Tetesi: Idadi ya wabunge kupunguzwa

Tetesi: Idadi ya wabunge kupunguzwa

Ndo ivo. Kila wilaya mbunge mmoja, isipokuwa kwa wilaya za Dar ambapo population density ni kubwa.
 
Waige muundo wa usa, kila mkoa utoe senetors wawili. Tuwe na bunge la senate,Lakini sisi tusiwe na house of representative. Idadi ya mikoa x2 inakuwa idadi ya wabunge.
 
Katika kile kinachosemekana kuwa ni mwendelezo Wa Kua na idadi ndogo ya wabunge ,itakayokuwa rahisi kuisimamia , inasemekana kuna jambo lipo jikon kuja kama pendekeza laku merge majimbo ili idadi ya wabunge ipungue ikibidi bunge liwe na idadi isiyozid wabunge 200.
Kumbuka Kwa Sasa wabunge ni 300+.
Ikumbukwe kuwa serikal ya awamu ya tano tayar kupitia kamati zake kuu na halimashauri kuu yaan NEC ,imekwisha punguza idadi ya wajumbe Kwa idadi kubwa.
Hii pia itatumika kama jaribio la kuzima wingu Wa wabunge Wa upinzan kwenye uchaguzi mkuu.
Mfano mnyika anaweza jimbo lake likaunganishwa na jimbo lenye ushwishi mkubwa Wa CCM,ili jumla ya Kura zimtoe.
Hapa kutakua na mtego mkubwa sana ,Na majimbo yatakayolengwa ni yaliyo na upinzan mkali
Kwa Bunge la KIJANI hilo halishindikani.
 
Katika kile kinachosemekana kuwa ni mwendelezo Wa Kua na idadi ndogo ya wabunge ,itakayokuwa rahisi kuisimamia , inasemekana kuna jambo lipo jikon kuja kama pendekeza laku merge majimbo ili idadi ya wabunge ipungue ikibidi bunge liwe na idadi isiyozid wabunge 200.
Kumbuka Kwa Sasa wabunge ni 300+.
Ikumbukwe kuwa serikal ya awamu ya tano tayar kupitia kamati zake kuu na halimashauri kuu yaan NEC ,imekwisha punguza idadi ya wajumbe Kwa idadi kubwa.
Hii pia itatumika kama jaribio la kuzima wingu Wa wabunge Wa upinzan kwenye uchaguzi mkuu.
Mfano mnyika anaweza jimbo lake likaunganishwa na jimbo lenye ushwishi mkubwa Wa CCM,ili jumla ya Kura zimtoe.
Hapa kutakua na mtego mkubwa sana ,Na majimbo yatakayolengwa ni yaliyo na upinzan mkali
Kwa sasa ccm hata Dodoma inachukiwa hivyo hakuna sehemu ina ushawishi tena zaidi ya wabeba virungu tu

In God we Trust
 
Umenena ya kweli kabisa mkuuu
Wafanye yoote wapendayo ila CCM itambue kuwa kuna MWISHO!!

Magufuli ajifurahishe apendavyo ila atambue kuwa “YANA MWISHO”

Hakuna aliyewahi waza Sumaye na Lowassa Leo watakua upinzani!! Hawa watu Magu hawezi zifikia kariba zao hata robo lakini Leo tunaongea lugha moja!!

Muda ndiye hakimu wa yote!!

Nakumbuka riwaya pendwa ya KULI “lakini yana mwisho”


Sent using Jamii Forums mobile app

In God we Trust
 
Wewe endelea kumlea mwana wa kichina tu ndiyo kazi unayo iweza
Ujiitavyo hauendani na uandishi

Hayo maneno ndio umekoroga kuonyesha mada yako imejaa porojo asilimia kubwa au niseme yote.
Mjifunze kuandika na sio kudanganya

In God we Trust
 
Wazo la kupunguza idadi ya wabunge si wazo baya; litaokoa fedha nyingi na labda linaweza kulazimisha mabadiliko ya utendaji wa Bunge hilo. Jambo la kwanza ni kuondoa wabunge wa viti maalum. Hawana wanayemwakilisha ambaye hawakilishwi na mbunge wa jimbo.
Pia waondoe na wabunge wa kutoka jimbo la ikulu pia itapendeza

In God we Trust
 
Wana ccm walifanya kosa kubwa sana kumkabidhi rungu huyo mtu
Hawa hawa ndiyo wanaongeza mikoa kila kukicha matokeo yake kuongeza majimbo na hivyo idadi ya Wabunge.

Kutokana na kupungua kwa kiasi kikubwa kwa makusanyo ya kodi na baadhi ya nchi za wafadhili kusimamisha misaada yao serikali inaanza mikakati na kupunguza wabunge, haitoshi tu kupumguza wabunge ili kukabiliana na hizi issues mbili bali pia fagio la chuma serikalini halikwepeki kwa at least 25% or higher.

Matokeo ya kumsukumizia kichaa Ikulu.

In God we Trust
 
Ukubwa wa baraza la mawaziri ni eneo lingine muhimu sana kuliangalia. Inafaa kuwa na serikali ndogo yenye mawaziri wasiozidi 20 ili kubana matumizi na kuongeza tija
wabunge viti maalum tu wanatosha kufikisha hiyo idadi wanayotaka
 
Kuna waziri anaundiwa wizara kila mwaka ili mradi aendelee kuwepo kwenye serikali hii
Ukubwa wa baraza la mawaziri ni eneo lingine muhimu sana kuliangalia. Inafaa kuwa na serikali ndogo yenye mawaziri wasiozidi 20 ili kubana matumizi na kuongeza tija

In God we Trust
 
Ikiwezekana tuunganishe mihimili yote, au tuanze na bunge, liunganishwe na ule mhimili uliojichimbia zaidi
 
Viti maalum ni mtego flan kwa mtawala hawezi kuviondoa bila shinikizo flan kutoka maala flan
Mabeberu wakiamua wanaweza tu kuishinikiza serikali

In God we Trust
 
Back
Top Bottom