Idadi ya Nguruwe yaongezeka nchini

Idadi ya Nguruwe yaongezeka nchini

Notorious thug

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2021
Posts
2,817
Reaction score
10,667
Leo wakati nafuatilia Mpango na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi 2023/2024 Waziri Abdallah Ulega amesema idadi ya Nguruwe "kitimoto" imeongezeka kwa mwaka 2022/2023 kutoka Nguruwe Milioni Tatu na Laki Nne(3.4M) hadi Nguruwe MilioniTatu na Laki Saba(3.7M).

Hii ni habari nzuri kwa walaji wa kitoweo hicho maarufu kama "Kitimoto" "Mdudu" ambacho kimekua kikipendwa na watu mbali mbali hapa nchini bila kuchagua rika,kabila wala dini.

fat-pink-and-black-pot-bellied-pig.jpg
1598545010-kitimoto_masters_.jpg
 
Oya hiyo kitu sio poa kabisa 😋😋😋
Kuna jamaa ni Mwislamu alileta kitimoto nusu geto ikabidi nitoke nikaongeze jumla ikawa kilo 2.
Tulikula hadi kujilamba afu nakumbuka hy siku ilikuwa Ijumaa.
Nomaaa hakika kitimoto hakwepeki.
 
Back
Top Bottom