- Thread starter
- #21
Mwisho wa siku wasije kutuambia waliojiandikisha ni 100% waliojitokeza kupiga kura (turnout) ni asilimia 22.Ingekuwa sahihi kana ni kweli hao watu wamejiandikisha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwisho wa siku wasije kutuambia waliojiandikisha ni 100% waliojitokeza kupiga kura (turnout) ni asilimia 22.Ingekuwa sahihi kana ni kweli hao watu wamejiandikisha.
Huku ni kunidanganya aisee CCM haiwezi kuondolewa kwa kura hawa watu ni wezi aiseeDuniani kote hakuna kitu kinachoogopwa na serikali dhalimu kama idadi kubwa ya wapiga kura.
Baada ya Tume inayosimamia uchaguzi TAMISEMI kudanganya idadi halisi ya waliojiandikisha, kazi iliyo mbele yao kwa sasa ni namna gani watabadilisha hiyo idadi ziwe kura.
Kwa mfano; Mwanza, Sensa ya 2022 idadi ilikuwa 1.95M zaidi ya nusu wakiwa ni watoto chini ya miaka 14, leo wameandikisha 2,08M. Siku ya kupiga kura watawatoa wapi hao watoto waje kupanga foleni wapige kura, mashuleni au mitaani?
Kwa hali halisi ilivyo mitaani na vijijini, chuki ya wananchi kwa CCM na viongozi wake wa mitaa na vitongoji ni kubwa sana, hasira ya ugumu wa maisha kwa wananchi hasa vijana wataimalizia kwenye sanduku la kura.
Mbali na hiyo chuki ya wananchi, ndani ya CCM kwenyewe kuna makundi hasimu yanayotaka mgombea wao apite hivyo kugawa kura.
Kwenye chaguzi zilizopita CCM ilikuwa inasingizia wananchi hasa vijana hawajitokezi kujiandikisha, walitoa hicho kisingizio kwa vile ilionekana vijana wengi walikuwa wanaviunga mkono vyama vya upinzani, safari hii takwimu zinaonesha vijana wengi wamejiandikisha.
Ukichukulia hali hii na idadi kubwa ya waliojiandikisha iwapo wote wataamua kujitokeza kupiga kura, basi CCM watakuwa na kazi kubwa ya kuiba zaidi ya nusu ya kura kitu ambacho ni next to impossible.
Kati ya kura 1,000,000 unaweza kuiba kura laki moja (100,000) lakini siyo laki tano (500,000), hilo likitokea basi utakuwa ni wizi mkubwa kuwahi kutokea na utaweka historia Tanzania.
Kwa idadi hii nadiriki kusema CCM wamejichimbia kaburi lao wenyewe kinachotakiwa kwa vyama vya upinzani sasa ni kuhamasisha watu hasa vijana wajitokeze kwa wingi siku ya kupiga kura.
Sawa, hilo liko wazi tatizo ni process ya kuyabadili hayo majina yawe kura ni ishu,Kwa hizo takwimu maana yake ambao hata hatujafika kujiandikisha tayari tushaandikishwa kilazima. Kiufupi wamiliki wote wa card za CCM wameshaandikishwa maana ziko electronically controlled.
+ January syndrome.Nape style ???!!! 😳😂
Kwa hiyo mtoto wako alikuletea kitu cha wizi huwezi kumuuliza.Mwisho wa siku CCM itashinda kwa zaidi ya 80%
Kama vijana ndiyo wapiga kura wa upinzani then inakuwaje wapinzani walalamike wanafunzi kuandikishwa?
Ugomvi utakuwa mkubwa hayo yakifanyika na nahisi Chadema watatumia style ya Mwabukusi kulinda sanduku la kura awamu hii😁Sawa, hilo liko wazi tatizo ni process ya kuyabadili hayo majina yawe kura ni ishu,
hapo ni mwendo wa kukimbia na maboxi, kuficha madaftari ya wapiga kura, kuingia na chupa za chai zenye kura ndani, kuzima taa wakati wa kuhesabu, wanawake kuficha kura kwenye nguo zao za ndani, yaani ni kazi kweli kweli.
Nilishaliona hilo miaka kadhaa nyuma, CCM itaondoka kwa machafuko kuna kila dalili. Equation ni mbili tu hakuna namna ingine...Huku ni kunidanganya aisee CCM haiwezi kuondolewa kwa kura hawa watu ni wezi aisee
Hakuna kitu kama hicho kwenye siasa!Wapinzani wanalalamikia ukiukwaji wa kanuni na taratibu za uchaguzi whether inawa faver wao ama la.
Anatakiwa haraka kijana mwenye mbio anayeweza kukimbia na mabox mawili ya kura. Maombi yote kwa Amos Makala.Hakuna kitu kama hicho kwenye siasa!
maana yake kuna udhaifu mkubwa mno wa kitakwimu kwenye hayo mabadiliko ya takwimu zako za mezani na kwenye computer, tofauti na mabadiliko halisi kule field kwenye maeneo husika🐒Kama una knowledge kidogo ya takwimu hizo data za Dar na Mwanza zina maana gani, kama huwezi ku interpolate data achana na mambo ya takwimu tuendelee na siasa taka.
