Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM kutumia hiyo namba hewa kujipatia ulajiMkuu hofu yako ni ipi kwenye iyo idadi ya watu waliojiandikisha?
Wewe ndo bado haujaelewa logic. Hoja ni hizi;Sensa ilikua mwaka 2022 uandikishaji umefanyika 2024 kuna miaka mieili ya ziada hapo ambao walihesabiwa watoto (chini ya miaka 18) mwaka 2022 mwaka huu baadhi yao wametimiza miaka 18 hivyo kuwa na sifa ya kuandikishwa kupiga kura. Tatuzo liko wapi hapo? Mbona ni logic tu hata ya elimu ya msingi inatosha kuelewa....