Wazo ni zuri vipi ma DC na ma RC hawa hawana faida yoyote kazi zao imepitwa na wakati, au niseme hazipo ni sawa sawa na kuajiri copy typist kwa wakati huu. Kwenye nch nyingi duniani kama siyo zote kazi zao zinafanya na wabunge. Kwa ufupi inaonekana hawana kazi kabisa wakammaliza kodi zetu bure ndiyo maana inawabidi waingilie kazi za watu hawana cha kufanyaWazo la kupunguza idadi ya wabunge si wazo baya; litaokoa fedha nyingi na labda linaweza kulazimisha mabadiliko ya utendaji wa Bunge hilo. Jambo la kwanza ni kuondoa wabunge wa viti maalum. Hawana wanayemwakilisha ambaye hawakilishwi na mbunge wa jimbo.
Sent using Jamii Forums mobile app