View attachment 3133885
sensa 2022 raia wa mwanza ni around 2M ambao zaid nusu yaan 1M ni watoto , je ndan ya miaka 2 (2024) Mwanza imetripple idad ya watu wazima kutoka 1M hadi 2M yaan wale watoto ( 1M ) wote wamekuwa watu wazima ?acha upotoshaji gentleman,
Idadi kubwa ya wanachama wa CCM waliojiandikisha kupiga kura ndio hasa chachu na msingi wa ushindi wa kishindo kwa kila uchaguzi ambao CCM wanashiriki na si vinginevyo..
Ni upotoshaji wa kiwango cha juu zaidi kulinganisha matokeo ya sensa ambayo ambayo hayana kampeni wala sera na ambayo hufanyika katka kipindi cha zaidi ya miaka 10 na uchaguzi mkuu au wa serikali za ambao ni hufanyika kila baada ya miaka mi5.
Na ndiyo maana mara zote tunasema humu jukwaani na waTanzania wote wanajua, kwamba mchujo wa kura za maoni ndani ya CCM huwa una hamasa na shauku kubwa zaidi ya uchaguzi mkuu wenyewe, kwasababu, ndani ya chama hicho ndiyo waTanzania huamua mustakabali wa uongozi wa nchi yao.
Hata hivyo,
uchaguzi mkuu hua ni kukamilisha ratiba ya uchaguzi, taratibu za kisheria na kikatiba tu, kwasabb tayari wananchi wameshaamua mustakabali wao kupitia CCM 🐒
upotoshaji ni kazi nzito sana,sensa 2022 raia wa mwanza ni around 2M ambao zaid nusu yaan 1M ni watoto , je ndan ya miaka 2 (2024) Mwanza imetripple idad ya watu wazima kutoka 1M hadi 2M yaan wale watoto ( 1M ) wote wamekuwa watu wazima ?
WAJINGA NDO MTAJI WA CCMU , UNAPOTETEA JAMBO TUMIA NA AKILI KDG
Hawahitaji kura kushinda. Hata mhesabu kura hana umuhimu sana. Ushindi ni tangazo tu la mtangaza matokeo.Duniani kote hakuna kitu kinachoogopwa na serikali dhalimu kama idadi kubwa ya wapiga kura.
Baada ya Tume inayosimamia uchaguzi TAMISEMI kudanganya idadi halisi ya waliojiandikisha, kazi iliyo mbele yao kwa sasa ni namna gani watabadilisha hiyo idadi ziwe kura.
Kwa mfano; Mwanza, Sensa ya 2022 idadi ilikuwa 1.95M zaidi ya nusu wakiwa ni watoto chini ya miaka 14, leo wameandikisha 2,08M. Siku ya kupiga kura watawatoa wapi hao watoto waje kupanga foleni wapige kura, mashuleni au mitaani?
Kwa hali halisi ilivyo mitaani na vijijini, chuki ya wananchi kwa CCM na viongozi wake wa mitaa na vitongoji ni kubwa sana, hasira ya ugumu wa maisha kwa wananchi hasa vijana wataimalizia kwenye sanduku la kura.
Mbali na hiyo chuki ya wananchi, ndani ya CCM kwenyewe kuna makundi hasimu yanayotaka mgombea wao apite hivyo kugawa kura.
Kwenye chaguzi zilizopita CCM ilikuwa inasingizia wananchi hasa vijana hawajitokezi kujiandikisha, walitoa hicho kisingizio kwa vile ilionekana vijana wengi walikuwa wanaviunga mkono vyama vya upinzani, safari hii takwimu zinaonesha vijana wengi wamejiandikisha.
Ukichukulia hali hii na idadi kubwa ya waliojiandikisha iwapo wote wataamua kujitokeza kupiga kura, basi CCM watakuwa na kazi kubwa ya kuiba zaidi ya nusu ya kura kitu ambacho ni next to impossible.
Kati ya kura 1,000,000 unaweza kuiba kura laki moja (100,000) lakini siyo laki tano (500,000), hilo likitokea basi utakuwa ni wizi mkubwa kuwahi kutokea na utaweka historia Tanzania.
Kwa idadi hii nadiriki kusema CCM wamejichimbia kaburi lao wenyewe kinachotakiwa kwa vyama vya upinzani sasa ni kuhamasisha watu hasa vijana wajitokeze kwa wingi siku ya kupiga kura.
Acha kuchanganyikiwa. Hakuna mtu mwenye haki ya kupotosha facts. Mtu kakupa takwimu rasmi za kitaifa, wewe unaiziita maoni na mitazamo yake?!hayo ni maoni na mitazamo wako potofu ambao ni haki na uhuru wako..
ukweli ni kwamba walioandikishwa kote nchini, ni wale tu wenye sifa na vigezo vya kikatiba vya kupiga kura na si vinginevyo 🐒