ID za JF zinaficha mengi, unaweza kukuta unachat na baba yako mzazi huko PM na haujui

ID za JF zinaficha mengi, unaweza kukuta unachat na baba yako mzazi huko PM na haujui

Unachosema ni kweli mkuu 😂. Sijui nimeumbwaje ila Mimi ni mtu ambaye Niko so real!

Nadhani maisha ya Falsafa niliyoachiwa urithi na Marehemu Padre Privatusi Karugendo ndo yananifanya niwe ivo!

Huyu Mshangazi dot com ni Moja ya watu wachache ambao walinisaidia siku moja nikiwa so down ... Nilipoteza Tumaini la Maisha!

Unajua ni ngumu sana mtu kujali maumivu na hisia Zako ikiwa hakujui wala Hana undugu na wewe? She acted tofauti

Hivyo Mimi ni kama yule msamaria, naukumbuka sana msaada wake wa Ile siku!

Pengine kama si yeye na wengine wachache ningekuwa nimeshachukua maamuzi magumu ya kimaisha ... Mbaya zaidi simjuiii 😂
Mkuu sio rahisi wewe uchukue maamuzi ya kipuuzi na sisi majobless wenzako tupo , ila haiombagwi hivyo bwashee 😂
 
Leo nimewaza, kweli kutojuana kunatupa nguvu humu JF.

Binafsi, nina uhakika wapo watu tunafahamiana kwenye maisha ya kawaida ila ID zimetuficha. Hata huko kwenye replies watu wanavyotiana spana, inawezakana unabishana na boss wako na hujui.

Wale wa kujidai huko PM, ndiyo basi tena. Hivi hakuna mtu alishawahi kupanga miadi ya kukutana na mbebez, halafu akakuta labda ni mwenyekiti wake wa jumuiya 😂, akatoka ndukiiiiiiii.

View attachment 3257897
we mwenyewe unaweza ukawa umejichokea hata sio mshangazi basi tu id inakubeba
 
Leo nimewaza, kweli kutojuana kunatupa nguvu humu JF.

Binafsi, nina uhakika wapo watu tunafahamiana kwenye maisha ya kawaida ila ID zimetuficha. Hata huko kwenye replies watu wanavyotiana spana, inawezakana unabishana na boss wako na hujui.

Wale wa kujidai huko PM, ndiyo basi tena. Hivi hakuna mtu alishawahi kupanga miadi ya kukutana na mbebez, halafu akakuta labda ni mwenyekiti wake wa jumuiya 😂, akatoka ndukiiiiiiii.

View attachment 3257897
Atajua yeye 🤣🤣
 
Weka dau mezani, Kuna siku nlikuwa nasoma comments za wananzengo nikapata idea flan nikazama Instagram nikaenda kwenye post za yule 'brazayenu' nikasoma comments zote ........Kuna comment Moja ilikua na 155weeks ikanifanya nikamjua mtu
Kuna siku nilipost picha selfika kuna jamaa akanifuata inbox ananiambia kumbe ni wewe akataja jina langu la nyumbni kabisa, nikavunga🤣🤣🤣 now namwona kwenye kila comments zangu anacheka tu.
 
Kuna siku nilipost picha selfika kuna jamaa akanifuata inbox ananiambia kumbe ni wewe akataja jina langu la nyumbni kabisa, nikavunga🤣🤣🤣 now namwona kwenye kila comments zangu anacheka tu.
Hapo Sasa inabidi baadhi ya mafaili uyawekeee password mapema
 
Back
Top Bottom