Tetesi: Idadi ya wabunge kupunguzwa

Kuna haja gani ya kuwa na wabunge wengi ambao wakati wote wanasusia na kuzomea vikao utadhani wabeba lumbesa wa shimoni Kariakoo,wacha wapunguzwe hakuna kazi yoyote wanayofanya
Ila bora wanaosusia kuliko wale wa kusema ndiooo kwa kila kitu hata visivyo na tija kwa Taifa.
 
Wazenj wanajaza ukumbi ata hawasikiki ni wa kupunguzwa ata 2/3rd
 
Futa viti maalum, wabaki kama 20 tu nchi nzima kwa viti maalum, sasa hivi viti maalum wako jumla kama 105 kama sikosei, hawana majimbo, hawana ofisi, wako wako tu, ni mzigo mkubwa sana kwa serikali and so far hao viti maalum hawana na hawajaleta impact yoyote kwa jamii, almost wengi makarai tu, futa kabisa hawa.. I wish i could be JPM
 
wapunguze kadri itavyowezekana,. hakuna faida yoyote kama wabunge wenyewe ndio haoo kina msukuma, lusinde. wangeweka zuio pia kwa wabunge waliofoji au kutosoma A level
 
Ukitaka kupunguza idadi ya wabunge ni kufuta wabunge Wa viti maalumu tu
 
Ili kupunguza idadi ya wabunge inabidi sheria ibadilishwe kwanza. Na mpaka sasa hivi haijabadilika. Hivyo, si rahisi kuwapunguza kwa sasa.
 
Ukubwa wa baraza la mawaziri ni eneo lingine muhimu sana kuliangalia. Inafaa kuwa na serikali ndogo yenye mawaziri wasiozidi 20 ili kubana matumizi na kuongeza tija
Waende tu kwenye serikali ya majimbo
 
mwisho wa mkapa ni tajiri na anakula bata lushoto ,na tena katoa kitabu ,ila waliokufa pemba kawapa pole ukiacha wa mwembechai,CCM MBELE KWA MBELE ......This is a jungle ,the rule is Jungle law(The strong survive ,the weak eaten)
 
Ni sahihi, wabunge wa viti maalum waondolewe kabisa, na wawe replaced na wabunge wachache wa makundi maalum, mfano vijana, watoto na walemavu.
 
Kila mkoa unastaili kutowa wabunge wa 6 tu wabunge ni wengi sana wengi awana faida yoyote wamekalia upumbaavu tu na kupendekeza mambo ya kipuuzi
 
Ukitaka kupunguza matumizi ya serikali ondoa wakuu wa mikoa wilaya wote hawanakazi wamebaki kuchonganisha watu nakujidai mikoa wilaya ni Mali zao binafisi futa kwanza hao wakatafute kazi zakufanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…