Idadi ya Vijana walevi inaongezeka nchini

Idadi ya Vijana walevi inaongezeka nchini

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Ni Kama Movie: Hali Sio Nzuri Kabisa Kuanzia GEN EAC

Nimekuwa Nairobi hapa kati, vijana asubuhi mapema wanakunywa vinywaji vikali, mchana unakutana nao njiani wanaongea wenyewe, aisee.

Haitoshi, hili janga limehamia Tanzania kwa ujumla, hasa mji wa Dar es Salaam.

Hatujakataza kunywa, sema inaumiza sana hivi, sana. Kila ukiamka asubuhi unakuta pub na maduka vimejaa Smart Gin na ile nyingine kali.

Inatia shaka, wapi twaenda? Kwa kweli inaumiza. Hatujakataza wanywe, lakini tunatengeneza taifa la vijana walevi.

Usiniulize na uzinzi, huko sijafika.

Ee Mola, tunusuru wanawako.
 
Nimepitia Moshi, jamani huko hakufai. Wachaga wenzangu tuko Dar, tupige maombi.
Kampuni za pombe kali za vikopo kama zimezaliwa kule. Kila aina iko kule, Jogoo, Mtetea, sijui Kiwango, Kiboko, Kikalio, hatari tupu!

Vijana unawaona mtaani usiku, wake zao wanalia, umeme hakuna. Nilienda sehemu nikawakuta jamaa za home wamekaa kikundi, wananunua gongo, wanachanganya na vile vipombe vya plastiki, wanajazia na mbege. Aisee, hatari sana, nilitoa machozi kwa kweli.
  1. Hawali, wakinywa saa nne asubuhi ndoo kimoja.
  2. Usiku umeme umekatika, baadhi ya wake zao huja kufanya kazi home na kugeuka wanalia. Kaka wadogo zako wale wote, hamna kitu, hata upige tarumbeta.
Aisee, niliumia sana. Anyway, Allah atuponye na hili janga.
 
Smart gin nismatfy najua haupingwi, double kick nidabofy kick yako nakubal Moja Tu goli mia nane.
 
Arusha, Kilimanjaro na Manyara pombe inanyweka kuanzia saa 12 asubuhi yani watu mnaenda mihangaikoni au kanisani jpili unapishana na mtu yuko bwiii kijana wa 28 yrs lkn ukimtizama miguu na mashavu yamevimbiana kama katuni
 
Hapa ndipo Taifa linapata wakati mgumu kuelekea mafanikio.

Vijana wanalalamika ajira hamna ni kweli lakini kuna baadhi ya vijana hawaajiriki labda self employment.

Kijana wa chuo kikuu anayedhaniwa kuleta mabadiliko ndiye mlevi et anatoa stress.

Iga ufe!

Vijana turudi nyuma tutafakari uhalisia wa maisha ya wazazi na nyumbani kwetu na tujione tunalo jukumu la kufanya kwenye familia, jamii na Taifa letu.
 
Kwa hii trend ya ulevi hasa kwa hii Generation ya 2000+ tusipochukuaa hatua kama nchi tunaenda kuwa na taifa ya ajabu sana hapo mbeleni
Bora hioooo yaaan tutawazikaa ununioo kwa ajili ya wazeee naonaa jnajaza 2000+
 
Arusha, Kilimanjaro na Manyara pombe inanyweka kuanzia saa 12 asubuhi yani watu mnaenda mihangaikoni au kanisani jpili unapishana na mtu yuko bwiii kijana wa 28 yrs lkn ukimtizama miguu na mashavu yamevimbiana kama katuni
Well said mkuu halii hii nimeikutaa moshii yaaan kichwa kina afyaaa kuanzia mabegaa kushuka chini siohali

Kibaya ykisema ngoja niwape kvant waenjoy yaaan kati ya 10 ...3 mpaka 4 wakiinuka wameshaharisha hapo mountain unazima na simu kwa mda hnakimbia sijuiii zile pombe zinakataaa na spika zile ama wakilewa wanaliwagwa??l(sinalakusema)
 
Hata wasipokunywa mapombe watadondokea kwenye mauraibu mengine tu vijana wamevurugwa na ma ccm
CCM amekujaje mkuuu huoo naonuraibu maisha n kupambbana hata uwe democratic
 
Back
Top Bottom