Mshangazi dot com
JF-Expert Member
- Nov 19, 2011
- 1,345
- 3,503
- Thread starter
- #21
Sijakutwa na kitu mdogo ake ila siyo kwamba haiwezekani kukutwa na kitu.Kimekkukuta nini?
Acha tubaki tumefunga hizi PM tu 🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijakutwa na kitu mdogo ake ila siyo kwamba haiwezekani kukutwa na kitu.Kimekkukuta nini?
Daah na mimi itabidi nifanye huu uchunguzi kwa kweliNiliwahi kujaribu kufanya uchunguzi kupitia watu wanaonizunguka kama kuna wanaotumia JF lakini nikakuta hamna kabisa. Kwanza watu wanauliza ndio kuna nini huko huku wengine wakisema wao ni wavivu kusoma soma
👍✔️Kabisa, inatupa uhuru wa kuwa wazi bila kuogopa sana.
upo kimyaKwema mkuu
🤣 🤣 🤣 inawezekana
Hivi unataka kusema kuwa haiwezekani kumfahamu mtu, kama ukiamua kumfuatilia kwa kina? kisa fake Id?Leo nimewaza, kweli kutojuana kunatupa nguvu humu JF.
Binafsi, nina uhakika wapo watu tunafahamiana kwenye maisha ya kawaida ila ID zimetuficha. Hata huko kwenye replies watu wanavyotiana spana, inawezakana unabishana na boss wako na hujui.
Wale wa kujidai huko PM, ndiyo basi tena. Hivi hakuna mtu alishawahi kupanga miadi ya kukutana na mbebez, halafu akakuta labda ni mwenyekiti wake wa jumuiya 😂, akatoka ndukiiiiiiii.
View attachment 3257897
Itakuchukua muda mrefu sana na Pengine pia inaweza isiwezekane! Maana kitu kimoja ni kwamba watu wengi humu ingawa wanatumia fake I'd Bado wanaishi kwa machaleeHivi unataka kusema kuwa haiwezekani kumfahamu mtu, kama ukiamua kumfuatilia kwa kina? kisa fake Id?
Hii ndiyo ilinifanya nifunge PM yangu, nilichat na mtu humu namuona wa kawaida akasema ana miaka 57, nikashtuka maana yule ni baba na babu wa familia kabisa 😂 .Nikiwa bank nasubiri huduma mara naona mtu mzima kabisa around 60 yupo busy jf, so watu wazima tupo wengi sana humu.
kwa hiyo unasemaje kwa wale mashushushu aka chawa wa watawala!?Itakuchukua muda mrefu sana na Pengine pia inaweza isiwezekane! Maana kitu kimoja ni kwamba watu wengi humu ingawa wanatumia fake I'd Bado wanaishi kwa machalee
Mara ya kwanza nimeona ID ya huyu, na anavyoandika nilifikiri ni dogo flani cousin wangu yuko US 😂 😂 😂 ila nikajisemea haiwezekani, nikapotezeamshamba_hachekwi huyu mnafanana
Halafu Kuna mshamba_mwingine na mshamba_hachekwi wanachanganya kama ID Moja hivimshamba_hachekwi huyu mnafanana
Kwa hiyo hutaki kuchat na sisi wazee? Alikuwa anataka akuweke?Hii ndiyo ilinifanya nifunge PM yangu, nilichat na mtu humu namuona wa kawaida akasema ana miaka 57, nikashtuka maana yule ni baba na babu wa familia kabisa 😂 .
Hata Mimi nilikuwa kwenye bajaj nikakuta Mzee na kiwaraza chake yupo Jf anaperuzi mpka nikaogopaNikiwa bank nasubiri huduma mara naona mtu mzima kabisa around 60 yupo busy jf, so watu wazima tupo wengi sana humu.
Jamii mara nyingi uNiliwahi kujaribu kufanya uchunguzi kupitia watu wanaonizunguka kama kuna wanaotumia JF lakini nikakuta hamna kabisa. Kwanza watu wanauliza ndio kuna nini huko huku wengine wakisema wao ni wavivu kusoma soma
Tumewaonya sana vijana wanaotukana humu kuhusu hiloLeo nimewaza, kweli kutojuana kunatupa nguvu humu JF.
Binafsi, nina uhakika wapo watu tunafahamiana kwenye maisha ya kawaida ila ID zimetuficha. Hata huko kwenye replies watu wanavyotiana spana, inawezakana unabishana na boss wako na hujui.
Wale wa kujidai huko PM, ndiyo basi tena. Hivi hakuna mtu alishawahi kupanga miadi ya kukutana na mbebez, halafu akakuta labda ni mwenyekiti wake wa jumuiya 😂, akatoka ndukiiiiiiii.
View attachment 3257897