shabenga clan
Member
- Nov 27, 2014
- 7
- 1
Ni zamu ya Kenyatta sasa,kudai fidia kwa kudhalilishwa!!
absolutely!Party in Nairobi.
....wakat mashahidi wote wakitishwa na kufichwa ili asikutwe na hatia alafu leo mtanzania eti unamsifia KENYATA kwa lip hasaa…!!!
mahakamani ndo kuna haki? just go on figure, keep with what u being taught in school, these were meant for big brains.
Angekuwa sio raisi angefungwa tu ,lakini atakaye mhukumu ni Mungu,baada ya kupata uraisi ndipo mashahidi wengine wakaanza kujitoa na wengine kufa kwa njia zisijulikana na wengine wakafyata mkia.Nategemea nae Ruto atapona
This was a foregone conclusion.
There was too much witness tampering.
Who in their right mind would testify against a sitting African head of state?
The case was a non-starter the moment Kenyatta "won" the election.