Ice bucket challange

Ice bucket challange

Its a creative way of raising fund...wabongo tumeishia kwenye kadi! #sad
 
Bongo hata wakifanya hao wasanii labda watachangia bukubuku tu.. kama kusaidiana wenyewe kwenye misiba na magonjwa wanaomba raia tuwachangie.

Labda tufanye wenyewe mashabiki tu.
 
nimeona hata kwenye instagram ya davido kiboko ya diamond naye akimwagiwa maji na amemnominate don jaz
 
Charlie Sheen ndo aliwafunika wenzie.

 
Last edited by a moderator:
Messi kamwagiwa maji kapiga kelele kama vile anafukuzwa na mapanga aiseeeeeeee hii kiboko
 
nimeona hata kwenye instagram ya davido kiboko ya diamond naye akimwagiwa maji na amemnominate don jaz

Bila kumtaja diamond coment isingeeleweka au?maana sijaona umuhimu wa diamond kwenye uzi huu
 
Inaitwa ALS ice bucket challenge, ni charity fund raising and awareness creation kwa ajili ya kupambana na ugonjwa wa cancer, kinachofanyika ni mtu anakuwa nominated na mwenzake akubali kujimwagia maji ya baridi/barafu au kulipa $100 kwenda kwenye hiyo taasisi. Endapo ukijimwagia utachangia $10 . mwaka ulioisha kwa kipindi cha July - august walikusanya zaidi ya $1.8 million na mwaka huu tayari wamekusanya zaidi ya $18 milion . fedha hizi zitatumika kuwezesha tafiti mbali mbali juu ya hiyo cancer pamoja na kusaidia wagonjwa

Hawa wenzetu wana ubunifu na ushirikiano wa hali ya juu
 
Bongo hata wakifanya hao wasanii labda watachangia bukubuku tu.. kama kusaidiana wenyewe kwenye misiba na magonjwa wanaomba raia tuwachangie.

Labda tufanye wenyewe mashabiki tu.

Labda Washindane Kunya M.a.k.i.m.b.a makubwa baada ya kula Makange facebook take awat
 
MMEMWONA MORINHO?AMECHEKESHA
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom