viongozi wa haki za binadamu Tanzania.

Huu nadhani ni ujumbe fika kwa Makonda, Mwigulu, Jeshi la polisi na bosi wao, "Mungu mtu wa Tanzania " Kuwa makini kwani inawezekana wakaingia the Hague.

Haki itendeke tu. Ikibidi kupelekwa The Hague na wapelekwe
 
Habari nilizozipata muda siyo mrefu ni kwamba, Wachunguzi wa maakama ya kimataifa (International Criminal Court) ya ICC, tayari wamefika Tanzania kwa kazi maalum.

Haifaamiki wako wapi, lakini inasemekana tayari wamefanya maongezi na baadhi ya viongozi wa haki za binadamu Tanzania.

Huu nadhani ni ujumbe fika kwa Makonda, Mwigulu, Jeshi la polisi na bosi wao, "Mungu mtu wa Tanzania " Kuwa makini kwani inawezekana wakaingia the Hague.

Kama ni kweli sawa lakini naona unatoa taarifa za uongo watakujaje bila mamlaka husika kujua? Mf Mahakama na wengine na watafanyaje kazi huo ni uongo kabisa na unatakiwa uthibitishe ndani ya siku tatu
 
Habari nilizozipata muda siyo mrefu ni kwamba, Wachunguzi wa maakama ya kimataifa (International Criminal Court) ya ICC, tayari wamefika Tanzania kwa kazi maalum.

Haifaamiki wako wapi, lakini inasemekana tayari wamefanya maongezi na baadhi ya viongozi wa haki za binadamu Tanzania.

Huu nadhani ni ujumbe fika kwa Makonda, Mwigulu, Jeshi la polisi na bosi wao, "Mungu mtu wa Tanzania " Kuwa makini
kwani inawezekana wakaingia
the Hague.


Nadhani hujui kazi za ICC na ICJ na umeshindwa kuthibitisha hayo ICC inashughulikia uhalifu wa kivita,Mauaji ya kimbari (Genocide) but ICJ ni haki za binadamu , uongozi bora, wachochezi wa migogoro ndani ya nchi zao.
 
Karibuni sanaaa ICC itabidi waanze na Mwigulu na mwenzake Makonda maana hao ndio wanao hii nchi ni yao..Hivi Chadema wakiachiwa wakaandamana nini kitafanyika kibaya hivi kuna siku hata moja chadema wameruhusiwa kuandamana ila.CCM ni ruksaaa kabisaaa...
CHADEMA viongozi wake, kwa lugha yao ya kuchonganisha viongozi wa Serikali (hasa Rais)na wananchi, ni uchochezi. Kwa hilo ni busara, kwa Serikali yenye wajibu wa kulinda amani, kuwazuia.

Haki ni kwa kila mtu (mtawala na mtawaliwa). Haki na wajibu. Uhuru na kazi. Demokrasia wape wengi. Wengi walichagua CCM kuoongoza nchi hii hadi 2020.
 
Mtu yeyote anayesigina katiba ni mchochezi namba moja. Huwezi sigina katiba na sheria alafu unataka watu wasikujadili.
Tujadili kwanza viongozi wa UKAWA wanaosigina Katiba za vyama vyao. Kwa mfano waliteua wagombea katika uchaguzi mkuu 2015 kwa matakwa yao wenyewe
 
Back
Top Bottom