Idadi ya Vijana walevi inaongezeka nchini

Idadi ya Vijana walevi inaongezeka nchini

Inahuzunisha kakweli tukienda hivi miaka mingine 4 sijui hali itakuwaje nguvu kazi imegeuka kuwa mazombie
HII HALI SIKIA KWAMWENZIOO ASIWE NDUGU YAKOO

WANASEMA KICHAA UTAMCHEKA KAMA ATOKUWA NDUGU YAKO AKIWA WAKO NYOO KAKAA TUOMBE SANA TAIFA LETU NA EAC NZIMA JANGA LA TAIFA HILI
 
HII HALI SIKIA KWAMWENZIOO ASIWE NDUGU YAKOO

WANASEMA KICHAA UTAMCHEKA KAMA ATOKUWA NDUGU YAKO AKIWA WAKO NYOO KAKAA TUOMBE SANA TAIFA LETU NA EAC NZIMA JANGA LA TAIFA HILI
Ni kweli, miaka kadhaa nyuma tulizisikia rombo huko mpakani lakini hivi tunavyozungumza hii tabia imeshamea mpaka ukanda wa Singida bado kidogo itakuwa ni janga la kitaifa, mchelea mwana kulia hulia yeye
 
Bora uko mapombe huku znz mateja wanakula unga mwishowe wanakua machizi
Mkuu nilikuwa huko tkka jnne nimerudi jana aisee darajan na sehemu moja sijui wanaitajee kwishnaaa kabsaaa vjana

uko njian nilikuwa hotel moja pemben ya immigration aisee tunatembea tunakuta vijana wamechokaa kama wazee wa miaka 69 wanaomba 300 wengine wanaongeaaa wenyewe ..nikamwomba Mungu awasaidie tu

Nkaenda paje hukoo doooh siongei Allah awabadilishee
 
waitaliano wametumaliza kabisa na madawa alafu unakuta wanauza wao mahotel yao aisee
 
Pia ninailaumu serikali. Tatizo sio pombe kuuzwa ndani ya ardhi ya 255. Pombe ilikuwepo tangu 80's. Tatizo liliibuka baada ya serikali kuruhusu hivi vikampuni vya kuuza gongo kwenye vichupa. Utu tupombe twa bei chee ndio kumekuja n amasa ya ulevi. Inasikitisha kuwaona vijana wenzangu wamegeuka mazombi. Saivi hadi kwa 500 mtu anapata shot, buku nusu, 2000 ndio kichupa kizima. Sitozitaja parasite kampuni zinazonufaika na hii biashara, ila serikali inatakiwa kujua kuwa faida inayotokana na uuzwaji wa hizo pombe ni ndogo sana tukizingatia hasara taifa inayoipata kutokana na hizi biashara. Saivi ni almost 6/10 ya vijana wanaotoka kwenye familia ya hali ya chini kiuchumi wanatumia hizi pombe. Hata kama serikali yetu inaona inaongoza wajinga ndio maana inatupeleka hobela hobela tu, ila inatakiwa kujitathmini pale wajinga wanapoanza kunong'ona kuwa viongozi wetu wengine ni wajinga kwa kuruhusu vitu vya kishenzi chini ya uongozi wao. Trust me ipo siku. Nyinyi viongozi mnaojiona invisible kwa kuruhusu taifa kuumia namna hii, one day we will hold you all accountable. Halas.
Sijui wanaweka nini kwnye hutwo tupombe mbaya zaidi hawali chakula hiki ndo kinafanya wavimbe mashavu, midomo inaungua mtu muda wote uso unakuwa km kapigwa bomu la machozi
 
King kong chuma nishapita shida nyingi, msoto chakaraa🎵🎵🎵 anaandika chuma chid benz...
 
Wamekusikia mkuu...



Cha ajabu, hii post itawachukiza na hasira zao watazimalizia kwenye pombe tena.
 
Ni Kama Movie: Hali Sio Nzuri Kabisa Kuanzia GEN EAC

Nimekuwa Nairobi hapa kati, vijana asubuhi mapema wanakunywa vinywaji vikali, mchana unakutana nao njiani wanaongea wenyewe, aisee.

Haitoshi, hili janga limehamia Tanzania kwa ujumla, hasa mji wa Dar es Salaam.

Hatujakataza kunywa, sema inaumiza sana hivi, sana. Kila ukiamka asubuhi unakuta pub na maduka vimejaa Smart Gin na ile nyingine kali.

Inatia shaka, wapi twaenda? Kwa kweli inaumiza. Hatujakataza wanywe, lakini tunatengeneza taifa la vijana walevi.

Usiniulize na uzinzi, huko sijafika.

Ee Mola, tunusuru wanawako.
Wafungie hivi vipombe vyao vya ajabu vilivyokuja kwa kasi kama walovyofungia viroba kipindi kile.

Afya ya vijana inazidi kuwa matatani.

Tunazidi kupoteza nguvu kazi ya taifa.
 
Denda kwenye mtaala wa mapenzi Africa haipo... Denda origin yake ni western huko, Huku africa hakuna mambo mengi
Ni kama simu au kupanda daladala havikuwepo kama umevikubali hata denda ukubali tu hamna namna 😂😂😂
 
Ni Kama Movie: Hali Sio Nzuri Kabisa Kuanzia GEN EAC

Nimekuwa Nairobi hapa kati, vijana asubuhi mapema wanakunywa vinywaji vikali, mchana unakutana nao njiani wanaongea wenyewe, aisee.

Haitoshi, hili janga limehamia Tanzania kwa ujumla, hasa mji wa Dar es Salaam.

Hatujakataza kunywa, sema inaumiza sana hivi, sana. Kila ukiamka asubuhi unakuta pub na maduka vimejaa Smart Gin na ile nyingine kali.

Inatia shaka, wapi twaenda? Kwa kweli inaumiza. Hatujakataza wanywe, lakini tunatengeneza taifa la vijana walevi.

Usiniulize na uzinzi, huko sijafika.

Ee Mola, tunusuru wanawako.
we kama unapenda ngono mbona tuja kusimanga
 
as a former liquor taker, pombe ni hatari sana, bahati mbaya sana ukiwa mtumiaji huwezi ona, na utaona wasiotumia ni mafala, hawana starehe yoyote!
 
cuc.jpg
 
wakati mwingine tunalalamika hiiizii pombe jaman nilitokea znz majuzi kati pale darajani sijui wameamua kutelekezwa wale vijana ama lah

YYaanmateja kama woteee njenjeee wanaenda sehemu na wanajidunga vila shoboooo..wanauza kwa kiziboo cha soda mzigooo

Nkasema tukilia na hizi pombe kuna ambaoo wanakaribia kufa wakiona watoto zaoo na madawa za kulevya znz na kwingjnekoo

Allah atusaidie tu
Naona kuandika kwako ni tatizo mzee
 
Mi ni mnywaji lakini nitaacha Mungu akipenda...hatari sana nimempeleka ndugu yangu hadi sober manyara kule...kapewa matibabu miez minne akawa fresh kabisa...kapanda gari aje dar...kafika dodoma kalianzisha...naenda mpokea nakuta mtu yupo chwii...aisee..nilichoka ni very genious...kama exposures anazo...amesoma Asia miaka 6..pombe mbaya sana
 
Back
Top Bottom