Tetesi: Idadi ya wabunge kupunguzwa

Tetesi: Idadi ya wabunge kupunguzwa

Wazo la kupunguza idadi ya wabunge si wazo baya; litaokoa fedha nyingi na labda linaweza kulazimisha mabadiliko ya utendaji wa Bunge hilo. Jambo la kwanza ni kuondoa wabunge wa viti maalum. Hawana wanayemwakilisha ambaye hawakilishwi na mbunge wa jimbo.
Jmbo la pili, ni kutenganisha uwaziri na ubunge, waziri asiwe mbunge ili bunge liweze kuwa huru kwa kiasi kinacho takiwa!!!
 
Wapunguze yote na yabaki ya ccm tu,na wabaki ccm tu bungeni kama ilivyo zanzibar kwani kule kuna tatizo angalia palivyotulia Shein anaongoza vema sana na sasa watu wanakula milo 3 na nadhani hata kilo ya nyama ni elfu 2,kilo ya sukari labda ni mia 5

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani angejua kwamba comrade Mugabe angewahi kwenye foleni asubui kuwapigia kura wapinzani,a wise man learns from his own mistake but a wiser one learns from other people's mistakes, huyu mtu yuko kwa ajili ya maslahi yake binafsi ila Mungu atamwaibisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wabunge wapungue tu, maana wako wengi halafu hawafanyi kitu cha maana sana zaidi ya kulamba posho tu na kuunga mkono hoja: Wabunge wachache ni rahisi sana kuwashughulikia, kuanzia kwenye chaguzi.
Wabunge wa CCM ndo watamalizana wenyewe , alie Mbunge sasa ambae hatapitishwa atafanya hujuma kwa aliepitishwa , hapo ndo CCM itaporomoka kabisa
 
Tunatakiwa kuwa na vipaumbele kama nchi - mambo bado hayako sawa - fikiri haya:-
(i). Wakati tumeanza awamu ya tano wakurugenzi wapya walioteuliwa walikuwa takribani 125 - hii inamaanisha kwamba 125 walioondolewa mishahara yao ilibaki kuwa hivyo hivyo (Mfano iwapo kila DED alilipwa tshs 3,900,000/= X 125 = 487,500,000/= kwa tafsiri ya haraka ni kwamba Serikali iliendelea kuwalipa mshahara usiopunguwa tshs 475,000,000/= kwa mwezi ambazo ni sawa na tshs 5,850,000,000/= Bilioni kwa mwaka. Lakini pia tukumbuke kwamba hata hao wateule wanalipwa kiasi hicho cha fedha kwa kila mwezi na mwaka. SASA KUPUNGUZA IDADI YA WABUNGE WAKATI HUKU TUMBUA TUMBUA IKISHIKA KASI BADO UFANISI UTAKUWA MDOGO - USHAURI:- SHERIA IPITISHWE ILI KIONGOZI AKITUMBULIWA NA MSHAHARA WAKE UPUNGUZWE KWENDA KIWANGO CHA TAALUMA YAKE.

(ii). Makatibu Tawala wa Wilaya;- wapya walikuwa takribani 70% ya idadi yote sasa bado hao nao walioondolewa wameendelea kulipwa fedha za Mshahara kwa kiwango cha LLS (kwa ufupi ni kuwa wanakula mshahara usiendena na nafasi wanazotumikia na kuliingizia taifa hasara) - Mamlaka zione kuwa walipa kodi wanatakiwa kugharamia matumizi yenye tija tu;

(iii). Wakuu wa Idara, Taasisi na Kurugenzi za Serikali - kote huku Serikali ifanye mapitio kwa kuwa waliotumbuliwa wengi wao wanakula LLS (hii ni kuwa nafasi moja ya Mkurugenzi inalipiwa mishahara miwili - mmoja wa mkurugenzi aliyepo na mwingine mkurugenzi aliyetumbuliwa)

HITIMISHO:
KABLA HATUJAENDA BUNGENI TUNGEANZA NA Maeneo niliyotaja (i -iii) ili taifa lisiendelee kuwa na wagebill kubwa inayohusisha watu wasiotumikia nafasi zinazowalipa mishahara.
 
nafikiri wangeanza kuwaondoa wabunge wa viti maalum na wale wa kuteuliwa na Rais
 
Kupunguza pia wingi wa wilaya na mikoa na hivyo kupunguza wakuu wa wilaya na mikoa. Gavana anaweza kupewa mikoa minne hadi mitano hivyo wakabaki wanne au watano na futa wakuu wilaya wapotee kabisa.

