Idadi ya Vijana walevi inaongezeka nchini

Idadi ya Vijana walevi inaongezeka nchini

Ni Kama Movie: Hali Sio Nzuri Kabisa Kuanzia GEN EAC

Nimekuwa Nairobi hapa kati, vijana asubuhi mapema wanakunywa vinywaji vikali, mchana unakutana nao njiani wanaongea wenyewe, aisee.

Haitoshi, hili janga limehamia Tanzania kwa ujumla, hasa mji wa Dar es Salaam.

Hatujakataza kunywa, sema inaumiza sana hivi, sana. Kila ukiamka asubuhi unakuta pub na maduka vimejaa Smart Gin na ile nyingine kali.

Inatia shaka, wapi twaenda? Kwa kweli inaumiza. Hatujakataza wanywe, lakini tunatengeneza taifa la vijana walevi.

Usiniulize na uzinzi, huko sijafika.

Ee Mola, tunusuru wanawako.
Sababu ni ongezeko la kina mama walevi
 
Hapo Bado ujaongelea kwenye kuharibu figo na maini Kuna daktari mmoja wa Mhimbili nlkua nazungumza nae akawa ananiambia kwa Kila wiki lazima waletwe wagonjwa 7 mpka 10 wa figo na ini hapo muhimbili na wote ukiangalia ni vijana kuanzia 22-35
 
Kunywa Pombe siyo vibaya, kila mtu na raha zake. Lakini ulevi ni tabia mbaya sana inayotakiwa kupiga vita kwenye jamii.
 
Back
Top Bottom