inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Hakuna dini inayozizidizamani nilizadhani zenyewe ndio zina watu wengi zaidi kumbe kuna wababe wao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna dini inayozizidizamani nilizadhani zenyewe ndio zina watu wengi zaidi kumbe kuna wababe wao
Hongera,unajitahidi...natumai huli Bure,yaani una kazi ya kukuingizia kipato,Kama huna pita pita makanisani waoneshe kazi yako hiiMUHAMMAD ALIKUWA ANAVALIA MAVAZI YA KIKATOLIKI WAKATI WA KUSALI : SWALI ANAYEVAA VAZI LA KIKATOLIKI ANAITWA MKATOLIKI AMA MWISLAMU?
Ilisimuliwa Na 'Ubadah bin Samit alisema:
“Mtume Muhammad s.a.w (tulimuona) akitoka kwetu siku moja, akiwa amevaa vazi la Kirumi [kikatoliki] la sufu na mikono nyembamba. Na Alituongoza katika maombi akiwa amevaa hilo, na si kitu kingine chochote. ”
حَدَّثَنَا مُحَمَّدُ بْنُ عُثْمَانَ بْنِ كَرَامَةَ، حَدَّثَنَا أَبُو أُسَامَةَ، حَدَّثَنَا الأَحْوَصُ بْنُ حَكِيمٍ، عَنْ خَالِدِ بْنِ مَعْدَانَ، عَنْ عُبَادَةَ بْنِ الصَّامِتِ، قَالَ خَرَجَ عَلَيْنَا رَسُولُ اللَّهِ ـ صلى الله عليه وسلم ـ ذَاتَ يَوْمٍ وَعَلَيْهِ جُبَّةٌ رُومِيَّةٌ مِنْ صُوفٍ ضَيِّقَةُ الْكُمَّيْنِ فَصَلَّى بِنَا فِيهَا لَيْسَ عَلَيْهِ شَىْءٌ غَيْرُهَا .
Sunnah kitabu cha 32 Juzuu ya 4, Hadithi 35
MUHAMMAD ALIRUDI KWA BABA YAKE WA IMANI PADRI WARAQA BIN NAUFAL MKATOLIKI KUENZI MAVAZI YA KATOLIKI AMBAYE ALIMWAMBIA JIBASHIRIE MWENYEWE KUWA WEWE NI MTUME WA UMMA HUU wakishirikiana na Mke Muhammad aitwaye Bibi Khadija
Huyu PADRI WARAQA BIN NAUFU NI MKRISTO KUTOKA ROMANI KATOLIKI USHAHIDI HUU CHINI SIKU WANAMPA UTUME MUHAMMAD MWENYEZI MUNGU ALIKUWA SHAHIDI TU KATIKA TUKIO HILO
Qur'an 4:79. Jema lilio kufikia limetokana na Mwenyezi Mungu. Na ovu lilio kusibu linatokana na nafsi yako. Nasi tumekutuma kwa watu uwe ni Mtume. Na Mwenyezi Mungu ni shahidi wa kutosha.
Qur'an 13:43. Na walio kufuru wanasema: Wewe hukutumwa. Sema: Mwenyezi Mungu anatosha kuwa shahidi baina yangu na nyinyi, na pia yule mwenye ilimu ya Kitabu.
Qur'an 36:3. Hakika wewe ni miongoni mwa walio tumwa.
