Idadi ya Vijana walevi inaongezeka nchini

Idadi ya Vijana walevi inaongezeka nchini

NI KAMA MVE HALI SIO NZURI KABISA NISEME KUANZIA GEN EAC

NIMEKUWA NAIROBI HAPA KATI YAAN VIJANA ASBH MAPEMA WANAKUNYWA VIPOMBE VIKALI MCHANA UNAKUTANANAO NJIAN WANAONGEA WENYEWE AISEE

HAITOSHI HILI JANGA LIMEHAMIA TANZANIA KWA UJUMLA HASA MJI WA DAR ES SALAAM

YAAN HATUKATAI KUNYWA SEMA INAUMIZA SANA HIVI SANA KILA UKIAMKA ASBH UNAKUTA PUB NA MADUKA VIMEJAA VI SMARTGIN NA ILE NYINGNE KALI

NANNYINGINEZO

INATIA SHAKA WAPI TWAENDA KWA KWELI INAUMIZA HATUKATAI WANYWE JE TUNATENGENEZA TAIFA LA VIJANA WALEVI

USINIULIZE NA UZINZI HUKO SIJAFIKA

EE MOLA TUNUSURU WANAWAKO
Tupe ajira mkuu tuache kushinda vijiweni
 
Mara ya mwisho nimekunywa alcohol yoyote ni January 1 2024, gkasi moja ya Champagne ya kusheherekea mwaka mpya.

Sijanywa pombe tena.

Halafu kila siku naziona pombe, nina Scotch Whisky, Tequila Vodka Gin na wine kwenye home mini bar, nina beer kwenye friji la garage.

Lakinisijaona hata kishawishi cha kunywa pombe.

Na niliamua tu kuacha kunywa, sikulazimika.

Miaka ya nyuma nilikuwa naamua kukaa bila kunywa pombe mpaka miaka miwili.

Katika nchi ambayo pressure ya kunywa pombe ni kubwa sana.

Ukiamua kuacha pombe, unaweza.

Lakini pia, ukiamua kunywa pombe, ni haki yako.
 
Kuna Hawa Wala ugoro Aisee!!! Me wananikera mpk basi!! Kila dakika wanatema mate tu!
Sasa ukute ndo boda boda kakubeba Kila dakika anatema mate huku boda Iko speed, dadekii...!! Kuna mmoja nilimgonga ngumi ya mgongo mpk akanishusha na hela sikumlipa fala yule!!
 
Mara ya mwisho nimekunywa alcohol yoyote ni January 1 2024, gkasi moja ya Champagne ya kusheherekea mwaka mpya.

Sijanywa pombe tena.

Halafu kila siku naziona pombe, nina Scotch Whisky, Tequila Vodka Gin na wine kwenye home mini bar, nina beer kwenye friji la garage.

Lakinisijaona hata kishawishi cha kunywa pombe.

Na niliamua tu kuacha kunywa, sikulazimika.

Miaka ya nyuma nilikuwa naamua kukaa bila kunywa pombe mpaka miaka miwili.

Katika nchi ambayo pressure ya kunywa pombe ni kubwa sana.

Ukiamua kuacha pombe, unaweza.

Lakini pia, ukiamua kunywa pombe, ni haki yako.
Kufa hk yao pia
 
Kuna Hawa Wala ugoro Aisee!!! Me wananikera mpk basi!! Kila dakika wanatema mate tu!
Sasa ukute ndo boda boda kakubeba Kila dakika anatema mate huku boda Iko speed, dadekii...!! Kuna mmoja nilimgonga ngumi ya mgongo mpk akanishusha na hela sikumlipa fala yule!!
Mkuuu janga kubwaw hilooo mabodaboda wote wa tbovu kawee kwa zena afrikana n wala ugoro mbayq wanaonja smart gin wanapitishia plan hapoo kaa mbali na pkkzao akitoka unaweza hisi dreamlliner imenyanyuka
 
NI KAMA MVE HALI SIO NZURI KABISA NISEME KUANZIA GEN EAC

NIMEKUWA NAIROBI HAPA KATI YAAN VIJANA ASBH MAPEMA WANAKUNYWA VIPOMBE VIKALI MCHANA UNAKUTANANAO NJIAN WANAONGEA WENYEWE AISEE

HAITOSHI HILI JANGA LIMEHAMIA TANZANIA KWA UJUMLA HASA MJI WA DAR ES SALAAM

YAAN HATUKATAI KUNYWA SEMA INAUMIZA SANA HIVI SANA KILA UKIAMKA ASBH UNAKUTA PUB NA MADUKA VIMEJAA VI SMARTGIN NA ILE NYINGNE KALI

NANNYINGINEZO

INATIA SHAKA WAPI TWAENDA KWA KWELI INAUMIZA HATUKATAI WANYWE JE TUNATENGENEZA TAIFA LA VIJANA WALEVI

USINIULIZE NA UZINZI HUKO SIJAFIKA

EE MOLA TUNUSURU WANAWAKO
Niiionyeshwa na dk.mmojq mapafu yanavyokuwa na figo walioathirika a toka sikuhio nlisema wwcha nibaki na cdm.zangy kwa pochiii hukooo hapaaaanaaa huku ntatokq.polepoleee
 
"Jaribu Kuishusha Presha Dr"
Tanesco hawajaongeza tozo yoyote, yule chizi wenu anayevaa hadi chupi ya bendera ya Taifa ndio mbaya wenu.

