Kyalow
JF-Expert Member
- Mar 6, 2011
- 3,548
- 2,580
Gonga Bwana Aboubakari!!Mapepo yalikufa,
Tuendelee kula tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gonga Bwana Aboubakari!!Mapepo yalikufa,
Tuendelee kula tu
Kwa waislam wa Dar wanaogopa nguruwe kuliko biaOya hiyo kitu sio poa kabisa 😋😋😋
Kuna jamaa ni Mwislamu alileta kitimoto nusu geto ikabidi nitoke nikaongeze jumla ikawa kilo 2.
Tulikula hadi kujilamba afu nakumbuka hy siku ilikuwa Ijumaa.
Wanaongezeka kwa sababu mahitaji ni makubwa ni hii inatokana na ubora alionao kama kitoeoHabari makini kabisa hii
Hakika mahitaji yamekua makubwa sana haswa baada ya Wakristo na hawa ......kumaliza mfungo.Wanaongezeka kwa sababu mahitaji ni makubwa ni hii inatokana na ubora alionao kama kitoeo
Ukichelewa kuwazalisha wakizaa wanakulaAwo jamaa nasikia wanazaliana ka panya, ila wakihisi njaa wanatafuna watoto
nguruwe nao wakagoma kukaa na mapepo wakaona bora wakajiue tu.Ngoja nibaki Hulu nguruwe zina mapepo.. Yale yaliyoomba hifadhi baada ya Kristo kuyatimua mwilini mwa mtu.. Akayaamuru yakaingie kwenye kundi la nguruweView attachment 2607514
Hii khabari imejaa uongo na umbea 🤣🤣🤣Oya hiyo kitu sio poa kabisa 😋😋😋
Kuna jamaa ni Mwislamu alileta kitimoto nusu geto ikabidi nitoke nikaongeze jumla ikawa kilo 2.
Tulikula hadi kujilamba afu nakumbuka hy siku ilikuwa Ijumaa.
Niamini mkuu 😂Hii khabari imejaa uongo na umbea 🤣🤣🤣
Ha ha ha [emoji23]Mshana napita zangu kwa huzuni hii habari ngumu kwangu kuikubali
Yakafa mwili roho zikawa reincarnatednguruwe nao wakagoma kukaa na mapepo wakaona bora wakajiue tu.
Hureeeee! Mpaka wafike nguruwe takriban milioni 40 ndio itakuwa supa zaidi.Leo wakati nafuatilia Mpango na Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Fedha ya Wizara ya Mifugo na Uvuvi 2023/2024 Waziri Abdallah Ulega amesema idadi ya Nguruwe "kitimoto" imeongezeka kwa mwaka 2022/2023 kutoka Nguruwe Milioni Tatu na Laki Nne(3.4M) hadi Nguruwe MilioniTatu na Laki Saba(3.7M).
Hii ni habari nzuri kwa walaji wa kitoweo hicho maarufu kama "Kitimoto" "Mdudu" ambacho kimekua kikipendwa na watu mbali mbali hapa nchini bila kuchagua rika,kabila wala dini.
View attachment 2607474View attachment 2607475
Mapepo yakijichanganya mayo yanaliwa tuuNgoja nibaki Huku nguruwe zina mapepo.. Yale yaliyoomba hifadhi baada ya Kristo kuyatimua mwilini mwa mtu.. Akayaamuru yakaingie kwenye kundi la nguruweView attachment 2607514
Hiyo ni old generation, ya nguruwe enzi za yesu huko,Ngoja nibaki Huku nguruwe zina mapepo.. Yale yaliyoomba hifadhi baada ya Kristo kuyatimua mwilini mwa mtu.. Akayaamuru yakaingie kwenye kundi la nguruweView attachment 2607514
Hahaha[emoji23]Mapepo yakijichanganya mayo yanaliwa tuu
Maana yake mapepo yalibaki baharini nguruwe wakafa. Ndio mana falme nyingi za majini na za giza ziko baharini. Sasa anaesema ngurue wamefanya nn anasahau mambo ya baharini na anaishi kisiwani.Mapepo yalikufa,
Tuendelee kula tu