HIZO JUU NDIYO KAULI ZA MKEWE MUHAMMAD AITWAYE KHADIJA NA PADRI WARAQA BIN NAUFAL MKATOLIKI
USHAHIDI WA HADITHI HUU HAPA MUHAMMAD ALIPEWA UTUME NA PADRI WARAQA BIN NAUFAL MKRISITO MKATOLIKI NA MKEWE KHADIJA NA BIBI KHADIJA NDIYE MWANADAMU WA KWANZA ULIMWENGUNI KUSILIMU KUWA MWISLAMU KISHA AKAFUATA ALI BIN TALIB
Amesimuliw na Aisha:
(mke wa Mtume) Kuanza (kwa Uvuvio wa Kimungu) kwa Mtume wa Allah kulikuwa katika hali ya ndoto za kweli katika usingizi wake, kwani hakuwahi kuwa na ndoto lakini ikawa kweli na wazi kama mwangaza wa mchana. Halafu akaanza kupenda kujitenga, kwa hivyo alikuwa akijitenga kwenye pango la Hira ambapo alikuwa akimwabudu Mwenyezi Mungu mfululizo kwa usiku mwingi kabla ya kurudi kwa familia yake kuchukua chakula cha lazima kwa ajili ya kukaa.
Alirudi kwa (mkewe) Khadija tena kuchukua chakula chake (vile vile chakula) vivyo hivyo, mpaka siku moja alipokea Mwongozo wakati alikuwa katika pango la Hira. Mtu Mmoja alimjia na kumwambia asome. Mtume alijibu, "Sijui kusoma." Mtume akaongeza, "Kisha Mtu Yule alinishika (kwa nguvu) na akanibana sana hadi nikahisi shida. Kisha akaniachia na akaniuliza tena nisome, nami nikajibu," Sijui kusoma.
" Hapo alinishika tena na kunibonyeza kwa mara ya pili mpaka nikahisi kuzimia. Kisha akaniachia na kuniuliza nisome, lakini tena nikamjibu.'Sijui kusoma.' Hapo alinishika kwa mara ya tatu na kunibana mpaka nikafadhaika, kisha akaniachia na kusema, 'Soma, kwa Jina la Bwana wako Ambaye ameumba (vyote vilivyopo), . Amemuumba binaadamu kwa tone la damu Na Mola wako ni Mkarimu zaidi. Ambaye amefundisha maandishi kwa kalamu, na amemfundisha mwanadamu yale asiyokuwa akiyajua. (Qur'an 96.1-5).
Kisha Mtume akarudi na hali hiyo na misuli kati ya shingo yake na mabega ilikuwa ikitetemeka mpaka alipomjia Khadija (mkewe) na kusema, "Nifunike " Alimfunika, na hali ya hofu ilipoisha, akamwambia Khadija, "Ewe Khadija! Kuna shida gani kwangu Mimi Muhammad ? Niliogopa kwamba kitu kibaya kimenipata na Najihofia nafsi yangu kuchezewa na mashetani na kuniharibu akili yangu na kunizuga! ."
Kisha akamwambia hadithi hiyo ilivyotokea pangoni. Khadija alisema, "Hapana! Bali pokea habari njema! Wallahi,Mimi Naona Umekwisha kuwa Mtume Wa Mwenyezi Mungu hatakufedhehesha kamwe, kwani kwa Mwenyezi Mungu unaweka uhusiano mzuri na jamaa na jamaa yako, unasema ukweli, unasaidia masikini na wanyonge, uwakaribishe wageni wako sana na uwasaidie wale waliopatwa na misiba. " Khadija kisha akampeleka kwa Waraqa bin Naufil, mtoto wa mjomba wa baba yake Khadija.
Huyu Padri Waraqa bin Naufal alikuwa amebadilisha Dini na kuingia katika Dini ya Kikristo kwa Muda Mrefu Sana katika Kipindi hicho cha Kabla ya Kuja Dini Mpya ya Uislamu na alikuwa akiandika Kiarabu na Alikuwa anaandika injili kwa Kiarabu vile vile Mwenyezi Mungu aliyotaka ayaandike. Alikuwa mzee na alikuwa amepoteza macho yake.
Khadija alisema (kwa Waraqa), "Ewe binamu yangu! Sikiliza nini mpwa wako Nini anataka kusema." Waraqa akasema, "Ewe mpwa wangu! Umeona nini?" Kisha Mtume akaelezea kila kitu alichokiona.
Waraqa alisema, "Huyu ndiye Malaika (Jibrili) yule aliyetumwa kwa Musa. Basi jibashirie Mwenyewe (Muhammad) Wewe Ni Mtume wa Umma huu.Laiti ningekuwa mchanga." Aliongeza taarifa nyingine. Mtume wa Mwenyezi Mungu aliuliza, "Je! Watu hawa watanifukuza?" Waraqa alisema, "Ndio, kwani hakuna mtu aliyeleta mfano kama huu ulioleta, lakini alitendewa kwa uadui. Ikiwa ningeendelea kuwa hai hadi siku yako unapoanza kuhubiri hii Dini yako Mpya ya Uislamu Basi ningekuunga mkono sana mpwa wangu.
" Lakini muda mfupi baadaye Padri Waraqa bin Naufal alikufa Ndipo Bibi Khadija Mke wa Mtume akawa ndiye Mtu wa Kwanza Ulimwenguni Kusilimu na hakutanguliwa na Mtu yeyote kisha Akafuata Ali bin Talib huyu alisilimu akiwa na Miaka kumi na Uvuvio wa Wahyi ulikatika(ulimamima) kwa muda baada ya Padri waraqa bin Naufal na Mtume wa Allah alihuzunika sana kwa Kufa Huyu padrie waraqa bin Naufal.
رواه عائشة: (زوجة الرسول) كانت بداية رسول الله صلى الله عليه وسلم أحلامًا حقيقية في نومه ، فلم يحلم قط بل صار حقيقيًا وواضحًا كالنهار. ثم بدأ في حب العزلة ، فكان ينعزل عن غار حراء حيث كان يعبد الله باستمرار لعدة ليال قبل أن يعود إلى أهله ليأخذ ما يلزمهم من طعام للإقامة. عاد إلى (زوجته) خديجة مرة أخرى ليأخذ طعامه (وكذلك طعامه) بنفس الطريقة ، حتى استلم ذات يوم المرشد وهو في غار حراء. جاءه شخص ما وقال له أن يقرأ. فأجاب الرسول: لا أعرف القراءة. وأضاف الرسول: ثم أمسكني الرجل (بعنف) وشدني حتى شعرت بالمتاعب ، ثم سمح لي بالذهاب وطلب مني القراءة مرة أخرى ، فقلت: لا أعرف كيف أقرأ. "ثم أمسك بي مرة أخرى وضغط علي مرة ثانية حتى شعرت بالإغماء. ثم سمح لي بالذهاب وطلب مني القراءة ، لكني أجبت مرة أخرى." لا أعرف كيف أقرأ ". هناك أمسك بي مرة ثالثة وأمسك بي حتى انزعجت ، ثم أطلقني وقال: اقرأ باسم ربك الذي خلق (كل ما هو) ، خلق الإنسان بقطعة قماش. اقرأ! والرب أكرم وقد علم الإنسان ما لم يعرفه (القرآن 96.1-5).
ثم عاد الرسول بالحالة واهتزت العضلات بين رقبته وكتفيه حتى جاء إلى خديجة (زوجته) وقال: غطني غطائها ، وعندما انتهت حالة الخوف ، قالت لخديجة. "يا خديجة! ما خطبتي يا محمد؟" كنت أخشى أن يحدث لي شيء سيء وكنت أخشى أن تتأخر روحي بسبب الشياطين وتدمر عقلي وتنام! ثم أخبرته قصة ما حدث في الكهف .. فقالت خديجة: لا! ولكن تلقي البشارة! والله أظنك صرت رسولا ولن يعلمك الله في الحال فالله يقيم علاقات طيبة مع أقاربك فتقول الحق وتساعد الفقراء والضعفاء وأنت مضياف جدا وتساعد الذين عانوا. المآسي. ثم أخذته خديجة إلى ورقة بن نوفيل ، ابن عم والد خديجة. كان هذا القس ورقة بن نوفل قد اعتنق المسيحية لفترة طويلة جدًا في عصر ما قبل الإسلام وكان يكتب باللغة العربية وكان يكتب الإنجيل باللغة العربية كما أراده الله أن يكتبها. كان قد تقدم في السن وفقد بصره. قالت خديجة (لورقة): "يا ابن عمي! اسمع ما يقول ابن أخيك ما يقول". قال ورقة: يا ابن أخي ما رأيت؟ ثم وصف النبي كل ما رآه.
