ID ya mwana JF unayo ikubali

Damushin sunbae nakusalimia, wajua vile nakukubali ( siku hizi nakuleta chitchat hadi unakoma)
Nifah dongsaeng, unnie loves you
Numbisa mdogo wangu, my entertainer, I love you

Sent using Jamii Forums mobile app

하하하하하하 ㅋㅋㅋㅋㅋㅋ
ina maana umeamua kunitembeza kama mtalii ili nisije nikaingizwa choo cha jinsia ya pili?

hii heshima ulionipa ni nzito kuliko kuta za ngome ya liaodong, kitendo cha mimi kuwa ni miongoni mwa watu unaowakubali hapa JF kimenizidishia siku za kuendelea kuishi hapa duniani.

nilishamuagiza mtoto wa jirani muda huu anitafutie kamba ya kipolo cha saruji nipate kujinyonga miguu yangu ila nilipoiona notification yako imenilazimu nibadili msimamo ghafla utadhani nimepokea offer ya kuishi mji wa kisasa wa songdo uliopo korea.

hivi dada yangu unategemea kwenda kanisani siku gani?

sitaki uniombee nipate pesa zaidi yako kwa sababu najua yatakuwa ni maombi magumu kuyatekeleza bali nataka uniombee niwe na nguvu ya ushawishi kama ya kwako humu ndani, kuwa na fedha nyingi bila ya marafiki wanaokukumbuka nyakati zote ni sawa sawa na mwendazimu bila ya nguo mbovu.

ahsante sana kwa kunitembeza chit chat usiku huu, huwezi amini nimekutana na interview yenye majibu mazuri kuliko sura ya song hye kyo kutoka kwa GT Da'Vinci japokuwa mwenyewe amekuwa mgumu kupokea heshima hii.
🏆🥇♥💋🙆👏👐👏
 
Asante sana dear! (Japo...[emoji3525][emoji3525][emoji3525])

Embu kwanza, ina maana hakuna ME unayemkubali?[emoji6]
 
Hahaha na mineno yako kama yote[emoji23][emoji23] asante kushukuru Sunbae, nikutakie kuzurura kwema huku chitchat unaweza kujiolokotea mrembo kama Song Hye Kyo...no kaka Moon Chae Won si unaona leo umetembea tu kidogo umekutana na GT @Da'vinci
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu uzi kuna mind game inachezwa,sio muda watu watakuwa wapenzi,kwa akili za wanawake nizijuavyo,watu watasifiwa humu na vyupi watavua,kuna mmoja namfuatilia kwa karibu nahisi ashakuwa wet kwa mwana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…