Pre GE2025 Idadi kubwa ya wapiga kura ndilo kaburi la CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Huku ni kunidanganya aisee CCM haiwezi kuondolewa kwa kura hawa watu ni wezi aisee
 
Kwa hizo takwimu maana yake ambao hata hatujafika kujiandikisha tayari tushaandikishwa kilazima. Kiufupi wamiliki wote wa card za CCM wameshaandikishwa maana ziko electronically controlled.
Sawa, hilo liko wazi tatizo ni process ya kuyabadili hayo majina yawe kura ni ishu,

hapo ni mwendo wa kukimbia na maboxi, kuficha madaftari ya wapiga kura, kuingia na chupa za chai zenye kura ndani, kuzima taa wakati wa kuhesabu, wanawake kuficha kura kwenye nguo zao za ndani, yaani ni kazi kweli kweli.
 
Mwisho wa siku CCM itashinda kwa zaidi ya 80%

Kama vijana ndiyo wapiga kura wa upinzani then inakuwaje wapinzani walalamike wanafunzi kuandikishwa?
 
 
Mwisho wa siku CCM itashinda kwa zaidi ya 80%

Kama vijana ndiyo wapiga kura wa upinzani then inakuwaje wapinzani walalamike wanafunzi kuandikishwa?
Kwa hiyo mtoto wako alikuletea kitu cha wizi huwezi kumuuliza.

Wapinzani wanalalamikia ukiukwaji wa kanuni na taratibu za uchaguzi whether inawa faver wao ama la.
 
Ugomvi utakuwa mkubwa hayo yakifanyika na nahisi Chadema watatumia style ya Mwabukusi kulinda sanduku la kura awamu hii😁
 
Huku ni kunidanganya aisee CCM haiwezi kuondolewa kwa kura hawa watu ni wezi aisee
Nilishaliona hilo miaka kadhaa nyuma, CCM itaondoka kwa machafuko kuna kila dalili. Equation ni mbili tu hakuna namna ingine...
Raia+Strike=CCM out
Raia+Kura= CCM wins
Kupingana na hizi equation ni kujipotezea muda na kujipa false hopes.
 
Kama una knowledge kidogo ya takwimu hizo data za Dar na Mwanza zina maana gani, kama huwezi ku interpolate data achana na mambo ya takwimu tuendelee na siasa taka.

View attachment 3133885
maana yake kuna udhaifu mkubwa mno wa kitakwimu kwenye hayo mabadiliko ya takwimu zako za mezani na kwenye computer, tofauti na mabadiliko halisi kule field kwenye maeneo husika🐒
 
sensa 2022 raia wa mwanza ni around 2M ambao zaid nusu yaan 1M ni watoto , je ndan ya miaka 2 (2024) Mwanza imetripple idad ya watu wazima kutoka 1M hadi 2M yaan wale watoto ( 1M ) wote wamekuwa watu wazima ?

WAJINGA NDO MTAJI WA CCMU , UNAPOTETEA JAMBO TUMIA NA AKILI KDG
 
upotoshaji ni kazi nzito sana,


infact,
kwa mkoa uloutaja,
waliofikia na watakaofikia umri wa miaka 18, hadi kufikia Oct 2024 wanaweza kufikia 1.5 achilia mbali waliojiandikisha kwaajili ya kupiga kura 🐒
 
Kwa CCM hilo siyo tatizo! Tunavyosema sasa hivi huenda matokeo yameshatengenezwa!
 
Wakili Moses John Basila atoa maoni yake kuhusu zoezi la uandikishwaji daftari la mpiga kura 2024


View: https://m.youtube.com/watch?v=D0s8QGXsdV4
Aelezea uzoefu wake kuhusu mchakato mzima kumuuandaa hadi kufikia siku ya kupiga kura aliyejiandikisha...

Mchakato kuingiliwa .... watanzania tuna kasumba fulani na kutekwa na mambo mepesi. Kiasi kujua ukweli kamili inakuwa shida ... kanuni ya 7 ya uchaguzi wa TAMISEMI inatamka wazi nani mwenye sifa cha nani anaweza kupiga kura ...

Matangazo ni mengi sana kuhamasisha yalikuwepo mengi, kiasi wakaazi waliojitokeza (turn up) kujiandikisha katika daftari la mpiga kura mitaani, vijijini, vitongoji imekuwa kubwa sana na hili linastahili pongezi ...
 
Hawahitaji kura kushinda. Hata mhesabu kura hana umuhimu sana. Ushindi ni tangazo tu la mtangaza matokeo.
 
hayo ni maoni na mitazamo wako potofu ambao ni haki na uhuru wako..

ukweli ni kwamba walioandikishwa kote nchini, ni wale tu wenye sifa na vigezo vya kikatiba vya kupiga kura na si vinginevyo 🐒
Acha kuchanganyikiwa. Hakuna mtu mwenye haki ya kupotosha facts. Mtu kakupa takwimu rasmi za kitaifa, wewe unaiziita maoni na mitazamo yake?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…