ICC yaingiwa na wasiwasi baada ya Urusi kusema itaipiga na makombora ya Hypersonic

ICC yaingiwa na wasiwasi baada ya Urusi kusema itaipiga na makombora ya Hypersonic

Acha ujinga ICC ni chombo cha kibeberu kwa masilai ya hao wamarekani , russia sio iraq au libya safari hii wameisha sasa kama wanajiamini hao Nato na ICC. yao si wapeleke makomando south wakamshike, na kama russia inatania si wamshike waone[emoji3480]
Kwani hao russia hawataki uhuru wao kuondokana na udikteta wa putin au unadhan warusi wanafurahishwa na uharamia wa putin? ikibidi atashikwa na hakutakuwa na chochote, putin na wafuasi wake wanajulikana ni ndaro tu hana kitu
 
Back
Top Bottom