Idadi ya wapenzi..




OK.... sasa nawe umefikisha wangapi? labda tuanze na wewe kwanza kabla ya kunyoshea wengine vidole
 
kwa mwanaume kutembea na wanawake 30 kabla ya ndoa ni kawaida sana, mimi niliotembea nao bila kondom ni 19 na kondon sikumbuki
 
Sio kutembea nao tu, pia nimekimbia nao wengi sana tu. Kwa mfano sasa hivi nipo mtaa wa Kongo, ninaotembea nao kwa sasa tu siwezi jua idadi yao.

Je mwenzangu wewe umewahi tembea na wangapi?

hahahahahaha hii nzuri sana.
 
mh labda ni wapange kwa location ndo naweza pata idadi kamili

dar 5

Mwanza 6

ntaendelea baadae
 
Idadi kamili sikumbuki ila yazidi 20 na bado ninampango wa kufikisha at least 50.
 
Sio kutembea nao tu, pia nimekimbia nao wengi sana tu. Kwa mfano sasa hivi nipo mtaa wa Kongo, ninaotembea nao kwa sasa tu siwezi jua idadi yao.

Je mwenzangu wewe umewahi tembea na wangapi?

hahhahahaaaaa mbavu zangu loh....
 
sikumbuki ni wangapi....na hata wengine majina nimesahau....nikiwaona nabaki kuuliza anaitwa nani.......
 
Nilio approach siwakumbuki kivile lakini niliodu nao ni Mmoja ambaye ni Bibi kizee alinitaka namsafishie mashine yake.
 
sikumbuki ni wangapi....na hata wengine majina nimesahau....nikiwaona nabaki kuuliza anaitwa nani.......

inabidi kuwauliza kwa upole: 'ooops excuse me, kama nakufananisha vile.... uliwahi kuni... siku moja pale lamada eeh.... sorry kama nimekosea, si unajua tena ishakuwa muda kitambo teh teh'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…