ID za JF bana. . . .

ID za JF bana. . . .

Nami nimewastukia.... Acha waseme mie nala tu!

Wanatimua mavumbi sisi twalaaaaa.
Wanataka mapinduziiiii,
Na mapinduzi hawayaweziiiiiiii
Usiende mbali namiiiiiiiiiii

Itikia cacico my sugar tafazali

We babu nawe kubali umri umekutupa mkono bana!! we Cacico huyo babu wa kazi gani!? si umwambie aende kwa watu wazima wenzie akina Mamdenyi!
 
Last edited by a moderator:
Waijua raha ya chumvi???

23_30_123.gif
 
khaaa! Msiri wangu watu wanamlia babu. Sijawah kuona kabisa jamani wewe tena? Manake hata wale wenye sura za show rum kama erichb52, waliojazia kama judgement na horsepower, watulivu kama boss uliwapiga chini, sembuse vigumegume ma dia. Sijaona wa kumpiku your hubby asprin mamito ingawa sasa wewe unawalia wenzio kipunjo.
ngoja hubby mwenyewe aje achanganue hii tungo tata hapa! Khaaaaa!
 
We babu nawe kubali umri umekutupa mkono bana!! we Cacico huyo babu wa kazi gani!? si umwambie aende kwa watu wazima wenzie akina Mamdenyi!
Baba V nakuonaga huko juu! lol
 
Last edited by a moderator:
Achana na huyo mzee,we unakubali tu, jeans alivaa na wengine kwako kaja na msuli!!!
Baba V sijui kama naweza hama hapo kwa bby wangu, kwako kibabu, lakini kwangu ndio kwanza ana miaka 22! lol, umri wake sawa na okwi wa sintah! mbavu zangu mie!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom