Hatua kubwa ya kuzaluana2010: 1.6 Billion
2023: 2.01 Billion
Ni hatua kubwa sana ndani ya miaka 13
Katika Quran tukufu sura ya 5:3 Allah kuchagua uislamu kama dini sahihi na anaapa kuilinda.".........leo ni mekamilisha dini yenu na kutimizeni neema yangu na ni meependeleeni Uislamu kua Dini yenu..........." Quran tukufu sio maneno yetu ndo Mungu alio tuchagulia hiyo dini.
🤣🤣Jibu swali basi we MFIA DINI.
Hao maadui ni kama kina nani?Wanasema kufika 2050 uislamu ndo dini itakao kua na wa fuasi wengi bara la Ulaya okiongozwa na Uingereza ufaransa na ujerumini, tunaomba Mungu atufikheshe miako hiyo tushuhudia ushidi wa Uislamu licha cha kua na mandui wasio kua na sabb za chuki yao dhidi ya uislamu.
Njia mnazo tumia kupotosha ni mbaya waislama husoma kitabu hicho mara tano kwa siku nionyeshe hayo maandishi hapa chiniJE ANAYESEMA ATAWAZAA HAPA DUNIANI NA KUWAPOTEZA WOTE NI NANI??????
Quran 15:39.
Akasema :mola wangu mlezi! Ilivyokuwa imenitia makosani, basi na haikisha nitawazaini hapa Duniani na nitawapoteza wote.
HUYU ANAYESEMA ATATUZAENI WAISLAMU NA KUTUPOTEZA WOTE NI NANI????
Wengi wasio penda ushindi wa hi Dini wakiwemo washirikina na mashoga.Hao maadui ni kama kina nani?
Sensa ya 1958 waislam walikua 66%,waliobaki wapagani na wakiristo,sensa waliyofanya mashemasi ndani ya serikali huru 1968 waislam wakawa 35%,mashemasi walipopeleka hizo takwimu duniani wakaulizwa ikiwa waislam wa tz wanekumbwa na mafuriko wakafa au ugonjwa maalum uliowaua wao tu, mashemasi wakarudi vichwa chini kwa aibu,tangu hapo kipengele Cha dini kwenye sensa kikatolewa,mrema alipokua akigombea urais 1995 si Mara moja alisema waislam wapo zaidi ya 55%,mtei alisema lipumba akitumia vizuri dini yake anashinda urais,wakati pinda alipokua Waziri mkuu,ofisi ya Waziri mkuu ilitoa kalenda inayoonesha waislam ni 35% Kama ulivyosema,ilizua zogo toka kwa kina ponda,sensa ya 2012 sheikh ponda na wenzake wakataka kiwekwe kipengele Cha dini kwenye sensa la sivyo waislam hawatoshiriki,Cha ajabu miongoni mwa walioponga Hilo ni akina kadinali pengoAfu Tanzania ni 35%
andiko gani hilo la asalina maziwa(jibu ) maana mi ninavyojua kule ni roho tu bila mwili ni kusifu mileleSi unaona chuki hizo mbona nyie mnapo ambiwa mtapewa asari na maziwa bila kuepo na ngombe kule na nyuki mbona ushangai.....jinga kabisa
Wanaisoma quran kimazoea kama biblia, wanaleta aya nusu zenye ujumbe nusu kujaribu kupoteza ukweli
haya maneno alikua anaongea naniKatika Quran tukufu sura ya 5:3 Allah kuchagua uislamu kama dini sahihi na anaapa kuilinda.".........leo ni mekamilisha dini yenu na kutimizeni neema yangu na ni meependeleeni Uislamu kua Dini yenu..........." Quran tukufu sio maneno yetu ndo Mungu alio tuchagulia hiyo dini.
