ID yako ya JF utaiuza kwa shilingi ngapi?

Piga gharama ya kujenga majengo mawili kila nchi yenye uwezo wa kuishi watu 6,000@ wasiojiweza na kuwasimamia kwa miaka 100 na kuwahudumia kwa kuwajengea shule, hospitals na huduma zingine muhimu za kijamii.

Ukiweza kulipa hiyo gharama, ID yangu nakupa bure.
 
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃmkuu Ni ID tu au kunanyongeza ya chochote..
Nipungizie ni nunue
 
Mimi hata ukisema unanipa na milioni kumi sichukui
 
MI Nataka ya bujibuji Nna 50000 iko mfuko wa shati
bujubuji Njoo Bro tuongee
 

Naitaka utanipa sh ngapi
 
Naitaka utanipa sh ngapi
Alfu kumi nitakupa na yakutolea nitakuongezea na ya maji ya kunywa halafu nitakupa na makomamanga mawili bila kusahau na uji wenye sukari tamutamu na tumapera tuwili mixer na sungwi bila kusahau na pilipili hoho.. hapo vipi..?
 
Alfu kumi nitakupa na yakutolea nitakuongezea na ya maji ya kunywa halafu nitakupa na makomamanga mawili bila kusahau na uji wenye sukari tamutamu na tumapera tuwili mixer na sungwi bila kusahau na pilipili hoho.. hapo vipi..?

Ondoa tu pilipili hoho [emoji23][emoji23][emoji23]ongeza na ya kutolea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