SALOK
JF-Expert Member
- Sep 20, 2011
- 3,364
- 2,001
mkuu nipo kwenye dala dala halafu nimejikuta nacheka peke yangu kaa mwehu.
afu tumekaa siti moja, bisha!!??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu nipo kwenye dala dala halafu nimejikuta nacheka peke yangu kaa mwehu.
Nami nimewastukia.... Acha waseme mie nala tu!
Wanatimua mavumbi sisi twalaaaaa.
Wanataka mapinduziiiii,
Na mapinduzi hawayaweziiiiiiii
Usiende mbali namiiiiiiiiiii
Itikia cacico my sugar tafazali
ngoja hubby mwenyewe aje achanganue hii tungo tata hapa! Khaaaaa!khaaa! Msiri wangu watu wanamlia babu. Sijawah kuona kabisa jamani wewe tena? Manake hata wale wenye sura za show rum kama erichb52, waliojazia kama judgement na horsepower, watulivu kama boss uliwapiga chini, sembuse vigumegume ma dia. Sijaona wa kumpiku your hubby asprin mamito ingawa sasa wewe unawalia wenzio kipunjo.
we nawe! nilihama kitaaamboooo kwa wapekuzi, lol! sasa hivi ni ukaguzi kwa kwenda mbele!Umejuaje!? sema tu ndo hivyo Young Master alitishia kuroga mtu otherwise......!!!
FL upo? i personaly missed u!
we nawe! nilihama kitaaamboooo kwa wapekuzi, lol! sasa hivi ni ukaguzi kwa kwenda mbele!
Baba V sijui kama naweza hama hapo kwa bby wangu, kwako kibabu, lakini kwangu ndio kwanza ana miaka 22! lol, umri wake sawa na okwi wa sintah! mbavu zangu mie!Achana na huyo mzee,we unakubali tu, jeans alivaa na wengine kwako kaja na msuli!!!
tuchekiane kwa PM basi! lol mi nawe tena hakuna litakaloharibika!mine is a free advice, you better take it!
asha dii ndo huyo anaye jiita roulete. hujagundua nini??. waangalie miandiko yao inavyo fanana. mia
huyo mama anahitajiNipo mamy bado tunadeal na huyu mama wa SSRA
mambo yakieleweka utaniona kwa wingi sana