Endeleeni kuwachekea ccm, kumbe mpaka sasa Watanzania wengi hamumjui adui yenu ni nani
 
YAAN NIMEPITIA MOSHI JAMAN HUKO AKUFI WACHAGA WENZANGU TUKO DAR TUPIGE MAOMBII

YAAN ZIK
LE KAMPUNI ZA POMBE KALI ZA VIKOPO KAMA ZIMEZALIWA KULEEKILA AINA IKOO KULEE JOGOOO
MTETEAAA SIJUI
KIWANGO
KIBOKO
KIKALIO HATAREE TUPUUUUU

VIJANA UNAWAONA MTAAAN USIKU WAKEZAO WANALIA UMEMEE HAKUNAAA

NILIENDAA SEHEMU NKAWAKUTA JAMAA ZA HOME WAMEKAA KIKUNDI WANANUNUA GONGO WANACHANGANYA NA VILE VIPOMBE VYA PLASTICK WANAJAZIA NA MBEGE AISEE HATAREE SANAA NILITOAA MACHOZI KWA KWELI

2. HAWALI WAKINYWA SAA NNE ASBH NDOO KIMOJA

3.USIKU UMEME UMEKATA MAZJMA BAADHI YA WAKE ZAO HUJA KUFANZA KAZI HOME NA KUGEUKA WANALIA KAKA WADOGO ZAKOO WALEE WOOTE HAMNA KITU ATA UPIGE TARUMBETA

AISEE NILIUMIAA SANA ANYWAY ALKAH ATUPONYE NA HIILI JANGA
Doh!huu mwandiko hapana bhana
 
Kuna Hawa Wala ugoro Aisee!!! Me wananikera mpk basi!! Kila dakika wanatema mate tu!
Sasa ukute ndo boda boda kakubeba Kila dakika anatema mate huku boda Iko speed, dadekii...!! Kuna mmoja nilimgonga ngumi ya mgongo mpk akanishusha na hela sikumlipa fala yule!!
Du hatari hahahahaha
 
wakati mwingine tunalalamika hiiizii pombe jaman nilitokea znz majuzi kati pale darajani sijui wameamua kutelekezwa wale vijana ama lah

YYaanmateja kama woteee njenjeee wanaenda sehemu na wanajidunga vila shoboooo..wanauza kwa kiziboo cha soda mzigooo

Nkasema tukilia na hizi pombe kuna ambaoo wanakaribia kufa wakiona watoto zaoo na madawa za kulevya znz na kwingjnekoo

Allah atusaidie tu
 
hii slogan alikuja nayo BCM kwenye kampeni akiwa na ACT wazalendo,nafikiri hakumaanisha hali hii KAZI NA BATA.
 
wakati mwingine tunalalamika hiiizii pombe jaman nilitokea znz majuzi kati pale darajani sijui wameamua kutelekezwa wale vijana ama lah

YYaanmateja kama woteee njenjeee wanaenda sehemu na wanajidunga vila shoboooo..wanauza kwa kiziboo cha soda mzigooo

Nkasema tukilia na hizi pombe kuna ambaoo wanakaribia kufa wakiona watoto zaoo na madawa za kulevya znz na kwingjnekoo

Allah atusaidie tu
Mkuu kaa vizuri uandike comments Zako, maana unaandika kama umelewa vile
 
Arusha, Kilimanjaro na Manyara pombe inanyweka kuanzia saa 12 asubuhi yani watu mnaenda mihangaikoni au kanisani jpili unapishana na mtu yuko bwiii kijana wa 28 yrs lkn ukimtizama miguu na mashavu yamevimbiana kama katuni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna Hawa Wala ugoro Aisee!!! Me wananikera mpk basi!! Kila dakika wanatema mate tu!
Sasa ukute ndo boda boda kakubeba Kila dakika anatema mate huku boda Iko speed, dadekii...!! Kuna mmoja nilimgonga ngumi ya mgongo mpk akanishusha na hela sikumlipa fala yule!!
Hawa ndo huwa nawaza, wachumba zao wanawezajee kupeana nao denda, khaaaah
 
Back
Top Bottom