Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Yani umeasili damu za majirani zako mweeh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani umeasili damu za majirani zako mweeh
Na ntawashtaki haiwezekani mniambukize tabia mbayaYani umeasili damu za majirani zako mweeh
Akhaaa tabia nzuri tu hiyo, huonewi kiboya teh
Nitakosa wachumba sasaAkhaaa tabia nzuri tu hiyo, huonewi kiboya teh
Ntakugea mmoja, me ninao wengi. Atakunyoosha na mabanzi
Utamtoa wapiNtakugea mmoja, me ninao wengi. Atakunyoosha na mabanzi
Tukuyu
Basi ntakupa mkurya
Damushin sunbae nakusalimia, wajua vile nakukubali ( siku hizi nakuleta chitchat hadi unakoma)
Nifah dongsaeng, unnie loves you
Numbisa mdogo wangu, my entertainer, I love you
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana dear! (Japo...[emoji3525][emoji3525][emoji3525])Heaven Sent huyu mtoto namkubali sana aisee hata yeye anajua. She is smart, good hearted and God fearing. espy ubarikiwe kwa kutuzalia huyu kiumbe
Mwingine Nalendwa .. Huyu dada simpatii picha sijui anafananaje yaani natamani kumuona
Madame S aisee hujakosea kujiita madame
Karucee dada Mungu akubariki
sana
Rebeca 83 we mdada nakupendaga sana
Shunie Mzigua90 manengelo cute b Raynavero mko charming mpaka mnaboa yani [emoji23][emoji23][emoji23] Mungu awape maisha marefu Thad (japo sikupendi ila nakukubali)
Evelyn Salt nisipokuona siku tatu naumwa
Wadogo zangu Sakayo Maserati Baby Doll nawapenda
Neybright nilisema unikumbushe mume wetu ukala kona, pamoja na hayo nakukubali sana uko vizuri
Kasie nadhani hakuna asiyemjua, I love you
brenda18 Valentina wahenga wenzangu nimewamisi
Hivi yule Dr Preta yuko wapi aisee nimemmisi mnoo
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani sana kiongozi. Nakukubali pia hasa kila nikiikumbuka avatar yako ya zamani[emoji6]
하하하하하하 ㅋㅋㅋㅋㅋㅋ
ina maana umeamua kunitembeza kama mtalii ili nisije nikaingizwa choo cha jinsia ya pili?
hii heshima ulionipa ni nzito kuliko kuta za ngome ya liaodong, kitendo cha mimi kuwa ni miongoni mwa watu unaowakubali hapa JF kimenizidishia siku za kuendelea kuishi hapa duniani.
nilishamuagiza mtoto wa jirani muda huu anitafutie kamba ya kipolo cha saruji nipate kujinyonga miguu yangu ila nilipoiona notification yako imenilazimu nibadili msimamo ghafla utadhani nimepokea offer ya kuishi mji wa kisasa wa songdo uliopo korea.
hivi dada yangu unategemea kwenda kanisani siku gani?
sitaki uniombee nipate pesa zaidi yako kwa sababu najua yatakuwa ni maombi magumu kuyatekeleza bali nataka uniombee niwe na nguvu ya ushawishi kama ya kwako humu ndani, kuwa na fedha nyingi bila ya marafiki wanaokukumbuka nyakati zote ni sawa sawa na mwendazimu bila ya nguo mbovu.
ahsante sana kwa kunitembeza chit chat usiku huu, huwezi amini nimekutana na interview yenye majibu mazuri kuliko sura ya song hye kyo kutoka kwa GT Da'Vinci japokuwa mwenyewe amekuwa mgumu kupokea heshima hii.
[emoji471][emoji1628][emoji813][emoji182][emoji134][emoji122][emoji114][emoji122]
Shukrani sana kiongozi. Nakukubali pia hasa kila nikiikumbuka avatar yako ya zamani[emoji6]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ngoja nimtaje mimi nijipatie credit nikupiku[emoji6][emoji23][emoji23][emoji23] japo nini
Me namkubali mmoja tu na wewe unamjua[emoji13][emoji13] nimeona nisimtaje kuepusha mambo kuwa mengi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtaje uone asubuhi utajikuta mtoni na kigodoro chako cha nchi mbili [emoji57][emoji57][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ngoja nimtaje mimi nijipatie credit nikupiku[emoji6]