Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hague inawasubiri miungu Watu haoHabari nilizozipata muda siyo mrefu ni kwamba, Wachunguzi wa maakama ya kimataifa (International Criminal Court) ya ICC, tayari wamefika Tanzania kwa kazi maalum.
Haifaamiki wako wapi, lakini inasemekana tayari wamefanya maongezi na baadhi ya viongozi wa haki za binadamu Tanzania.
Huu nadhani ni ujumbe fika kwa Makonda, Mwigulu, Jeshi la polisi na bosi wao, "Mungu mtu wa Tanzania " Kuwa makini kwani inawezekana wakaingia the Hague.
Hajalibiwi[emoji808]Hizo juhudi za kutaka nchi isitawalike hazitafanikiwa kama kuna watu kawatuma basi subirini, magufuli huwa hajalibiwi
lakini vita sio nzuri!na sisi hatujaribiwi tusubiri siku hiyo tutakavyo pasuana ipasavyo
lakini vita sio nzuri!na sisi hatujaribiwi tusubiri siku hiyo tutakavyo pasuana ipasavyo
Wamekuja kuongea na kafuHabari nilizozipata muda siyo mrefu ni kwamba, Wachunguzi wa maakama ya kimataifa (International Criminal Court) ya ICC, tayari wamefika Tanzania kwa kazi maalum.
Haifaamiki wako wapi, lakini inasemekana tayari wamefanya maongezi na baadhi ya viongozi wa haki za binadamu Tanzania.
Huu nadhani ni ujumbe fika kwa Makonda, Mwigulu, Jeshi la polisi na bosi wao, "Mungu mtu wa Tanzania " Kuwa makini kwani inawezekana wakaingia the Hague.
'DAY DREAMER'Habari nilizozipata muda siyo mrefu ni kwamba, Wachunguzi wa maakama ya kimataifa (International Criminal Court) ya ICC, tayari wamefika Tanzania kwa kazi maalum.
Haifaamiki wako wapi, lakini inasemekana tayari wamefanya maongezi na baadhi ya viongozi wa haki za binadamu Tanzania.
Huu nadhani ni ujumbe fika kwa Makonda, Mwigulu, Jeshi la polisi na bosi wao, "Mungu mtu wa Tanzania " Kuwa makini kwani inawezekana wakaingia the Hague.
Embu tuliza moyo wako alafu fuatilia historia ni lini toka chadema iwepo ilishafanya vurugu kwenye maandamano au mikutano yake.kwa maana ya kwamba wameandamana na kufanya vurugu mtaani zaidi ya wao kuvurugwa na vyombo vya dola !!??Unahisi hao ICC wanaangalia polisi tuu hata viongozi wanao lead people to riot they are in trouble.
HAJALIBIWI -- HAJARIBIWIHizo juhudi za kutaka nchi isitawalike hazitafanikiwa kama kuna watu kawatuma basi subirini, magufuli huwa hajalibiwi