ID za JF zinaficha mengi, unaweza kukuta unachat na baba yako mzazi huko PM na haujui

ID za JF zinaficha mengi, unaweza kukuta unachat na baba yako mzazi huko PM na haujui

Leo nimewaza, kweli kutojuana kunatupa nguvu humu JF.

Binafsi, nina uhakika wapo watu tunafahamiana kwenye maisha ya kawaida ila ID zimetuficha. Hata huko kwenye replies watu wanavyotiana spana, inawezakana unabishana na boss wako na hujui.

Wale wa kujidai huko PM, ndiyo basi tena. Hivi hakuna mtu alishawahi kupanga miadi ya kukutana na mbebez, halafu akakuta labda ni mwenyekiti wake wa jumuiya 😂, akatoka ndukiiiiiiii.

View attachment 3257897
Hivi unataka kusema kuwa haiwezekani kumfahamu mtu, kama ukiamua kumfuatilia kwa kina? kisa fake Id?
 
Moja ya jambo ambalo nalichukia 😂 ni hili la kupata marafiki humu na mkaivana ila ndo hivyo hamjuanii

So unakuwa una create picha ya huyo mtu jinsi alivyo! Kumbe sivyo alivyo

By the way! Fake I'd zinawafanya watu wengi kuishi katika uhalisia wake! Anapiga Spana, anatukana, anadharau yaani anakuwa yeye halisi

Ila Pengine ukimkuta mtu huyo huyo nje Jf anajifanya kivingine!

Mzee ijumaa tuonane Monetary doctor 😂
 
mi nikiwa nasoma comment ya mtu ambaye ameweka avatar ya celebrity nnaye mjua huwa nasoma kichwani kwa sauti ya yule celebrity kama simjui nasoma kutokana na avatar ilivyo kama ya mtu anayeonekana mpole nasoma kipole,mtu wa vituko hivyo hivyo na kama hajaweka avatar ya mtu nasoma kwa sauti yangu.
 
Niliwahi kujaribu kufanya uchunguzi kupitia watu wanaonizunguka kama kuna wanaotumia JF lakini nikakuta hamna kabisa. Kwanza watu wanauliza ndio kuna nini huko huku wengine wakisema wao ni wavivu kusoma soma
Jamii mara nyingi u
Inatumiwa na wasomi wa ngazi tofauti tofauti kama alivosema @Daud11 mimi Nilipenda sana jamii sababu ya jukwaa la biashara Infact kipind hicho ndo namaliza Chuo
 
Leo nimewaza, kweli kutojuana kunatupa nguvu humu JF.

Binafsi, nina uhakika wapo watu tunafahamiana kwenye maisha ya kawaida ila ID zimetuficha. Hata huko kwenye replies watu wanavyotiana spana, inawezakana unabishana na boss wako na hujui.

Wale wa kujidai huko PM, ndiyo basi tena. Hivi hakuna mtu alishawahi kupanga miadi ya kukutana na mbebez, halafu akakuta labda ni mwenyekiti wake wa jumuiya 😂, akatoka ndukiiiiiiii.

View attachment 3257897
Tumewaonya sana vijana wanaotukana humu kuhusu hilo
 
Back
Top Bottom