mr pipa
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 3,074
- 6,472
Hamna mkuu saizi nimepewa kitengo cha kuwagawia kina mwashamba na wenzake buku 7 hapa chama tawalaupo kimya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna mkuu saizi nimepewa kitengo cha kuwagawia kina mwashamba na wenzake buku 7 hapa chama tawalaupo kimya
Inawezekana tena ni wepesi sanaHivi unataka kusema kuwa haiwezekani kumfahamu mtu, kama ukiamua kumfuatilia kwa kina? kisa fake Id?
Waongo, hata mimi kuna mtu aliniambia khs JF nikamshangaa sana ndio kitu gani? Lakini ukweli naujua mwenyewe 😹😹😹Niliwahi kujaribu kufanya uchunguzi kupitia watu wanaonizunguka kama kuna wanaotumia JF lakini nikakuta hamna kabisa. Kwanza watu wanauliza ndio kuna nini huko huku wengine wakisema wao ni wavivu kusoma soma
Ijumaa ni ngumu sana mzee jpl labda😂😂Moja ya jambo ambalo nalichukia 😂 ni hili la kupata marafiki humu na mkaivana ila ndo hivyo hamjuanii
So unakuwa una create picha ya huyo mtu jinsi alivyo! Kumbe sivyo alivyo
By the way! Fake I'd zinawafanya watu wengi kuishi katika uhalisia wake! Anapiga Spana, anatukana, anadharau yaani anakuwa yeye halisi
Ila Pengine ukimkuta mtu huyo huyo nje Jf anajifanya kivingine!
Mzee ijumaa tuonane Monetary doctor 😂
Wewe peke yako ndiyo nakujua kiukweli ukweli humu 🤣 🤣 🤣 🤣Moja ya jambo ambalo nalichukia 😂 ni hili la kupata marafiki humu na mkaivana ila ndo hivyo hamjuanii
So unakuwa una create picha ya huyo mtu jinsi alivyo! Kumbe sivyo alivyo
By the way! Fake I'd zinawafanya watu wengi kuishi katika uhalisia wake! Anapiga Spana, anatukana, anadharau yaani anakuwa yeye halisi
Ila Pengine ukimkuta mtu huyo huyo nje Jf anajifanya kivingine!
Mzee ijumaa tuonane Monetary doctor 😂
Huyo anaekimbia mbona kama mshamba_hachekwi ?Leo nimewaza, kweli kutojuana kunatupa nguvu humu JF.
Binafsi, nina uhakika wapo watu tunafahamiana kwenye maisha ya kawaida ila ID zimetuficha. Hata huko kwenye replies watu wanavyotiana spana, inawezakana unabishana na boss wako na hujui.
Wale wa kujidai huko PM, ndiyo basi tena. Hivi hakuna mtu alishawahi kupanga miadi ya kukutana na mbebez, halafu akakuta labda ni mwenyekiti wake wa jumuiya 😂, akatoka ndukiiiiiiii.
View attachment 3257897
Afu Mimi sikujuiiiii hii imekaaje? 😂😂Wewe peke yako ndiyo nakujua kiukweli ukweli humu 🤣 🤣 🤣 🤣
Ila ulilosema kuhusu "uhalisia" ni kweli kabisa. Hata mimi namna ninavyofunguka na kuandika humu watu wa duniani wakinijua, nimekwisha 😂😂😂😂
Nje ya mada, uandishi wako plus maudhui yanafanana na Nancy wa Raha Tupu blog miaka ile............Leo nimewaza, kweli kutojuana kunatupa nguvu humu JF.
Sikuwahi kudhania ungenikumbusha hii blog ya Raha tupu 😂😂Nje ya mada, uandishi wako plus maudhui yanafanana na Nancy wa Raha Tupu blog miaka ile............
Ngoja tuone au jumamosi je? Tuonane makumbushoIjumaa ni ngumu sana mzee jpl labda😂😂
Leo ndo najua JF inatumika kama dating site. My future mume, where are you tuonane?jamii forum, watu wa kawaida ni ngumu kuwepo humu, huu ni mtandao wengi ni wasomi wenye dipma, digrii, mastaz na Phd
Inawezekana ukapanga date ukakutana na mwenyekiti wa jumuiya yako, kwenye date za namna hii watu huenda kwa machale, kuna ile unapanga date na mtu ukiwa na picha kichwani mwako kwamba yuko hivi unaenda kimachale ukikuta yuko tofauti unakula nduki
Hilo jiwe gizani au 🤣🤣🤣Hii ndiyo ilinifanya nifunge PM yangu, nilichat na mtu humu namuona wa kawaida akasema ana miaka 57, nikashtuka maana yule ni baba na babu wa familia kabisa 😂 .
Makutupora ndo maana ukimwita huwa hajikwai pamoja na mibio yote anayotoka nayo machakani 🤣🤣🤣Wewe peke yako ndiyo nakujua kiukweli ukweli humu 🤣 🤣 🤣 🤣
Ila ulilosema kuhusu "uhalisia" ni kweli kabisa. Hata mimi namna ninavyofunguka na kuandika humu watu wa duniani wakinijua, nimekwisha 😂😂😂😂
By the way ... Kipi kimekufanya uwamini ukweli yule ni Mimi 😂Wewe peke yako ndiyo nakujua kiukweli ukweli humu 🤣 🤣 🤣 🤣
Ila ulilosema kuhusu "uhalisia" ni kweli kabisa. Hata mimi namna ninavyofunguka na kuandika humu watu wa duniani wakinijua, nimekwisha 😂😂😂😂
Hebu niache buanaaaa!Hilo jiwe gizani au 🤣🤣🤣
Umenichekesha sana mkuuu!Makutupora ndo maana ukimwita huwa hajikwai pamoja na mibio yote anayotoka nayo machakani 🤣🤣🤣
Mshangazi dot com makutupora
Mbona nlishasema mkuu , huenda luka ni Abdul 😂😂😂😂 manake jina la mama halikauki mdomoni mwake 😂😂😂😂😂😂 huenda mamake mzazi yule....