قال ورقة: هذا هو الملاك (جبريل) الذي أرسل إلى موسى ، فتنبأ على نفسك (محمد). أنت رسول هذه الأمة ، لاني كنت طفلاً صغيراً. وأضاف بيانا آخر. قال رسول الله صلى الله عليه وسلم: هل يبعدني هؤلاء؟ قال ورقة: "نعم ، لأن أحداً لم يضرب مثالاً كهذا ، لكنه تصرف بعدائية. لو بقيت على قيد الحياة حتى يومك تبدأ في الدعوة إلى هذا الدين الجديد للإسلام ، فسأكون داعماً جداً لابن أخي". لكن خديجة زوجة الرسول صارت أول إنسان في العالم يعتنق الإسلام ولم يسبقه أحد.
Sahih al-Bukhari 4953 Juzuu Ya 6,kitabu Cha 60, Hadith 478
Ni kuwachakata tu wanawake wao.. ila wanawake wa kiarabu waliokimbilia nchi za ulaya ni watamu sana na hawana masharti ya kuchakatwa kama hao waliohamia nchi za afrika..Ningependa kufahamu faida mliyoipata baada ya waislamu kuongezeka
Dua hujaombewa ww mkuuOver My Deid Body,
THE BIBLE QUR'AN AND SCIENCE
1. BIBLE: sun does not move.
QUR'AN :sun moves
Science: QUR'AN is right.
2. BIBLE : earth is flat.
QUR'AN : earth is egg shaped.
Science : QUR'AN is right.
3. BIBLE: when rain falls it does not go up again.
QUR'AN: when rain falls it goes up again (talking about water cycle)
Science: QUR'AN is right.
4. BIBLE: all herbs are good to be eaten.
QUR'AN: no statement.
Science: some herbs are poisonous.
5. BIBLE: moon has light of its own .
QUR'AN: moon takes a reflected light.
Science QUR'AN is right.
6. QUR'AN: without mountains earth will shake violently with us.
BIBLE: no statement.
Science : QUR'AN is right.
Naomba mlipinge hili kwa ushahidi nyie magaratia.
Unawafahamu wazungu au unawasikia? Mzungu ganj atakaevumilia dini Ina masharti mengi kama ya mganga wa kienyeji? Watajiunga fresh, lakini baadaye watau modify na kutengeneza kitu Chao kiipya halafu ndio watakuwa wanatoa misaada ili kujua huo wa kiarabuGwajima alisema"Uislam unaingia kwa kasi sana Ulaya baada ya karne moja mbele Ulaya waislam watakua ni wengi kuliko dini zingine",ayo ni maneno yake Maalim Rashid Gwajima.
THE BIBLE QUR'AN AND SCIENCE
1. BIBLE: sun does not move.
QUR'AN :sun moves
Science: QUR'AN is right.
2. BIBLE : earth is flat.
QUR'AN : earth is egg shaped.
Science : QUR'AN is right.
3. BIBLE: when rain falls it does not go up again.
QUR'AN: when rain falls it goes up again (talking about water cycle)
Science: QUR'AN is right.
4. BIBLE: all herbs are good to be eaten.
QUR'AN: no statement.
Science: some herbs are poisonous.
5. BIBLE: moon has light of its own .
QUR'AN: moon takes a reflected light.
Science QUR'AN is right.
6. QUR'AN: without mountains earth will shake violently with us.
BIBLE: no statement.
Science : QUR'AN is right.
Naomba mlipinge hili kwa ushahidi nyie magaratia.
