Id Yako ya JF Utaiuza Shilingi Ngapi?

Pesa cash hii hapa nimeipendea uzi wako wa jokes ila majukwaa mengine inapumba tu... buku inakutoshaaa [emoji16][emoji16]
Ebwana kwahiyo umeamua kumpa ukweli wake ili asifikirie kupandisha bei[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ebwana kwahiyo umeamua kumpa ukweli wake ili asifikirie kupandisha bei[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Jamaa nimeona anaisifia sana
 
Mi ntakuwa nna madeni mengi sn kwanzia benki, voda, tigo mpaka halotel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…