Idadi ya Waislamu duniani yafikia Bilioni mbili mwaka 2023

Idadi ya Waislamu duniani yafikia Bilioni mbili mwaka 2023

Unawafahamu wazungu au unawasikia? Mzungu ganj atakaevumilia dini Ina masharti mengi kama ya mganga wa kienyeji? Watajiunga fresh, lakini baadaye watau modify na kutengeneza kitu Chao kiipya halafu ndio watakuwa wanatoa misaada ili kujua huo wa kiarabu
ulichosema ni swala tofauti na kilichopo kwenye hii mada pia ni tofauti na alichosema maalim Gwajima.
 
Wanasema kufika 2050 uislamu ndo dini itakao kua na wa fuasi wengi bara la Ulaya okiongozwa na Uingereza ufaransa na ujerumini, tunaomba Mungu atufikheshe miako hiyo tushuhudia ushidi wa Uislamu licha cha kua na mandui wasio kua na sabb za chuki yao dhidi ya uislamu.
Hahaha dini itakusaidia nini
 
Mafundisho haya ya Yesu Yameimarisha Imani yangu Kwa YESU!
Unabii Huu Umetimia na kuushuhudia Kwa Macho yangu!
[emoji116][emoji116]
Matthew 7:13-16
[13]Ingieni kwa kupitia mlango ulio mwembamba; maana mlango ni mpana, na njia ni pana iendayo upotevuni, nao ni wengi waingiao kwa mlango huo.

[14]Bali mlango ni mwembamba, na njia imesonga iendayo uzimani, nao waionao ni wachache.

[15] Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa-mwitu wakali.

[16] Mtawatambua kwa matunda yao. Je! Watu huchuma zabibu katika miiba, au tini katika mibaruti?

HALLELUJAH![emoji122][emoji122][emoji122][emoji123][emoji106]

Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
 
Mafundisho haya ya Yesu Yameimarisha Imani yangu Kwa YESU!
Unabii Huu Umetimia na kuushuhudia Kwa Macho yangu!
[emoji116][emoji116]
Matthew 7:13-16
[13]Ingieni kwa kupitia mlango ulio mwembamba; maana mlango ni mpana, na njia ni pana iendayo upotevuni, nao ni wengi waingiao kwa mlango huo.

[14]Bali mlango ni mwembamba, na njia imesonga iendayo uzimani, nao waionao ni wachache.

[15] Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa-mwitu wakali.

[16] Mtawatambua kwa matunda yao. Je! Watu huchuma zabibu katika miiba, au tini katika mibaruti?

HALLELUJAH![emoji122][emoji122][emoji122][emoji123][emoji106]

Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app



AMEN MTUMISHI SHETANI AMEJIPATIA WATU WAKE.

JE ANAYESEMA ATAWAZAA HAPA DUNIANI NA KUWAPOTEZA WOTE NI NANI??????

Quran 15:39.
Akasema :mola wangu mlezi! Ilivyokuwa imenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa Duniani na nitawapoteza wote.

YESU ANASISITIZA.


31 Akasema, Simoni, Simoni, tazama, Shetani amewataka ninyi apate kuwapepeta kama vile ngano;
Luka 22:31

32 lakini nimekuombea wewe ili imani yako isitindike; nawe utakapoongoka waimarishe ndugu zako.
Luka 22:32
 
CAPO DELGADO UJAPOONGOKA WAIMARISHE NA WENGINE.

31 Akasema, Simoni, Simoni, tazama, Shetani amewataka ninyi apate kuwapepeta kama vile ngano;
Luka 22:31

32 lakini nimekuombea wewe ili imani yako isitindike; nawe utakapoongoka waimarishe ndugu zako.
Luka 22:32
 
Wa Catholic hawajafika 2B mzee wakotholic wapo kwenye 1.3B+na ushee na wakristo wote kwa ujumla madhehebu yote duniani wapo 2.2B+
Uislam unakua kwa kasi wa Catholic peke yake hawafikii idadi ya waislam jumlisha madhehebu yote ya wakristo ndo wanawazidi kidogo waislam
Hizo dini zenu hazina tofauti na ccm na chadema au Simba na yanga mnabishania vitu vya kipumbavu ambavyo havina faida yoyote
 
View attachment 2615320
Kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Umoja wa Mataifa la Idadi ya Watu (UNFPA) na taasisi nyingine za utafiti, idadi ya Waislamu duniani inakadiriwa kufikia zaidi ya bilioni 2.

Kwa sababu ya kiwango cha juu cha uzazi na kasi ya kuenea kwa dini hiyo kwenye maeneo mengi duniani, inatarajiwa kuwa idadi ya Waislamu itaongezeka hadi kufikia bilioni 3.3 ifikapo mwaka 2060.

Sababu nyingine ya ukuaji wa Uislamu ni kuongezeka kwa idadi ya Waislamu wanaoongoka kutoka dini nyingine, pamoja na idadi kubwa ya Waislamu wanaozaliwa.

Aidha, kuenea kwa kiwango cha juu cha teknolojia na mawasiliano ya kijamii yamekuwa na athari kubwa katika kuenea kwa dini hiyo, kwani inakuwa rahisi kwa watu kufikia na kusambaza ujumbe wa Kiislamu kote duniani.

View attachment 2615321

Mwenyezimungu tunakuomba uwape baraka wote wanao fanikisha kuenea kwa hiu dini yako tukufu, vilevile waongoze wote ambao hawapo kwenye uislamu waweze kuingia kwenye dini hii ya haki. Aamin [emoji1317][emoji2969][emoji2969]
Amiiin kaka[emoji120]
 
Si unaona chuki hizo mbona nyie mnapo ambiwa mtapewa asari na maziwa bila kuepo na ngombe kule na nyuki mbona ushangai.....jinga kabisa
Jitosheleze kwny hoja sio kutumia udhaifu za dini zingne kujibu maswali unayoulizwa,how possible upewe viumbe vya kike 72+ na nguvu za kugongana nao,Mudi inabid afufuliwe aje kuwasaidia kujibu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Daaaaahhh mkuu nimecheka sana, ungemwambia tu asante hilo haliwezekani hizi DINI hizi daaah[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We dini gani ambayo inanyanyasa wanawake kwa kuwaozesha 4 kwa mme moja?

Dini gani ambayo haitaki wanawake wasome?

Dini gani inawaambia wanawake wajifunike minguo myeusi?

Dini gani ambayo inawaambia watu waue wenzao?
 
We dini gani ambayo inanyanyasa wanawake kwa kuwaozesha 4 kwa mme moja?

Dini gani ambayo haitaki wanawake wasome?

Dini gani inawaambia wanawake wajifunike minguo myeusi?

Dini gani ambayo inawaambia watu waue wenzao?
😂😂😂😂Daah mimi swala la imani kila mtu abaki anavyoamini ILA huwa nakereka tu mtu kuona imani yake ni bora zaidi, haswa kuna rafiki yangu huyo muislamu anapenda sana mambo ya uahindani wa dini wakawa wanabishana na jamaa ukichana juzuhu unakuwa chizi jamaa akamwambia naichana na huyo MUNGU wangu anifanyi lolote akachana kurasa kama tano akatikunja tangu 2017 yupo mpaka saiv na jamaa ule udini sahiv kapunguza
 
Back
Top Bottom