Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena nasikia siku hizi vijana wanatumia "dubur" zao kulewa.Ni Kama Movie: Hali Sio Nzuri Kabisa Kuanzia GEN EAC
Nimekuwa Nairobi hapa kati, vijana asubuhi mapema wanakunywa vinywaji vikali, mchana unakutana nao njiani wanaongea wenyewe, aisee.
Haitoshi, hili janga limehamia Tanzania kwa ujumla, hasa mji wa Dar es Salaam.
Hatujakataza kunywa, sema inaumiza sana hivi, sana. Kila ukiamka asubuhi unakuta pub na maduka vimejaa Smart Gin na ile nyingine kali.
Inatia shaka, wapi twaenda? Kwa kweli inaumiza. Hatujakataza wanywe, lakini tunatengeneza taifa la vijana walevi.
Usiniulize na uzinzi, huko sijafika.
Ee Mola, tunusuru wanawako.
Iam confused Sasa Allah mbona ndio kaahidi mito ya pombe peponiNimepitia Moshi, jamani huko hakufai. Wachaga wenzangu tuko Dar, tupige maombi.
Kampuni za pombe kali za vikopo kama zimezaliwa kule. Kila aina iko kule, Jogoo, Mtetea, sijui Kiwango, Kiboko, Kikalio, hatari tupu!
Vijana unawaona mtaani usiku, wake zao wanalia, umeme hakuna. Nilienda sehemu nikawakuta jamaa za home wamekaa kikundi, wananunua gongo, wanachanganya na vile vipombe vya plastiki, wanajazia na mbege. Aisee, hatari sana, nilitoa machozi kwa kweli.
Aisee, niliumia sana. Anyway, Allah atuponye na hili janga.
- Hawali, wakinywa saa nne asubuhi ndoo kimoja.
- Usiku umeme umekatika, baadhi ya wake zao huja kufanya kazi home na kugeuka wanalia. Kaka wadogo zako wale wote, hamna kitu, hata upige tarumbeta.
Porojo hizo.Iam confused Sasa Allah mbona ndio kaahidi mito ya pombe peponi
Mabikira 72 na mito ya ngedule na wanzuki na chamu haijaahidiwa na Allah wenu mbona unawakana mudi na.mpwa wake allah subhanau wataala?Porojo hizo.
Siyo 72, mbona unashusha idadi?Mabikira 72 na mito ya ngedule na wanzuki na chamu haijaahidiwa na Allah wenu mbona unawakana mudi na.mpwa wake allah subhanau wataala?
Jianndalie kilainishiPdidy naomba dawa ya utajiri......
Na nyie wa kike mtapewa midume mingapi mingapiSiyo 72, mbona unashusha idadi?
Ni bila ya hesabu. Peponi tena upangiwe hesabu? Haiji.
Hakuna idadi, kwa raha zetu.Na nyie wa kike mtapewa midume mingapi mingapi
UongooHata wasipokunywa mapombe watadondokea kwenye mauraibu mengine tu vijana wamevurugwa na ma ccm
Hizi ndio ndoto za uongoHakuna idadi, kwa raha zetu.
Sasa wewe unaujuwa Uislam kuliko Muislam?Hizi ndio ndoto za uongo
Sasa unataka hawa vijana waliosoma wafanyaje, huko serikalini wamejaa viongozi vilaza wasiotaka watu waliosoma kuogopa kuumbuliwa na ndiyo maana viongozi wengi ni wachawi, wanaomba vijana waendelee kuwa walevi, wapenda dini, bongo fleva, na kuwahimiza waendelee kusali na kuwa wapole Mungu anawaona.Ni Kama Movie: Hali Sio Nzuri Kabisa Kuanzia GEN EAC
Nimekuwa Nairobi hapa kati, vijana asubuhi mapema wanakunywa vinywaji vikali, mchana unakutana nao njiani wanaongea wenyewe, aisee.
Haitoshi, hili janga limehamia Tanzania kwa ujumla, hasa mji wa Dar es Salaam.
Hatujakataza kunywa, sema inaumiza sana hivi, sana. Kila ukiamka asubuhi unakuta pub na maduka vimejaa Smart Gin na ile nyingine kali.
Inatia shaka, wapi twaenda? Kwa kweli inaumiza. Hatujakataza wanywe, lakini tunatengeneza taifa la vijana walevi.
Usiniulize na uzinzi, huko sijafika.
Ee Mola, tunusuru wanawako.
HUo ni uongo ukifa ukafaulu kuingia mbinguni unakunywa mvinyo na kusikiliza nyimbo nzuri nzuri kila mmoja atapewa sura mpya na kusherekea .Sasa wewe unaujuwa Uislam kuliko Muislam?
Biblia unaielewa?