Kutakuja tokeo tabaka, dini huwa zinakuja na utamaduni. Litatengenezwa tabaka la liberal muslims ambao watapindisha na kuondoa utamaduni wa muarabu.Unawafahamu wazungu au unawasikia? Mzungu ganj atakaevumilia dini Ina masharti mengi kama ya mganga wa kienyeji? Watajiunga fresh, lakini baadaye watau modify na kutengeneza kitu Chao kiipya halafu ndio watakuwa wanatoa misaada ili kujua huo wa kiarabu
Ni hatari kwa usalama hasa ukizingatia magaidi wengi hutokea Uislamuni.View attachment 2615320
Kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu (UNFPA) na taasisi nyingine za utafiti, idadi ya Waislamu duniani inakadiriwa kufikia zaidi ya bilioni 2.
Kwa sababu ya kiwango cha juu cha uzazi na kasi ya kuenea kwa dini hiyo kwenye maeneo mengi duniani, inatarajiwa kuwa idadi ya Waislamu itaongezeka hadi kufikia bilioni 3.3 ifikapo mwaka 2060.
Sababu nyingine ya ukuaji wa Uislamu ni kuongezeka kwa idadi ya Waislamu wanaoongoka kutoka dini nyingine, pamoja na idadi kubwa ya Waislamu wanaozaliwa.
Aidha, kuenea kwa kiwango cha juu cha teknolojia na mawasiliano ya kijamii yamekuwa na athari kubwa katika kuenea kwa dini hiyo, kwani inakuwa rahisi kwa watu kufikia na kusambaza ujumbe wa Kiislamu kote duniani.
View attachment 2615321
Mwenyezimungu tunakuomba uwape baraka wote wanao fanikisha kuenea kwa hiu dini yako tukufu, vilevile waongoze wote ambao hawapo kwenye uislamu waweze kuingia kwenye dini hii ya haki. Aamin 🙏🏻🤲🤲
Wanasema kufika 2050 uislamu ndo dini itakao kua na wa fuasi wengi bara la Ulaya okiongozwa na Uingereza ufaransa na ujerumini, tunaomba Mungu atufikheshe miako hiyo tushuhudia ushidi wa Uislamu licha cha kua na mandui wasio kua na sabb za chuki yao dhidi ya uislamu.
Kwa hapo umejibu hoja ipi ? Confused animalANAANDIKA. Jack willpower.
Utakuta shekhe/ustadhi/kijana wa kislamu amevimba mishipa ya shingo akiisifia Quran kuwa ni kitabu cha pekee kilichotunzwa toka karne ya 7, kwamba kina mambo ya sayansi toka karne hiyo na kimetukuka. Hapo wakifikiri karne ya 7 ni mbali sana.
Ngoja niwape shule kidogo; unajua hiyo karne ya 7 imetokanaje?
Basi tambua leo kuwa huo ni mpangilio wa miaka ya Wakristo toka kuzaliwa Kristo. Karne ya 7 ni miaka 600 toka kuzaliwa Kristo. Ndio maana inaandikwa 600 B.K (Baada ya Kristo) ama AD kwa English. Hivyo ni hesabu za Wakristo toka Bwana wao alipozaliwa. Hivyo msije fikiri ni mbali sana hiyo karne ya 7. Muelewe tu kuwa nyuma ya kuzaliwa Kristo kulikuwa na maelfu ya miaka. Na toka kuzaliwa kwake hadi sasa ni miaka 2000 imepita.
Hivyo basi Uislamu na Muhamad na Quran ni wageni tu hapo nyuma. Walikuta tayari kuna dini, serikali, maarifa na sayansi. Hata ukisikia islamic golden age ni wakati wa utawala wa Ukhalifa wa Abasia mnamo karne ya 8 baada ya Kristo. Hawa walichota mengi kwa Wakristo, Wagiriki, Warumi na Wayahudi na kuyaweka pamoja hapo Baghdad. Na wakati huo ndio hadithi za Muhamad ziliandikwa kwa 90%. Huu wakati ndio unaitwa wakati wa dhahabu na maarifa kwa Waislamu, je ni maarifa kutoka wapi? Ni kwa wageni na si Waarabu.