Hidadi ya Waislamu Tanzania hiyo inajulikana tu, kwamba ndo majority tena sio simple majority tu, hi suala hili wengi wapiga kelele hawataki kilisikia, na kila siku waislamu wana ongezaka, na mji ambao haijawahi kua ya waislamu waislamu wameongezeka kama Mwanza. Arusha, Mbeya Babat nk hidadi ya waumini wa Islamu na misikiti mjini inaogezeka kwa kasi, ishara ya kuonyesha ukyaji wa uislamu nchini Tz.Sensa ya 1958 waislam walikua 66%,waliobaki wapagani na wakiristo,sensa waliyofanya mashemasi ndani ya serikali huru 1968 waislam wakawa 35%,mashemasi walipopeleka hizo takwimu duniani wakaulizwa ikiwa waislam wa tz wanekumbwa na mafuriko wakafa au ugonjwa maalum uliowaua wao tu, mashemasi wakarudi vichwa chini kwa aibu,tangu hapo kipengele Cha dini kwenye sensa kikatolewa,mrema alipokua akigombea urais 1995 si Mara moja alisema waislam wapo zaidi ya 55%,mtei alisema lipumba akitumia vizuri dini yake anashinda urais,wakati pinda alipokua Waziri mkuu,ofisi ya Waziri mkuu ilitoa kalenda inayoonesha waislam ni 35% Kama ulivyosema,ilizua zogo toka kwa kina ponda,sensa ya 2012 sheikh ponda na wenzake wakataka kiwekwe kipengele Cha dini kwenye sensa la sivyo waislam hawatoshiriki,Cha ajabu miongoni mwa walioponga Hilo ni akina kadinali pengo
Kajitoe mhangaUnapinga na takwimu hiyo ndio kazi yako na wenzio
Kwani Quran ni maneno ya nini? Wewe ni mjinga?haya maneno alikua anaongea nani
izi data na twakwimu umezitoa wapi?Wa Catholic hawajafika 2B mzee wakotholic wapo kwenye 1.3B+na ushee na wakristo wote kwa ujumla madhehebu yote duniani wapo 2.2B+
Uislam unakua kwa kasi wa Catholic peke yake hawafikii idadi ya waislam jumlisha madhehebu yote ya wakristo ndo wanawazidi kidogo waislam
Kiswahili hujui,kuzaini ni kuzaa!!?..HONGERENI SANA LAKINI ANAYESEMA ATAWAZAA HAPA DUNIANI NA KUWAPOTEZA WOTE NI NANI?
SHETANI AMEFANYA kazi KUBWA sana.
Quran 15:39.
Akasema :mola wangu mlezi! Ilivyokuwa imenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa Duniani na nitawapoteza wote.
HUYU ANAYESEMA ATATUZAENI WAISLAMU NA KUTUPOTEZA WOTE NI NANI????
JE SHETANI ATAWAPOTEZA WAISLAMU WOTE???
MSISITIZE MKUBWA NI NENO " WOTE"
kwahiyo hayo maneno muda huo alikua anaongea nani? jibu swali acha kukimbiakimbiaKwani Quran ni maneno ya nini? Wewe ni mjinga?
Zipo wazi ilitakiwa mimi nikushangae kuwa wewe unaishi dunia gani na haujui?h
izi data na twakwimu umezitoa wapi?
Mnapenda kuwa wengi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].View attachment 2615320
Kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu (UNFPA) na taasisi nyingine za utafiti, idadi ya Waislamu duniani inakadiriwa kufikia zaidi ya bilioni 2.
Kwa sababu ya kiwango cha juu cha uzazi na kasi ya kuenea kwa dini hiyo kwenye maeneo mengi duniani, inatarajiwa kuwa idadi ya Waislamu itaongezeka hadi kufikia bilioni 3.3 ifikapo mwaka 2060.
Sababu nyingine ya ukuaji wa Uislamu ni kuongezeka kwa idadi ya Waislamu wanaoongoka kutoka dini nyingine, pamoja na idadi kubwa ya Waislamu wanaozaliwa.
Aidha, kuenea kwa kiwango cha juu cha teknolojia na mawasiliano ya kijamii yamekuwa na athari kubwa katika kuenea kwa dini hiyo, kwani inakuwa rahisi kwa watu kufikia na kusambaza ujumbe wa Kiislamu kote duniani.
View attachment 2615321
Mwenyezimungu tunakuomba uwape baraka wote wanao fanikisha kuenea kwa hiu dini yako tukufu, vilevile waongoze wote ambao hawapo kwenye uislamu waweze kuingia kwenye dini hii ya haki. Aamin [emoji1317][emoji2969][emoji2969]