mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Kwani uwongo
Acha nkupe point zako bana
Ova
Enjoy your Valentine's
Leo jifanyie kitu kidogo chenye gharama kwaajili ya upendo wa kujipenda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani uwongo
Acha nkupe point zako bana
Ova
Bahati mbaya au nzr mm siyo mtu wa kusherekea mambo kama hayaEnjoy your Valentine's
Leo jifanyie kitu kidogo chenye gharama kwaajili ya upendo wa kujipenda
Bahati mbaya au nzr mm siyo mtu wa kusherekea mambo kama haya
Nikipiga mtungi tu kwangu tosha
Ova
Mzee wa Kino nakubaliana nawe. Wanyama wakiona binadamu maeneo ya jirani huwa wanahama. Zamani hadi mwanzoni mwa miaka ya 90 ilikuwa ukitoka tu kidogo nje ya Arusha mjini unaanza kuona Mbuni kibao na wanyama wengine ila kutokana na shughuli za binadamu kuongezeka wale wanyama ukibahatika kuwaona ni kuanzia makuyuni zaidi ya kilometa 70 toka town. Kwahiyo ongezeko la Masai lina madhara kwa wanyama. Pia wamasai wanazidi kuwa wajanja kwa kujenga nyumba za kisasa na kupoteza ule uhalisia unaofanya wazungu watoke ulaya kuja kuona boma za masai na pia kashfa ya baadhi kula nyamapori siku za karibuni. Kule Loliondo ni kweli Mzee Mwinyi aliuza eneo la nchi na kuwamilikisha waarabu. Kile kipande cha nchi sio Tanzania. Pale ni UAE. Wewe mrangi kama hujawahi kufika uarabuni nenda tu Loliondo utakuwa umefika na kuokoa gharama.Hilo ni eneo la wanyama
Mbona nyie binadam mnataka kujifanya
Kama mna hati miliki ya dunia hii
Ondokeni huko wabaki wanyama na wajiachie
Ova
Ngorongoro itapotea na hapo watabakia wamasai tuMzee wa Kino nakubaliana nawe. Wanyama wakiona binadamu maeneo ya jirani huwa wanahama. Zamani hadi mwanzoni mwa miaka ya 90 ilikuwa ukitoka tu kidogo nje ya Arusha mjini unaanza kuona Mbuni kibao na wanyama wengine ila kutokana na shughuli za binadamu kuongezeka wale wanyama ukibahatika kuwaona ni kuanzia makuyuni zaidi ya kilometa 70 toka town. Kwahiyo ongezeko la Masai lina madhara kwa wanyama. Pia wamasai wanazidi kuwa wajanja kwa kujenga nyumba za kisasa na kupoteza ule uhalisia unaofanya wazungu watoke ulaya kuja kuona boma za masai na pia kashfa ya baadhi kula nyamapori siku za karibuni. Kule Loliondo ni kweli Mzee Mwinyi aliuza eneo la nchi na kuwamilikisha waarabu. Kile kipande cha nchi sio Tanzania. Pale ni UAE. Wewe mrangi kama hujawahi kufika uarabuni nenda tu Loliondo utakuwa umefika na kuokoa gharama.
Haya mambo yana wenyewe mama dSio ufanye sherehe. Jifanyie kitu unachokipenda
Unaweza hata kujinunulia private jet🔥🔥🔥