Hivyo hata aina za majengo ambayo leo wanayaita msikiti ni muigo wa ujenzi wa Byzentine (Warumi/Wagiriki) na Wayahudi. Maana Muhamad hakukuta majengo katika bara Arabu zaidi ya alkaaba, sababu Waarabu waliishi kwenye mahema ama vijengo vya tembe kama vile vya Wagogo na Wanyaturu. Na hadi anakufa Waislamu hawakumiliki majengo ya kisasa na maburuji, na zaidi hawakuwa na maendeleo ya kisayansi na tekinolojia zaidi ya kuteka na kupora maeneo ya wenzao kwa upanga.
Wakati wa Khalifa Ally (khalifa wa 4 baada ya Muhamad) ndio alihamia Basra Iraq, huko ndipo wakakuta majengo na maendeleo makubwa yaliyoundwa na Wakaldayo, Wapersia, Wagiriki. Na baada ya kufa kwake (kwa kuuliwa na waislamu wenzake) ndipo familia ya kisuni ya Umayah (iliyomuua) ikaunda ukhalifa wa kifalme na kuweka ngome yao Siria iliyokuwa imejengwa na Wakristo wa Orthodoksi. Sababu ya uzuri wa Siria (Shamu) walionelea waweke ngome yao hapo. Hivyo wakabadilisha majengo ya kuabudia wakristo (aka makanisa) kuwa misikiti yakiwemo masinagogi ya Wayahudi. Na wakachukua wanasayansi na wabunifu wa Byzentine (orthodoksi) ili kuwajengea majengo kwa mithili ya majengo ya Konstantinopoli. Mfano hilo shubaka (dome) si aina ya ujenzi wa Kislamu bali kiothodoksi ambao waislamu waliomba kujengewa, maana walikuwa washamba sana (wafuga Ngamia). Hata alama nyingi katika uislamu ziliundwa wakati wa utawala wa ukhalifa wa Umayah, aliyekopa alama kibao toka kwa Waorthodoksi, Wagiriki na Warumi na kuzifanya alama za Uislamu. Mfano nyota ya pembe sita (octagon) ambayo inajulikana kama alama ya Uislamu, ni ukopaji tu.
Hivyo Uislamu ni dini iliyoundwa undwa kwa ukorombwezo wa ukopaji kutoka katika dini zilizotangulia (Wayahudi, Wakristo na Upagani). Hata hoja za kisayansi ndani ya Quran ni uzushi mtupu. Maana kama wangekuwa wajuzi wa sayansi basi leo Arabuni ingekuwa mbele kwa tekinolojia, ila ndio wapo nyuma, na kwa 99% mambo ya kitekinolojia wanafanyiwa na wazungu.
Waislamu muelewe tu sayansi na tekinolojia zilikuwepo hata kabla ya Quran. Mjiulize Nuhu aliwezaje kujenga meli kubwa kama ile (Safina)? Mjiulize Nimrod aliwezaje kujenga Mnara (gorofa) refu pata ile? Au hamjui vipimo vya ujengaji? Muwaulize mainjinia wa majengo watawaambia. Ama mjiulize Mafarao walipata wapi ujuzi wa kujenga mapiramidi yenye mita 200? tena yenye vipimo vyenye mkabala wa nyota za angani, na mianga ya jua? Hivi unaelewa mita 200 wewe? Ni viwanja viwili vya mpira. Angalieni majengo ya kushangaza huko Ugiriki na Rumi, yamejengwa kwa ustadi sana. Huko America jamii ya Mayan imeacha historia ya ajabu, walijenga na kubuni vitu vya ajabu sana. Eti Quran imeelezea bing bang? Unajua hiyo dhana imetokanaje?
Sikiliza, Quran haina jipya, hata uduara wa dunia ulijulikana enzi za Mafarao, angalia Wagiriki wana sanamu zimeshika duara ya dunia toka miaka hiyo. Hata Ayubu na Isaya wa Biblia kabla ya Mgiriki walitambua dunia ni duara na inaelea angani. (Ayubu 26:7; Isaya 40:22). Je Muhamad alikuwepo ama Quran?