Ukubwa wa baraza la mawaziri ni eneo lingine muhimu sana kuliangalia. Inafaa kuwa na serikali ndogo yenye mawaziri wasiozidi 20 ili kubana matumizi na kuongeza tija
 
Wazo la kupunguza idadi ya wabunge si wazo baya; litaokoa fedha nyingi na labda linaweza kulazimisha mabadiliko ya utendaji wa Bunge hilo. Jambo la kwanza ni kuondoa wabunge wa viti maalum. Hawana wanayemwakilisha ambaye hawakilishwi na mbunge wa jimbo.
Kila wilaya au halmashauri ibaki kuwa jimbo naamini itakuwa na tija na kila mtu atakuwa na uwakilishi wa kutosha.
 
Wazo la kupunguza idadi ya wabunge si wazo baya; litaokoa fedha nyingi na labda linaweza kulazimisha mabadiliko ya utendaji wa Bunge hilo. Jambo la kwanza ni kuondoa wabunge wa viti maalum. Hawana wanayemwakilisha ambaye hawakilishwi na mbunge wa jimbo.

Kama kweli wazo hili lipo, ni wazo linalotakiwa kupongezwa sana. tukichukulia kwa mfano tukampunguza wabunge 100, serikali inaweza kuokoa 1.2bilioni kila mwezi, pesa ambayo inaweza kupelekwa kwenye halmashauri kwa ajili ya kusaidia miundombinu, elimu na Afya.

Naunga mkono kuondokana na viti maalumu isipokuwa kwa makundi maalumu kama ya walemavu
 
W
nafikiri wangeanza kuwaondoa wabunge wa viti maalum na wale wa kuteuliwa na Rais
Wateule wa Rais haiwezekani kulingana na sheria inayomtaka Wazir shart awe mbunge.
 
Tanzania haina haja ya kuwa na wabunge wengi, kila mkoa uwe na mbunge mmoja tu.

Mawaziri wasitokee bungeni. Wakishateuliwa waingie bungeni kama wabunge wa kuteuliwa na si wabunge wa kuchaguliwa.
 
Nashauri wilaya moja mbunge mmoja,viti maalum futa vyote ujinga mtupu kwanza vinachangia na uzinzi bungeni.
 
W
Wateule wa Rais haiwezekani kulingana na sheria inayomtaka Wazir shart awe mbunge.
sheria inaweza kubadilishwa ili kuendana na mahitaji ya wakati huo
 
Katika kile kinachosemekana kuwa ni mwendelezo wa kuwa na idadi ndogo ya wabunge ,itakayokuwa rahisi kuisimamia , inasemekana kuna jambo lipo jikoni kuja kama pendekeza laku merge majimbo ili idadi ya wabunge ipungue ikibidi bunge liwe na idadi isiyozid wabunge 200.
Kumbuka Kwa Sasa wabunge ni 300+.

Ikumbukwe kuwa Serikal ya awamu ya tano tayari kupitia kamati zake kuu na halimashauri kuu yaan NEC ,imekwisha punguza idadi ya wajumbe Kwa idadi kubwa.

Hii pia itatumika kama jaribio la kuzima wingu Wa wabunge Wa upinzan kwenye uchaguzi mkuu.

Mfano mnyika anaweza jimbo lake likaunganishwa na jimbo lenye ushwishi mkubwa Wa CCM,ili jumla ya Kura zimtoe.

Hapa kutakua na mtego mkubwa sana ,Na majimbo yatakayolengwa ni yaliyo na upinzan mkali
Hata waunganishe vipi bado ccm.wananhi wameshaamua kuikataa.
 
Waanze kuwaondoa wanaoitwa "Wabunge wa viti maalum" inamaana wanawakilisha viti maalum au wananchi? Watolewe kwakuwa hakuna wanaowawakilisha.

Pili kusiwepo na wakuu wa wilaya as long as kuna Wabunge, Wakurugenzi watendaji na pia kuna makatibu tawala mkoa na wakuu wa mikoa pia.

Utumiaji mbaya wa pesa za walipa kodi kulipa mishahara.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu wa wilaya waondolewe hawana umuhimu wowote katika nchi hii.

