ID za JF zinaficha mengi, unaweza kukuta unachat na baba yako mzazi huko PM na haujui

ID za JF zinaficha mengi, unaweza kukuta unachat na baba yako mzazi huko PM na haujui

Waongo, hata mimi kuna mtu aliniambia khs JF nikamshangaa sana ndio kitu gani? Lakini ukweli naujua mwenyewe 😹😹😹

Wengine walikuwa wanasimuliana chai moja wasijue hiyo chai mpikaji ni mimi 🤣
Toka hapo kuanzia Twitter (x) ig kote nikafungua fake id ili niwe huru 😹
Hata mimi mtu akiniuliza kuhusuJF, namwambia sijawahi kuisikia. Huku siyo mahali pa kuwa tunafahamiana kabisa.
 
Waongo, hata mimi kuna mtu aliniambia khs JF nikamshangaa sana ndio kitu gani? Lakini ukweli naujua mwenyewe 😹😹😹

Wengine walikuwa wanasimuliana chai moja wasijue hiyo chai mpikaji ni mimi 🤣
Toka hapo kuanzia Twitter (x) ig kote nikafungua fake id ili niwe huru 😹
DAah kwa hiyo yawezekana nilikua nachorwa mimi sijui. Ila katika hiyo research hakuna aliye deal kuuliza username yangu
 
Hahahaha sio kweli mkuu! Kwanini unasema ivo? Ni jibu hili swali la mwisho Kisha nibubujike na Mimi 😂

Unadhani ni kwa Sababu ananijua ndo maana I just respond her quickly or sijaelewa 😂
Najibu kwa mara mwisho 🤣 🤣

Hapana sio sababu mnajuana anakuita kama member wengine na ngumu kuita wote at once wewe unakuwa front fedi seat 😂😂😂

Si unaona kama hapa makutupora, sio kwamba tunajuana 🤣🤣🤣
 
Kicheko nilichokitoa, ni Tom tu ndie anaweza. Tom wa Tom&Jerry

haki ya nani🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
For sure! Naipenda jf ila hizi fake I'd zina Raha yake na kadhia yake 😂

Jana mtu amekutia moyo amekushika mpk bega na ukute anakuhaingikia kukutafutia connection ila kumbe huku jf ndo anakutukana afu anasema yaani Mimi ndo ningetakiwa kukusaidia wewe ningekutumia fuko la mavi 😂
 
Itabidi tuongee vizuri 😅
Yani kama ni wewe nitafurahije, ila sijui nitaficha wapi sura yangu.
Ulidhani dada yako wa heshima, mcha Mungu, mama wa familia, kumbe kuna majukwaa naandika kuhusu raundi za mapenzi na namna ya kuliomba tendo bila kusema neno 😂 🤣 .

Itakua kasheshe sana!
 
Najibu kwa mara mwisho 🤣 🤣

Hapana sio sababu mnajuana anakuita kama member wengine na ngumu kuita wote at once wewe unakuwa front fedi seat 😂😂😂

Si unaona kama hapa makutupora, sio kwamba tunajuana 🤣🤣🤣
Unachosema ni kweli mkuu 😂. Sijui nimeumbwaje ila Mimi ni mtu ambaye Niko so real!

Nadhani maisha ya Falsafa niliyoachiwa urithi na Marehemu Padre Privatusi Karugendo ndo yananifanya niwe ivo!

Huyu Mshangazi dot com ni Moja ya watu wachache ambao walinisaidia siku moja nikiwa so down ... Nilipoteza Tumaini la Maisha!

Unajua ni ngumu sana mtu kujali maumivu na hisia Zako ikiwa hakujui wala Hana undugu na wewe? She acted tofauti

Hivyo Mimi ni kama yule msamaria, naukumbuka sana msaada wake wa Ile siku!

Pengine kama si yeye na wengine wachache ningekuwa nimeshachukua maamuzi magumu ya kimaisha ... Mbaya zaidi simjuiii 😂
 
Unachosema ni kweli mkuu 😂. Sijui nimeumbwaje ila Mimi ni mtu ambaye Niko so real!

Nadhani maisha ya Falsafa niliyoachiwa urithi na Marehemu Padre Privatusi Karugendo ndo yananifanya niwe ivo!

Huyu Mshangazi dot com ni Moja ya watu wachache ambao walinisaidia siku moja nikiwa so down ... Nilipoteza Tumaini la Maisha!

Unajua ni ngumu sana mtu kujali maumivu na hisia Zako ikiwa hakujui wala Hana undugu na wewe? She acted tofauti

Hivyo Mimi ni kama yule msamaria, naukumbuka sana msaada wake wa Ile siku!

Pengine kama si yeye na wengine wachache ningekuwa nimeshachukua maamuzi magumu ya kimaisha ... Mbaya zaidi simjuiii 😂
Nimekupata mkuu..hongera kwa Mshangazi dot com na wengineo pia
 
Wale ambao kutongozwa tu ni yes, ipo siku utakutana na mzazi au mwanao huko kwenye nyumba za wageni
Mwananyamala kuna jamaa walikuwa wanamlipa mhudumu wa lodge apeleke wateja kwenye chumba ambacho kilikuwa kinapigika chabo kiurahisi ili wateja wakienda wao wakapige chabo sasa siku moja bwana mmoja wa hawa jamaa wanaolipa mhudumu kupeleka wateja kule ili wapige chabo hakuwepo, wenzake walikuwepo wanapiga chabo, jamaa ndani linampindua mama wa makamo, washkaji kuangalia vizuri wamemwona mama wa yule jamaa ambaye hakuja ndio anatinduliwa, wakaenda kumwita ila hawakumwambia kama ni mama yake ndio video leo, kufika pale kakuta mtu kapinduliwa doggy na kwa zile angle analiwa ndogo, sasa jamaa limemla ndogo Mamtu ye ananyegeka tu hajui kama mama mzazi yule si dogy ?, ile jamaa limpindue missionary Asalaleeeeee, ndio dogo akapiga ukunga "MAAAMAAA". Kuanzia siku hiyo dogo hajawai tena kurudia kupiga chabo, alilipia chabo ya kumwona mamake akitafunwa kiroho mbaya na wakulungwa.
 
WEWEEEEEEEEEE nimeisoma code, Whaaaaaattttt 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄
Code ganiiiiiii 😂😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom