Katika kile kinachosemekana kuwa ni mwendelezo wa kuwa na idadi ndogo ya wabunge ,itakayokuwa rahisi kuisimamia , inasemekana kuna jambo lipo jikoni kuja kama pendekeza laku merge majimbo ili idadi ya wabunge ipungue ikibidi bunge liwe na idadi isiyozid wabunge 200.
Kumbuka Kwa Sasa wabunge ni 300+.
Ikumbukwe kuwa Serikal ya awamu ya tano tayari kupitia kamati zake kuu na halimashauri kuu yaan NEC ,imekwisha punguza idadi ya wajumbe Kwa idadi kubwa.
Hii pia itatumika kama jaribio la kuzima wingu Wa wabunge Wa upinzan kwenye uchaguzi mkuu.
Mfano mnyika anaweza jimbo lake likaunganishwa na jimbo lenye ushwishi mkubwa Wa CCM,ili jumla ya Kura zimtoe.
Hapa kutakua na mtego mkubwa sana ,Na majimbo yatakayolengwa ni yaliyo na upinzan mkali
Jiwe akifanya hayo,hata akitawala milele poa tu,apunguze idadi ya mikoa,wilaya,wabunge ni wengi sana,hakuna uhusiano wa maendeleo na kuwa na mbunge,
Wabunge wawe 100 tu,wizara zipungue idadi,vyeo na idara zipungue katika utumishi wa umma,taasisi za umma zipungue,kuna haja gani kuwa na Tarura,wakati Tanroads ipo,?
Hayo mapesa,yapelekwe kukopesha vijana wasome elimu ya juu,wawezeshwe waende huko duniani wakatengeneze pesa,kama hakuna bidhaa za kuuza nje,basi tuuze wasomi wetu,wahandisi,madakitari,tuwe kama India,wamejaa kibao US,kwenye sekta za IT,na udakitali.
Wabunge 75 wanatosha,wilaya zipungue,Zamani dar ilikuwa,Kinondoni,Ilala,na Temeke,Leo tunaambiwa kuna Ubungo na Kibamba!!!kilichoongezeka hapa ni idadi ya watu,sio eneo LA kijiografia,sasa kwanini kuongeza gharama ya uendeshaji,
Sent using
Jamii Forums mobile app