Hivyo Quran haina jipya zaidi ya masimulizi ya visa vilivyotokea nyuma hasa kwenye Biblia. Na zile hadithi za apokrifa za Kikristo, Kiyahudi na kipagani ndio zimejazana humo. Na ndio maana Quran haina mpangilio zaidi ya kurukaruka habari. Na ukubwa wa Quran ni unazidiwa na agano jipya la Biblia. Na Quran haijitoshelezi kuunda Uislamu, inaunda Uislamu kwa % chache na sehemu inayobakia imeundwa na hadithi za Muhamad, Fiqh na hoja za maulamaa (wasomi).
Hilo jengo la dome of the rock hapo Yerusalem, (angalia picha) lilijengwa na injinia toka Byzentine (muorthodoksi), limejengwa mithili ya majengo ya kifalme na kikanisa ya Konstantinopoli. Khalifa wa Umayad alipendelea hivyo mnamo karne ya 8 na akajenga msikiti wa Alaqsa kando ambao Waislamu walipotoshwa wakifikiri ulikuwepo toka enzi za Suleman. Alijenga kwa kuficha uchi wa Muhamad aliyedai alienda hapo usiku kimuujiza katika safari inayojulikana kama Isra al miraj na kukuta msikiti wa Suleman na manabii wote akawasalisha kisha akaenda hadi mbingu ya saba na kuonana na Allah. Umar alipokuja kuivamia Yerusalem mnamo 634 B.K hakukuta msikiti hapo, akashangaa. Huenda alijisema moyoni mtume alituchapa kamba. . Zaidi alikuta kanisa la Orthodoksi na uwanja (eneo) tupu wa hekalu (unaojulikana kama temple mount) naam hekalu la zamani la Wayahudi. Myahudi Kaab aliyesilimu ndio alimwonesha Umar eneo ambalo lilikuwepo hekalu la Suleman, ndipo akajenga msikiti wa miti hapo kwa aibu na baadae karne ya 8 katika utawala wa Umaya ndipo wakajenga msikiti wa Alaqsa ambao umekuwa tatizo hadi leo hivi.
Najua Waislamu mtaumia lakini ndio ukweli, vumilieni muelimike
Kutakuja tokeo tabaka, dini huwa zinakuja na utamaduni. Litatengenezwa tabaka la liberal muslims ambao watapindisha na kuondoa utamaduni wa muarabu.
Waache wajifanganye kuwa umeenda kumbe ndio wanaumalizaKutakuja tokeo tabaka, dini huwa zinakuja na utamaduni. Litatengenezwa tabaka la liberal muslims ambao watapindisha na kuondoa utamaduni wa muarabu.
Ust haya maneno ya nani??[emoji101]THE BIBLE QUR'AN AND SCIENCE
1. BIBLE: sun does not move.
QUR'AN :sun moves
Science: QUR'AN is right.
2. BIBLE : earth is flat.
QUR'AN : earth is egg shaped.
Science : QUR'AN is right.
3. BIBLE: when rain falls it does not go up again.
QUR'AN: when rain falls it goes up again (talking about water cycle)
Science: QUR'AN is right.
4. BIBLE: all herbs are good to be eaten.
QUR'AN: no statement.
Science: some herbs are poisonous.
5. BIBLE: moon has light of its own .
QUR'AN: moon takes a reflected light.
Science QUR'AN is right.
6. QUR'AN: without mountains earth will shake violently with us.
BIBLE: no statement.
Science : QUR'AN is right.
Naomba mlipinge hili kwa ushahidi nyie magaratia.
Kwa hapo umejibu hoja ipi ? Confused animal
Sawa mkuuNi hatari kwa usalama hasa ukizingatia magaidi wengi hutokea Uislamuni.
Usijali mkuuWangeshawazid Christianity kitamboo...ila wanavyojua kupunguza a kwa mabomu sasa....