Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,409
- 13,262
Mimi naunga mkono idadi ipungue kila wilaya iwe na mbunge mmoja tu. Dar ina wilaya tano lakini ina wabunge 9 hao 4 waliozidi ni hasara tupu na hakuna tija yoyote tuliyo ipata kwa kuongeza wingi wa wabunge. Viti maalumu pia vufutwe watu wagombee majimboni. Huu ujinga wa kugawa wilaya eti mashariki na magharibi au kusini na kaskazini ni ujinga mtupu! Mbona mkuu wa wilaya anakuwa mmoja wilaya nzima na mambo yanakwenda? Hao waliozidi ni wa kuchota na kutupilia nje!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app