ID za JF zinaficha mengi, unaweza kukuta unachat na baba yako mzazi huko PM na haujui

ID za JF zinaficha mengi, unaweza kukuta unachat na baba yako mzazi huko PM na haujui

Mshangazi dot com

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
1,345
Reaction score
3,503
Leo nimewaza, kweli kutojuana kunatupa nguvu humu JF.

Binafsi, nina uhakika wapo watu tunafahamiana kwenye maisha ya kawaida ila ID zimetuficha. Hata huko kwenye replies watu wanavyotiana spana, inawezakana unabishana na boss wako na hujui.

Wale wa kujidai huko PM, ndiyo basi tena. Hivi hakuna mtu alishawahi kupanga miadi ya kukutana na mbebez, halafu akakuta labda ni mwenyekiti wake wa jumuiya 😂, akatoka ndukiiiiiiii.

giphy 5.GIF
 
Leo nimewaza, kweli kutojuana kunatupa nguvu humu JF.

Binafsi, nina uhakika wapo watu tunafahamiana kwenye maisha ya kawaida ila ID zimetuficha. Hata huko kwenye replies watu wanavyotiana spana, inawezakana unabishana na boss wako na hujui.

Wale wa kujidai huko PM, ndiyo basi tena. Hivi hakuna mtu alishawahi kupanga miadi ya kukutana na mbebez, halafu akakuta labda ni mwenyekiti wake wa jumuiya 😂, akatoka ndukiiiiiiii.

View attachment 3257897

mshamba_hachekwi huyu mnafanana
 
jamii forum, watu wa kawaida ni ngumu kuwepo humu, huu ni mtandao wengi ni wasomi wenye dipma, digrii, mastaz na Phd

Inawezekana ukapanga date ukakutana na mwenyekiti wa jumuiya yako, kwenye date za namna hii watu huenda kwa machale, kuna ile unapanga date na mtu ukiwa na picha kichwani mwako kwamba yuko hivi unaenda kimachale ukikuta yuko tofauti unakula nduki
 
Back
Top Bottom