Tetesi: ICC Ndani ya Tanzania

Tetesi: ICC Ndani ya Tanzania

Lini watamkamata Bashir?

Lini wataenda Juba?

Vipi kuhusu DRC na Burundi?

Watu wazima hawatishiwi nyau...hayo mapambio ya ICC kwenye nchi huru ni ujinga tu.

Tukitaka hata kesho tunajitoa kwenye huo mkataba.
 
Hajaribiwi wapi? Hana lolote ni ukatili wa kukosa busara! Nchi ni yetu sote
QUOTE="jfamily, post: 17353999, member: 382365"]Hizo juhudi za kutaka nchi isitawalike hazitafanikiwa kama kuna watu kawatuma basi subirini, magufuli huwa hajalibiwi[/QUOTE]
 
Nadharia (theory) kuhusu MAISHA inasema kuwa, "Usilolitarajia ndilo Huwa"
 
Wameingiaje, kama hawajulikani walipo?? Unafikiri wanavuka mikoa tu, ni nchi aisee!!!
 
Kwa akili yako unadhani ICC wanaweza kuja nchini bila serikali kujua? au unafikiri hii siyo Nchi? Unadhani mipaka ya nchi yetu ni kama uchochoro wa vichakani?
 
Habari nilizozipata muda siyo mrefu ni kwamba, Wachunguzi wa maakama ya kimataifa (International Criminal Court) ya ICC, tayari wamefika Tanzania kwa kazi maalum.

Haifaamiki wako wapi, lakini inasemekana tayari wamefanya maongezi na baadhi ya viongozi wa haki za binadamu Tanzania.

Huu nadhani ni ujumbe fika kwa Makonda, Mwigulu, Jeshi la polisi na bosi wao, "Mungu mtu wa Tanzania " Kuwa makini kwani inawezekana wakaingia the Hague.
Hague inawasubiri miungu Watu hao
 
Hao ICC waanzae na Mbowe maana anahamasisha vurugu anataka awape vijana viroba ili Sept Mosi waandamane
 
Habari nilizozipata muda siyo mrefu ni kwamba, Wachunguzi wa maakama ya kimataifa (International Criminal Court) ya ICC, tayari wamefika Tanzania kwa kazi maalum.

Haifaamiki wako wapi, lakini inasemekana tayari wamefanya maongezi na baadhi ya viongozi wa haki za binadamu Tanzania.

Huu nadhani ni ujumbe fika kwa Makonda, Mwigulu, Jeshi la polisi na bosi wao, "Mungu mtu wa Tanzania " Kuwa makini kwani inawezekana wakaingia the Hague.
Wamekuja kuongea na kafu
 
Habari nilizozipata muda siyo mrefu ni kwamba, Wachunguzi wa maakama ya kimataifa (International Criminal Court) ya ICC, tayari wamefika Tanzania kwa kazi maalum.

Haifaamiki wako wapi, lakini inasemekana tayari wamefanya maongezi na baadhi ya viongozi wa haki za binadamu Tanzania.

Huu nadhani ni ujumbe fika kwa Makonda, Mwigulu, Jeshi la polisi na bosi wao, "Mungu mtu wa Tanzania " Kuwa makini kwani inawezekana wakaingia the Hague.
'DAY DREAMER'
Hivi unafahamu protokali inayohusiana na vyombo vya kimataifa kufanya kazi nchini?
 
Unahisi hao ICC wanaangalia polisi tuu hata viongozi wanao lead people to riot they are in trouble.
Embu tuliza moyo wako alafu fuatilia historia ni lini toka chadema iwepo ilishafanya vurugu kwenye maandamano au mikutano yake.kwa maana ya kwamba wameandamana na kufanya vurugu mtaani zaidi ya wao kuvurugwa na vyombo vya dola !!??
 
Hizo juhudi za kutaka nchi isitawalike hazitafanikiwa kama kuna watu kawatuma basi subirini, magufuli huwa hajalibiwi
HAJALIBIWI -- HAJARIBIWI

Asijaribiwe yeye nani haswa..?
Yesu mwenyewe alijaribiwa...
Kwanza hakuna mtu wa kumjaribu, ajaribiwe kwa lipi ??
 
Back
Top Bottom