Idadi ya Waislamu duniani yafikia Bilioni mbili mwaka 2023

ulichosema ni swala tofauti na kilichopo kwenye hii mada pia ni tofauti na alichosema maalim Gwajima.
 
Hahaha dini itakusaidia nini
 
Mafundisho haya ya Yesu Yameimarisha Imani yangu Kwa YESU!
Unabii Huu Umetimia na kuushuhudia Kwa Macho yangu!
[emoji116][emoji116]
Matthew 7:13-16
[13]Ingieni kwa kupitia mlango ulio mwembamba; maana mlango ni mpana, na njia ni pana iendayo upotevuni, nao ni wengi waingiao kwa mlango huo.

[14]Bali mlango ni mwembamba, na njia imesonga iendayo uzimani, nao waionao ni wachache.

[15] Jihadharini na manabii wa uongo, watu wanaowajia wamevaa mavazi ya kondoo, walakini kwa ndani ni mbwa-mwitu wakali.

[16] Mtawatambua kwa matunda yao. Je! Watu huchuma zabibu katika miiba, au tini katika mibaruti?

HALLELUJAH![emoji122][emoji122][emoji122][emoji123][emoji106]

Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
 



AMEN MTUMISHI SHETANI AMEJIPATIA WATU WAKE.

JE ANAYESEMA ATAWAZAA HAPA DUNIANI NA KUWAPOTEZA WOTE NI NANI??????

Quran 15:39.
Akasema :mola wangu mlezi! Ilivyokuwa imenitia makosani, basi nahakikisha nitawazaini hapa Duniani na nitawapoteza wote.

YESU ANASISITIZA.


31 Akasema, Simoni, Simoni, tazama, Shetani amewataka ninyi apate kuwapepeta kama vile ngano;
Luka 22:31

32 lakini nimekuombea wewe ili imani yako isitindike; nawe utakapoongoka waimarishe ndugu zako.
Luka 22:32
 
CAPO DELGADO UJAPOONGOKA WAIMARISHE NA WENGINE.

31 Akasema, Simoni, Simoni, tazama, Shetani amewataka ninyi apate kuwapepeta kama vile ngano;
Luka 22:31

32 lakini nimekuombea wewe ili imani yako isitindike; nawe utakapoongoka waimarishe ndugu zako.
Luka 22:32
 
bara la america kusini 95% nchi zote ni wakatoliki.
 
Hizo dini zenu hazina tofauti na ccm na chadema au Simba na yanga mnabishania vitu vya kipumbavu ambavyo havina faida yoyote
 
Amiiin kaka[emoji120]
 
Si unaona chuki hizo mbona nyie mnapo ambiwa mtapewa asari na maziwa bila kuepo na ngombe kule na nyuki mbona ushangai.....jinga kabisa
Jitosheleze kwny hoja sio kutumia udhaifu za dini zingne kujibu maswali unayoulizwa,how possible upewe viumbe vya kike 72+ na nguvu za kugongana nao,Mudi inabid afufuliwe aje kuwasaidia kujibu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Daaaaahhh mkuu nimecheka sana, ungemwambia tu asante hilo haliwezekani hizi DINI hizi daaah[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We dini gani ambayo inanyanyasa wanawake kwa kuwaozesha 4 kwa mme moja?

Dini gani ambayo haitaki wanawake wasome?

Dini gani inawaambia wanawake wajifunike minguo myeusi?

Dini gani ambayo inawaambia watu waue wenzao?
 
We dini gani ambayo inanyanyasa wanawake kwa kuwaozesha 4 kwa mme moja?

Dini gani ambayo haitaki wanawake wasome?

Dini gani inawaambia wanawake wajifunike minguo myeusi?

Dini gani ambayo inawaambia watu waue wenzao?
😂😂😂😂Daah mimi swala la imani kila mtu abaki anavyoamini ILA huwa nakereka tu mtu kuona imani yake ni bora zaidi, haswa kuna rafiki yangu huyo muislamu anapenda sana mambo ya uahindani wa dini wakawa wanabishana na jamaa ukichana juzuhu unakuwa chizi jamaa akamwambia naichana na huyo MUNGU wangu anifanyi lolote akachana kurasa kama tano akatikunja tangu 2017 yupo mpaka saiv na jamaa ule udini sahiv kapunguza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…