ID yako ya JF utaiuza kwa shilingi ngapi?

ID yako ya JF utaiuza kwa shilingi ngapi?

Piga gharama ya kujenga majengo mawili kila nchi yenye uwezo wa kuishi watu 6,000@ wasiojiweza na kuwasimamia kwa miaka 100 na kuwahudumia kwa kuwajengea shule, hospitals na huduma zingine muhimu za kijamii.

Ukiweza kulipa hiyo gharama, ID yangu nakupa bure.
 
Piga gharama ya kujenga majengo mawili kila nchi yenye uwezo wa kuishi watu 6,000@ wasiojiweza na kuwasimamia kwa miaka 100 na kuwahudumia kwa kuwajengea shule, hospitals na huduma zingine muhimu za kijamii.

Ukiweza kulipa hiyo gharama, ID yangu nakupa bure.
🤣🤣mkuu Ni ID tu au kunanyongeza ya chochote..
Nipungizie ni nunue
 
Kuna id haziwezi uzika yani Kama ya kwangu sio kuuza bali nakupa halafu ili uikubali nakupa na tuhela..🤣 Yani Kama ni thamani yake Basi ni sawa na negative 10000. It means hata hata nikikupa I'd bado unanidai na tuhela twa kubembelezea ili uikubali..😅
Mimi hata ukisema unanipa na milioni kumi sichukui
 
Kuna id haziwezi uzika yani Kama ya kwangu sio kuuza bali nakupa halafu ili uikubali nakupa na tuhela..[emoji1787] Yani Kama ni thamani yake Basi ni sawa na negative 10000. It means hata hata nikikupa I'd bado unanidai na tuhela twa kubembelezea ili uikubali..[emoji28]

Naitaka utanipa sh ngapi
 
Naitaka utanipa sh ngapi
Alfu kumi nitakupa na yakutolea nitakuongezea na ya maji ya kunywa halafu nitakupa na makomamanga mawili bila kusahau na uji wenye sukari tamutamu na tumapera tuwili mixer na sungwi bila kusahau na pilipili hoho.. hapo vipi..?
 
Alfu kumi nitakupa na yakutolea nitakuongezea na ya maji ya kunywa halafu nitakupa na makomamanga mawili bila kusahau na uji wenye sukari tamutamu na tumapera tuwili mixer na sungwi bila kusahau na pilipili hoho.. hapo vipi..?

Ondoa tu pilipili hoho [emoji23][emoji23][emoji23]ongeza na ya kutolea
 
Back
Top Bottom