jimmymziray
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 816
- 515
Baraza la Wafanyakazi wa Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) limekutana mwishoni mwa wiki iliyopita kwa kikao cha siku mbili kujadili taarifa za kiutendaji za taasisi hiyo kwa lengo la kuangalia mafanikio na changamoto wanazozikabili na kuweka mikakati ya kuongeza kuboresha utoaji wa mikopo ya wanafunzi.
Katika waka ujao wa masomo 2013/2014 utakaoanza Oktoba 2013, Bodi inatarajia kukopesha wanafunzi 98,025 nak ati ya hao, wanafunzi 35,649 ni wa mwaka wa kwanza.
Katika waka ujao wa masomo 2013/2014 utakaoanza Oktoba 2013, Bodi inatarajia kukopesha wanafunzi 98,025 nak ati ya hao, wanafunzi 35,649 ni wa mwaka wa kwanza.