LGE2024 Idadi ya Wapigakura katika daftari la Wakazi haiakisi Takwimu ya Sensa hii ni dosari kubwa ya kubatisha uchaguzi

LGE2024 Idadi ya Wapigakura katika daftari la Wakazi haiakisi Takwimu ya Sensa hii ni dosari kubwa ya kubatisha uchaguzi

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mbogi

JF-Expert Member
Joined
Oct 10, 2021
Posts
803
Reaction score
997
Baada ya kupitia takwimu ya sensa 2022 ina jumla ya wananchi wapatao 61 mil. Na inaonyesha watoto wa Tanzania bara ni 29.365 mil sawa na 49.1%

Waziri TAMISEMI ameripoti idadi ya wapiga kura 31 mil. Hii inamaana kuwa watu wote wenye umri wa miaka 18+ sawa na 100% wamejiandikisha kupiga kura. Hii haiwezekani kwa namna yoyote, mifano Iko wazi kuwa watu ni wengi ambao hawajajiandikisha.

Hata kama ni kudanganya huu uongo umezidi sana na TLS watumie wajibu wao kuusimamisha uchaguzi huu.
 
Mkuu hofu yako ni ipi kwenye iyo idadi ya watu waliojiandikisha?
Hofu ni kuwa na uchaguzi batili usio huru na haki. Haiingii akilini watu Tanzania bara ni mil 59+ ukitoa watoto mil 29+ unabaki na mil 30. Halafu walioandikishwa ni mil 31+

Hata kama ktk miaka miwili iliyopita wapo waliovuka miaka 17 bado hata kidogo haiwezi kufikia idadi hiyo. Huu ni wizi wa kura hewa.
 
Toka 2022 mpaka sasa kuna watoto walikuwa chini ya umri wa miaka 18 na sasa wametimiza miaka 18 na ndio hilo ongezeko

Toka 2022 mpaka sasa kuna watoto walikuwa chini ya umri wa miaka 18 na sasa wametimiza miaka 18 na ndio hilo ongezeko
Hata kama hoja hii ikiwekwa ktk mizania Bado ni haiwezi sawazisha ziada kubwa ya watu.

Hesabu tu ya kawaida ni kwamba watu wote bara ni mil 59 ukitoa hao watoto kati ya 0- 17 ni mil 29 unabakiwa na watu wazima wapiga kura mil 30 kama hapa napo hakuna waliofariki au walio hospitalini. Daftari lina mil 31+ maana yake ni kwamba wale wote mil 30 wakiwemo waliokufa na walio hosp wameandikisha kisha ongeza na mil 1.5 vijana wote waliofikisha miaka 18. Hii haiwezekani.
 
Wameshajua bila wizi hawezi kushika dola hivyo wamegeuka kuwa kituko kwa kupika data ambazo zinawafanya waonekane wamechanganyikiwa.
 
Baada ya kupitia takwimu ya sensa 2022 ina jumla ya wananchi wapatao 61 mil. Na inaonyesha watoto wa Tanzania bara ni 29.365 mil sawa na 49.1%

Waziri TAMISEMI ameripoti idadi ya wapiga kura 31 mil. Hii inamaana kuwa watu wote wenye umri wa miaka 18+ sawa na 100% wamejiandikisha kupiga kura. Hii haiwezekani kwa namna yoyote, mifano Iko wazi kuwa watu ni wengi ambao hawajajiandikisha.

Hata kama ni kudanganya huu uongo umezidi sana na TLS watumie wajibu wao kuusimamisha uchaguzi huu.
Sensa ilikua mwaka 2022 uandikishaji umefanyika 2024 kuna miaka mieili ya ziada hapo ambao walihesabiwa watoto (chini ya miaka 18) mwaka 2022 mwaka huu baadhi yao wametimiza miaka 18 hivyo kuwa na sifa ya kuandikishwa kupiga kura. Tatuzo liko wapi hapo? Mbona ni logic tu hata ya elimu ya msingi inatosha kuelewa....
 
Hata kama hoja hii ikiwekwa ktk mizania Bado ni haiwezi sawazisha ziada kubwa ya watu.

Hesabu tu ya kawaida ni kwamba watu wote bara ni mil 59 ukitoa hao watoto kati ya 0- 17 ni mil 29 unabakiwa na watu wazima wapiga kura mil 30 kama hapa napo hakuna waliofariki au walio hospitalini. Daftari lina mil 31+ maana yake ni kwamba wale wote mil 30 wakiwemo waliokufa na walio hosp wameandikisha kisha ongeza na mil 1.5 vijana wote waliofikisha miaka 18. Hii haiwezekani.
Ungefuatilia kwanza ukajua ni level gani ya umri ina watu wengi. Nyie si ndo mnasema gen Z mpo wengi, au mnakua wengi kwenye fujo tu?
 
Hakuna uchaguzi hapo mkuu, Mchengerwa kuletwa hii wizara ni kuhakikishia mambo kama haya yanakaa sawa, hata mtu asiyefatilia mambo hizi data akiziona tu anajua tumepigwa.
 
Sensa ilikua mwaka 2022 uandikishaji umefanyika 2024 kuna miaka mieili ya ziada hapo ambao walihesabiwa watoto (chini ya miaka 18) mwaka 2022 mwaka huu baadhi yao wametimiza miaka 18 hivyo kuwa na sifa ya kuandikishwa kupiga kura. Tatuzo liko wapi hapo? Mbona ni logic tu hata ya elimu ya msingi inatosha kuelewa....
Uhalisia unakataa!!!!!?
 
Sensa ilikua mwaka 2022 uandikishaji umefanyika 2024 kuna miaka mieili ya ziada hapo ambao walihesabiwa watoto (chini ya miaka 18) mwaka 2022 mwaka huu baadhi yao wametimiza miaka 18 hivyo kuwa na sifa ya kuandikishwa kupiga kura. Tatuzo liko wapi hapo? Mbona ni logic tu hata ya elimu ya msingi inatosha kuelewa....
Acha kujitoa akili.
 
Baada ya kupitia takwimu ya sensa 2022 ina jumla ya wananchi wapatao 61 mil. Na inaonyesha watoto wa Tanzania bara ni 29.365 mil sawa na 49.1%

Waziri TAMISEMI ameripoti idadi ya wapiga kura 31 mil. Hii inamaana kuwa watu wote wenye umri wa miaka 18+ sawa na 100% wamejiandikisha kupiga kura. Hii haiwezekani kwa namna yoyote, mifano Iko wazi kuwa watu ni wengi ambao hawajajiandikisha.

Hata kama ni kudanganya huu uongo umezidi sana na TLS watumie wajibu wao kuusimamisha uchaguzi huu.
Chichiem mbele kwa mbele.
 
Back
Top Bottom