Kwa kuwa mkuu wa mkoa yupo, Katibu tawala na mkurugenzi wapo, Wakuu wa wilaya wa nini??
 
Katika kile kinachosemekana kuwa ni mwendelezo wa kuwa na idadi ndogo ya wabunge ,itakayokuwa rahisi kuisimamia , inasemekana kuna jambo lipo jikoni kuja kama pendekeza laku merge majimbo ili idadi ya wabunge ipungue ikibidi bunge liwe na idadi isiyozid wabunge 200.
Kumbuka Kwa Sasa wabunge ni 300+.

Ikumbukwe kuwa Serikal ya awamu ya tano tayari kupitia kamati zake kuu na halimashauri kuu yaan NEC ,imekwisha punguza idadi ya wajumbe Kwa idadi kubwa.

Hii pia itatumika kama jaribio la kuzima wingu Wa wabunge Wa upinzan kwenye uchaguzi mkuu.

Mfano mnyika anaweza jimbo lake likaunganishwa na jimbo lenye ushwishi mkubwa Wa CCM,ili jumla ya Kura zimtoe.

Hapa kutakua na mtego mkubwa sana ,Na majimbo yatakayolengwa ni yaliyo na upinzan mkali
Naunga mkono hoja!

Wabunge wenyewe ni matumbo oriented, si chama tawala wala upinzani, hata wakiwepo wabunge wa kanda, mfano kanda ya kusin mbunge mmoja, kanda ya kaskazin mbunge mmoja, na kanda zingne vilevile, kama kanda ya Kati, kanda ya ziwa, kanda ya magharib, kanda ya pwani etc .
Kwa vile tuko kwenye Sera ya "kuokoa fedha" hapa tutakuwa tumekoa sana!
Wabunge wengi miaka minne wanakaa Dar , wakati majimbo yao hayapo Dar. Halafu mwaka wa mwisho (tano) wanarudi kuwalaghai wananchi ili wapate ubunge, na waende tena Dar!

Maana ya kuwa na mbunge inapotea kabisa .


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtandao wa Lowassa ndio ulituletea katiba pendekezwa lkn huyo huyo Lowassa Leo anaitamani katiba ya Warioba! Ni vizuri Magufuli ajifunze.


Sent using Jamii Forums mobile app
Una pointi kubwa sana, wakaiwa madarakani hawaoni hasara za matendo yao, lakini Mungu ni Mwema Lowasa anayoshwa vikali.
 
Naunga mkono hoja!

Wabunge wenyewe ni matumbo oriented, si chama tawala wala upinzani, hata wakiwepo wabunge wa kanda, mfano kanda ya kusin mbunge mmoja, kanda ya kaskazin mbunge mmoja, na kanda zingne vilevile, kama kanda ya Kati, kanda ya ziwa, kanda ya magharib, kanda ya pwani etc .
Kwa vile tuko kwenye Sera ya "kuokoa fedha" hapa tutakuwa tumekoa sana!
Wabunge wengi miaka minne wanakaa Dar , wakati majimbo yao hayapo Dar. Halafu mwaka wa mwisho (tano) wanarudi kuwalaghai wananchi ili wapate ubunge, na waende tena Dar!

Maana ya kuwa na mbunge inapotea kabisa .


Sent using Jamii Forums mobile app
kama Hoja ni kuokoa matumizi ya fedha basi siungi mkono, maana mpaka sasa Utawala huu unaongoza kwa kufuja mali.
 
Wazo la kupunguza idadi ya wabunge si wazo baya; litaokoa fedha nyingi na labda linaweza kulazimisha mabadiliko ya utendaji wa Bunge hilo. Jambo la kwanza ni kuondoa wabunge wa viti maalum. Hawana wanayemwakilisha ambaye hawakilishwi na mbunge wa jimbo.

Ni vema namba kubwa yenye kuleta tu vurugu badala ya kutuwakilisha
 
Wabunge wa CCM ndo watamalizana wenyewe , alie Mbunge sasa ambae hatapitishwa atafanya hujuma kwa aliepitishwa , hapo ndo CCM itaporomoka kabisa
Hata wabunge wa upinzani nao ni matumbo mbele, utaifa nyuma. Wabunge wapunguzwe tu, maana hakuna namna.
 
Back
Top Bottom